Wito wa kupigwa marufuku waganga TZ
Polisi nchini Tanzania wamewakamata waganga wawili wa kienyeji baada ya mwanamke mmoja mwenye ulemavu wa ngozi au albino kuuwawa kwa kuchinjwa.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo25 Dec
Matangazo ya waganga wa jadi yapigwa marufuku
SERIKALI imepiga marufuku matangazo yote ya tiba asili na tiba mbadala katika vyombo vya habari na mitandao ya kijamii kuanzia jana. Aidha, wale wote wenye vibali wanatakiwa kuwasilisha vibali na matangazo hivyo katika Baraza la Tiba Asili na Tiba Mbadala kwa ajili ya kuvifanyia mapitio upya.
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-p0jEJxwrz8I/XplHLxf3rVI/AAAAAAAC3PY/w_CYpVomkggcrQP1kh01GS7IHnNf159FwCLcBGAsYHQ/s72-c/1-26.jpg)
MARUFUKU WAGANGA WA JADI KUPOKEA WAGONJWA WASIO NA RIPOTI YA HOSPITALI
![](https://1.bp.blogspot.com/-p0jEJxwrz8I/XplHLxf3rVI/AAAAAAAC3PY/w_CYpVomkggcrQP1kh01GS7IHnNf159FwCLcBGAsYHQ/s400/1-26.jpg)
Chifu Nzunda amebainisha hayo katika kikao cha Kamati ya Amani ya Mkoa ilipokutana kujadiliana hatua zaidi za tahadhari zinazo paswa kuchukuliwa na Mkoa wa Songwe ili kupambana na ugonjwa wa Virusi vya Corona.
Amesema ili mgonjwa apate matibabu kwa mganga wa...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-JXoWjEV4zf4/VLUn4AdnUlI/AAAAAAAG9Hc/ubpxi_4ZxnU/s72-c/DSC_0296.jpg)
SERIKALI YAPIGA MARUFUKU WAGANGA WA JADI WANAOPIGA RAMLI NCHINI
![](http://2.bp.blogspot.com/-JXoWjEV4zf4/VLUn4AdnUlI/AAAAAAAG9Hc/ubpxi_4ZxnU/s1600/DSC_0296.jpg)
10 years ago
BBCSwahili14 Jan
Wapiga ramli kupigwa marufuku TZ
10 years ago
Dewji Blog10 May
CHAWAMAMU yapiga marufuku waganga wa tiba mbadala kuwafanyia tohara watoto wachanga
Afisa tarafa wa Kirumi, Bw. Juma Salumu Sima (kushoto), Katibu mkuu wa CHAWAMAMU Mkoa wa Singida,Dk.Tano Mika Likapakapa (katikati) na Afisa mtendaji wa kata ya Mwangeza (kulia).
Na. Jumbe Ismailly, Mkalama
CHAMA cha Watafiti wa Maleria Sugu, Ukimwi na Mazingira Tanzania (CHAWAMAMU) Mkoani Singida kimepiga marufuku waganga wa tiba mbadala wasiokuwa na ujuzi wa kuwafanyia tohara pamoja na kuwakata kilimi watoto wachanga, kuacha mara moja kuendelea na kazi hiyo.
Katibu mkuu wa...
9 years ago
BBCSwahili18 Nov
Vazi la Burqa kupigwa marufuku Senegal
9 years ago
BBCSwahili27 Nov
Pombe kupigwa marufuku Bihar, India
11 years ago
Michuzi13 Feb
JK APENDEKEZA KUPIGWA MARUFUKU YA BIASHARA YA MENO YA NDOVU NA PEMBE ZA FARU DUNIANI
11 years ago
Habarileo21 Jul
Waganga washauriwa
WAGANGA wakuu na wasimamizi wa vituo vya afya, zahanati na hospitali, wameshauriwa kutumia vyema fedha za wananchi kutoka katika mifuko ya afya, kununua dawa kuziba pengo la ukosefu wa tiba za uhakika kwa jamii.