Waganga washauriwa
WAGANGA wakuu na wasimamizi wa vituo vya afya, zahanati na hospitali, wameshauriwa kutumia vyema fedha za wananchi kutoka katika mifuko ya afya, kununua dawa kuziba pengo la ukosefu wa tiba za uhakika kwa jamii.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo11 Mar
Baba, waganga 10 mbaroni
POLISI mkoani Rukwa inawashikilia watu 17 wakiwemo waganga wa jadi 10 wakihusishwa na tukio la kikatili katika kijijini cha Kipeta , Bonde la Ziwa Rukwa wilayani Sumbawanga ambako mtoto mlemavu wa ngozi (albino), Baraka Cosmas (6) mwishoni mwa wiki alishambuliwa na kukatwa kiganja cha mkono wake wa kulia na watu wasiojulikana.
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/TBee0ee_Sms/default.jpg)
11 years ago
GPLMATANGAZO YA WAGANGA HADI VITUONI
10 years ago
Bongo Movies24 Apr
Wema Akubali Waganga 26 Kumtibu
Kufuatia tatizo la kushindwa kupata ujauzito alilonalo msanii maarufu Bongo, Wema Sepetu, hivi karibuni waganga wapatao 26 kutoka sehemu mbalimbali nchini walijitokeza na kuomba kuunganishwa na staa huyo ili wamtibu.
Waganga hao wa tiba asilia pamoja na madaktari kutoka hospitali mbalimbali kwa nyakati tofauti walililipigia simu gazeti hili na kueleza kuwa, wanashangaa kuona Wema anakosa amani wakati wao wanaweza kumtibu na kuweza kuitwa mama kama wenzake.
“Unajua wapo wanawake ambao...
10 years ago
Mwananchi01 Feb
Waganga wa jadi Moshi waonyana
10 years ago
Habarileo23 Dec
Waganga wote watakiwa kujisajili
MSAJILI wa Baraza la Tiba Asili Zanzibar, Haji Juma Kundi amewataka waganga wote wanaotoa tiba mbadala, kujisajili kwa ajili ya kutoa huduma za tiba ili kuepuka kuchukuliwa sheria za kinidhamu.
11 years ago
BBCSwahili14 May
Wito wa kupigwa marufuku waganga TZ
10 years ago
Tanzania Daima08 Sep
Waganga wazua taharuki Shinyanga
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), mkoani Shinyanga kimeshitushwa na taarifa za kuibuka kwa kundi la waganga wa jadi maarufu kwa jina la ‘Lambalamba’ au ‘Kamchape’ wanaopita vijijini wakiwachangisha wananchi fedha kwa...
10 years ago
BBCSwahili07 Mar
Albino:Waganga 32 wakamatwa Tanzania