Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MATANGAZO YA WAGANGA HADI VITUONI

LICHA ya matangazo ya waganga wa kienyeji kusheheni kila kona jijini hapa, kamera yetu leo hii imelinasa moja ya tangazo hilo la mganga wa kienyeji  likiwa mahali pa kumpumzikia abiria katika kituo cha daladala Afrika Sana, Sinza. Hali hiyo inaonesha ni jinsi gani waganga wa kienyeji wamekuwa wakiongezeka kwa kasi kila siku jijini Dar huku vitu kama: kuwaunganisha watu na Freemason, mafanikio, pesa za majini vikiwa kama silaha...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Matangazo ya waganga wa jadi yapigwa marufuku

SERIKALI imepiga marufuku matangazo yote ya tiba asili na tiba mbadala katika vyombo vya habari na mitandao ya kijamii kuanzia jana. Aidha, wale wote wenye vibali wanatakiwa kuwasilisha vibali na matangazo hivyo katika Baraza la Tiba Asili na Tiba Mbadala kwa ajili ya kuvifanyia mapitio upya.

 

11 years ago

Michuzi

ULIPO TUPO NA BENKI YA CRDB HADI HADI VIWANJA VYA SABASABA

Wateja wa Benki ya CRDB wakipata huduma za kuweka fedha na kutoa katika Mobile Branch lililopo katika Maonesho ya 38 ya Biashara ya Kimataifa Sabasaba jijini Dar es Salaam. Ofisa wa Benki ya CRDB akiwahudumia wateja waliofika katika banda la Benki ya CRDB wakati wa Maonesho ya 38 ya Biashara ya Kimataifa Sabasaba.
 Ofisa Mauzo wa Benki ya CRDB, Moses Wamala akimpiga picha mteja  aliyefungua akaunti ya Benki ya CRDB katika Maonesho ya 38 ya Biashara ya Kimataifa.
 Ofisa wa Benki ya CRDB...

 

9 years ago

Raia Mwema

Tujadili matokeo kubandikwa vituoni

SEPTEMBA 17, 2015, nilisoma taarifa ya January Makamba kwenye gazeti la NIPASHE (uk. 03).

Joseph Magata

 

9 years ago

Habarileo

Tangazeni matokeo vituoni -NEC

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imesema katika kuonesha uwazi katika uchaguzi mkuu wa Oktoba 25 mwaka huu, imebariki vyombo vya habari kutangaza matokeo katika vituo vya kupigia kura. Hatua hiyo itawawezesha wananchi kujua matokeo ya vituo vyao na kura za wagombea, hivyo kuondoa malalamiko.

 

10 years ago

Vijimambo

Dkt Mwele: Kutoka binti mwenye ndoto kuwa mtafiti hadi mwanasayansi wa kimataifa hadi mwania #Urais2015

Mapema wiki hii, mwanasanyansi wa kimataifa Mtanzania, mwanamama Dokta Mwelecele (Mwele) Malecela, alitangaza nia ya kuwania urais wa Tanzania kwa kuomba ridhaa ya kupitishwa na Chama Cha Mapinduzi CCM. Dokta Mwele ambaye hadi wakati anatangaza uamuzi huo ni Mkurugenzi wa Taasisi ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR), ana historia ya kipekee ambayo nilibahatika kuifahamu kupitia chapisho moja lililopo katika blogu hii. Hata hivyo, chapisho hilo ambalo lilisomwa na maelfu ya watu,...

 

10 years ago

Mwananchi

Kidato cha sita wasota vituoni

Wanafunzi walioanza mitihani ya Taifa ya kidato cha sita wamekuwa miongoni mwa watu walioathirika na mgomo wa madereva katika maeneo mbalimbali nchini.

 

9 years ago

Habarileo

Magufuli: Nendeni vituoni kifua mbele

MGOMBEA urais kupitia CCM, Dk John Magufuli amewataka wananchi hasa wanawake, vijana na wazee kutotishika na maneno ya kuwazuia wasiende kumpigia kura na kuwataka waende vituoni kifua mbele, kumchagua kuwa Rais wa Awamu ya Tano ya Jamhuri ya Muungano ya Tanzania.

 

10 years ago

Habarileo

Kigoma/Ujiji walala vituoni kujiandikisha

WAKATI uandikishaji wa wapigakura katika daftari la kudumu la mpigakura ukiwa umeanza kwenye kata sita za manispaa ya Kigoma/Ujiji, wananchi wamekuwa wakilala kwenye vituo vya uandikishaji ili kuhakikisha hawakosi kuandikishwa.

 

9 years ago

Mwananchi

Kubandika matokeo ya urais vituoni kumechelewa

Kwa namna ambavyo uamuzi wa kubandika matokeo ya kura za urais katika vituo vya kupigia kura umepokewa na wananchi, ni dhahiri kuwa huo ni uamuzi uliochelewa na ulikuwa unasubiriwa na wengi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani