Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Waganga washauriwa

WAGANGA wakuu na wasimamizi wa vituo vya afya, zahanati na hospitali, wameshauriwa kutumia vyema fedha za wananchi kutoka katika mifuko ya afya, kununua dawa kuziba pengo la ukosefu wa tiba za uhakika kwa jamii.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Baba, waganga 10 mbaroni

Kamanda wa Polisi, mkoa wa Rukwa, Jacob MwaruandaPOLISI mkoani Rukwa inawashikilia watu 17 wakiwemo waganga wa jadi 10 wakihusishwa na tukio la kikatili katika kijijini cha Kipeta , Bonde la Ziwa Rukwa wilayani Sumbawanga ambako mtoto mlemavu wa ngozi (albino), Baraka Cosmas (6) mwishoni mwa wiki alishambuliwa na kukatwa kiganja cha mkono wake wa kulia na watu wasiojulikana.

 

10 years ago

Vijimambo

11 years ago

GPL

MATANGAZO YA WAGANGA HADI VITUONI

LICHA ya matangazo ya waganga wa kienyeji kusheheni kila kona jijini hapa, kamera yetu leo hii imelinasa moja ya tangazo hilo la mganga wa kienyeji  likiwa mahali pa kumpumzikia abiria katika kituo cha daladala Afrika Sana, Sinza. Hali hiyo inaonesha ni jinsi gani waganga wa kienyeji wamekuwa wakiongezeka kwa kasi kila siku jijini Dar huku vitu kama: kuwaunganisha watu na Freemason, mafanikio, pesa za majini vikiwa kama silaha...

 

10 years ago

Bongo Movies

Wema Akubali Waganga 26 Kumtibu

Kufuatia tatizo la kushindwa kupata ujauzito alilonalo msanii maarufu Bongo, Wema Sepetu, hivi karibuni waganga wapatao 26 kutoka sehemu mbalimbali nchini walijitokeza na kuomba kuunganishwa na staa huyo ili wamtibu.

Waganga hao wa tiba asilia pamoja na madaktari kutoka hospitali mbalimbali kwa nyakati tofauti walililipigia simu gazeti hili na kueleza kuwa, wanashangaa kuona Wema anakosa amani wakati wao wanaweza kumtibu na kuweza kuitwa mama kama wenzake.

“Unajua wapo wanawake ambao...

 

10 years ago

Mwananchi

Waganga wa jadi Moshi waonyana

Waganga wa jadi wanaotumia viungo vya watu wenye ulemavu wa ngozi (albino) ikiwa ni sehemu ya tiba, wametakiwa kutofanya hivyo kwa kuwa huo ni ukatili dhidi ya binadamu.

 

10 years ago

Habarileo

Waganga wote watakiwa kujisajili

MSAJILI wa Baraza la Tiba Asili Zanzibar, Haji Juma Kundi amewataka waganga wote wanaotoa tiba mbadala, kujisajili kwa ajili ya kutoa huduma za tiba ili kuepuka kuchukuliwa sheria za kinidhamu.

 

11 years ago

BBCSwahili

Wito wa kupigwa marufuku waganga TZ

Polisi nchini Tanzania wamewakamata waganga wawili wa kienyeji baada ya mwanamke mmoja mwenye ulemavu wa ngozi au albino kuuwawa kwa kuchinjwa.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Waganga wazua taharuki Shinyanga

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), mkoani Shinyanga kimeshitushwa na taarifa za kuibuka kwa kundi la waganga wa jadi maarufu kwa jina la ‘Lambalamba’ au ‘Kamchape’ wanaopita vijijini wakiwachangisha wananchi fedha kwa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Albino:Waganga 32 wakamatwa Tanzania

Polisi nchini Tanzania wamewakamata waganga 32 wa kienyeji kazkazini magharibi mwa jimbo la Geita

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani