Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tangazeni matokeo vituoni -NEC

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imesema katika kuonesha uwazi katika uchaguzi mkuu wa Oktoba 25 mwaka huu, imebariki vyombo vya habari kutangaza matokeo katika vituo vya kupigia kura. Hatua hiyo itawawezesha wananchi kujua matokeo ya vituo vyao na kura za wagombea, hivyo kuondoa malalamiko.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

NEC: Matokeo kura za urais kubandikwa vituoni

Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imesema kuanzia sasa itaanza kubandika matokeo ya kura za urais kwenye vituo vya kupigia kura katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu ili kuongeza uwazi na kupunguza malalamiko ya wizi wa kura.

 

9 years ago

Raia Mwema

Tujadili matokeo kubandikwa vituoni

SEPTEMBA 17, 2015, nilisoma taarifa ya January Makamba kwenye gazeti la NIPASHE (uk. 03).

Joseph Magata

 

9 years ago

Mwananchi

Kubandika matokeo ya urais vituoni kumechelewa

Kwa namna ambavyo uamuzi wa kubandika matokeo ya kura za urais katika vituo vya kupigia kura umepokewa na wananchi, ni dhahiri kuwa huo ni uamuzi uliochelewa na ulikuwa unasubiriwa na wengi.

 

9 years ago

Habarileo

CCM yaridhia matokeo kubandikwa vituoni

CHAMA Cha Mapinduzi Zanzibar kimesema kimeridhishwa na utaratibu utakaotumiwa na Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC) wa kutangaza matokeo ya kura za urais katika vituo vya kupigia kura.

 

9 years ago

Habarileo

NEC yaonya wanaotaka kulinda kura vituoni

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (TUME) imeonya vyama vya siasa, vinavyoshawishi wananchi wabaki katika vituo vya kupigia kura baada ya kupiga kura na kueleza kuwa lengo lao si kwa ajili ya kulinda kura, bali vina agenda ya siri.

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Ni Marufuku Kusafirisha Masanduku ya Kura……Tume Yasisitiza Matokeo Yatatangazwa Vituoni, Fomu za Urais Kuskaniwa Jimboni na Kutangazwa LIVE

Wednesday, September 30, 2015 MWENYEKITI wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Mstaafu Damian Lubuva, amesema kura zote za urais, ubunge na udiwani, zitahesabiwa katika vituo vya kupigia kura na matokeo yote kutangazwa hapo hapo […]

The post Ni Marufuku Kusafirisha Masanduku ya Kura……Tume Yasisitiza Matokeo Yatatangazwa Vituoni, Fomu za Urais Kuskaniwa Jimboni na Kutangazwa LIVE appeared first on Mzalendo.net.

 

9 years ago

Habarileo

‘Hakuna chama kilichohoji matokeo ya NEC’

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imesema vyama vya siasa, vilipewa nafasi ya kuhoji matokeo waliyokuwa wakitangaza kutoka kwenye majimbo na hakuna chama kilichofanya hivyo.

 

10 years ago

Mtanzania

Marando: Nitatangaza matokeo kabla ya NEC

marandoNA MWANDISHI WETU

MWANASHERIA wa Chadema, Mabere Marando, ameahidi kutangaza matokeo ya uchaguzi kila kituo kitakapomaliza upigaji wa kura kabla ya kutangazwa na Tume ya Uchaguzi (NEC).

Marando alitoa kauli hiyo alipotakiwa na Lowassa kulitolea ufafanuzi wa kisheria zoezi la kukusanya shahada za kura za polisi na wanajeshi, linalodaiwa kufanywa na viongozi wao.

Alisema njama zote zinazotumiwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM)  za kutaka kuhujumu  matokeo, zikiwamo za kukusanya shahada za polisi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani