Marando: Nitatangaza matokeo kabla ya NEC
NA MWANDISHI WETU
MWANASHERIA wa Chadema, Mabere Marando, ameahidi kutangaza matokeo ya uchaguzi kila kituo kitakapomaliza upigaji wa kura kabla ya kutangazwa na Tume ya Uchaguzi (NEC).
Marando alitoa kauli hiyo alipotakiwa na Lowassa kulitolea ufafanuzi wa kisheria zoezi la kukusanya shahada za kura za polisi na wanajeshi, linalodaiwa kufanywa na viongozi wao.
Alisema njama zote zinazotumiwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM) za kutaka kuhujumu matokeo, zikiwamo za kukusanya shahada za polisi...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo30 Mar
Taharuki yakumba Nigeria kabla ya matokeo
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/625/amz/worldservice/live/assets/images/2015/03/29/150329062040_nigeria_voting_elections_640x360_ap.jpg)
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2015/03/30/150330115843_nigeria_election_640x360_bbc_nocredit.jpg)
Matokeo ya uchaguzi Nigeria yatarajiwa leo
Uingereza na Marekani zimeelezea masikitiko yao kuwa kumekuwa na wizi wa kura, katika uchaguzi mkuu uliomalizika siku ya Jumamosi Nchini Nigeria.
Mwaandishi wa habari wa BBC wa maswala ya Afrika aliyeko Nigeria anasema kuwa hali ni ya wasiwasi katika mji mkuu Abuja.
Katika taarifa ya pamoja, yanasema kuwa wameona dalili za kutiliwa shaka kuwa kumekuwa na uingiliaji wa kisiasa na utaratibu mzima wa uchaguzi mkuu...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-lyxi-XtPPpg/VaECoRSEPCI/AAAAAAAAwcU/zmMlLE4bSq4/s72-c/DSC_0017.jpg)
YALIYOJIRI DODOMA KABLA YA KIKAO CHA NEC
![](http://4.bp.blogspot.com/-lyxi-XtPPpg/VaECoRSEPCI/AAAAAAAAwcU/zmMlLE4bSq4/s640/DSC_0017.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-KpayuXCoBtU/VaECtoa14lI/AAAAAAAAwcc/G0w9fY4Uq_4/s640/DSC_0028.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-bQHMYcObWSg/VaEC4JrFxYI/AAAAAAAAwcs/Fagbrel4ULE/s640/DSC_0069.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-2vjc8_P4GyU/VaEC-LWo7yI/AAAAAAAAwc0/rD6jR_bRfOA/s640/DSC_0079.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-BTsJRcHlbo8/VaEDEL7yrkI/AAAAAAAAwc8/L8NNFAYnOdU/s640/DSC_0104.jpg)
9 years ago
Mwananchi10 Sep
Membe awaonya waangalizi wa uchaguzi kutotoa matamko kabla ya NEC
10 years ago
Mwananchi24 Mar
NEC, vyama vya siasa vianze na haya kabla ya uchaguzi
9 years ago
Mzalendo Zanzibar10 Sep
Membe awaonya waangalizi wa uchaguzi kutoa matamko kabla ya NEC
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe. Na Peter Elias – Mwananchi Alhamisi, Septemba 10, 2015 Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe amesema waangalizi wa uchaguzi hawatakiwi […]
The post Membe awaonya waangalizi wa uchaguzi kutoa matamko kabla ya NEC appeared first on Mzalendo.net.
9 years ago
Habarileo01 Oct
Tangazeni matokeo vituoni -NEC
TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imesema katika kuonesha uwazi katika uchaguzi mkuu wa Oktoba 25 mwaka huu, imebariki vyombo vya habari kutangaza matokeo katika vituo vya kupigia kura. Hatua hiyo itawawezesha wananchi kujua matokeo ya vituo vyao na kura za wagombea, hivyo kuondoa malalamiko.
9 years ago
Habarileo02 Nov
‘Hakuna chama kilichohoji matokeo ya NEC’
TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imesema vyama vya siasa, vilipewa nafasi ya kuhoji matokeo waliyokuwa wakitangaza kutoka kwenye majimbo na hakuna chama kilichofanya hivyo.
9 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/8ZkyxNsuQ5M/default.jpg)
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/CSUG5mYXAAARAeX.png)