YALIYOJIRI DODOMA KABLA YA KIKAO CHA NEC
![](http://4.bp.blogspot.com/-lyxi-XtPPpg/VaECoRSEPCI/AAAAAAAAwcU/zmMlLE4bSq4/s72-c/DSC_0017.jpg)
Aliyekuwa muomba kuteuliwa kugombea Urais kwa tiketi ya CCM, ambaye ameenguliwa, Edward Lowassa akiwasili kwenye Jengo la White House, Makao Makuu ya CCM kuhudhuria kikao cha NEC.
Lowassa akiingia ukumbini
Mwenyekiti wa Wenyeviti wa CCM wa mikoa, Mzee Msidai akizungumza na waandishi kabla ya kuingia ukumbini kwenye kikao hicho cha NEC
Mjumbe wa NEC, Dk. Chegeni akizungumza na waandishi kabla ya kuingia ukumbini
Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Shinyanga Hamis Mgeja akizungumza na waandishi kabla ya...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog11 Jul
Dodoma ilivyokuwa kabla ya kikao cha Kamati Kuu ya CCM
![](http://3.bp.blogspot.com/-s9ciL04SXew/VaAv3jBPK-I/AAAAAAAAhAo/KWg7OKHJIzo/s640/18.jpg)
Waandishi wa Habari wakiwahi kuingia ukumbini kabla ya kuanza kwa kikao cha Kamati Kuu Maalum cha CCM kwenye ukumbi wa Halmashauri Kuu maarufu kama White House.
![](http://3.bp.blogspot.com/-zm1joNo3GOU/VaAvVruV17I/AAAAAAAAg_w/rcXEehj-Pho/s640/20.jpg)
Katibu wa Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akizungumza na Martine Shigela muda mfupi kabla ya kuanza kwa kikao cha Kamati Kuu Maalum mjini Dodoma.
![](http://1.bp.blogspot.com/-dLSgr61Ddbc/VaAvV6F7lbI/AAAAAAAAg_0/Ji3zCvnyo7s/s640/23.jpg)
Hivi ndivyo nje ya jengo la CCM Makao Makuu,Wajasiriamali kwa wingi wao wamekuwa wakifanya bishara za bidhaa zao kwa wana CCM waliokuja kuhudhuria Mkutano Mkuu mjini Dodoma.
![](http://2.bp.blogspot.com/-_MUSORUiup0/VaAva5IaC3I/AAAAAAAAhAA/WAmAo7xvDSg/s640/24.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-f9KkVewLk2s/VaAvbyizRfI/AAAAAAAAhAI/aJ5lMkCXUkw/s640/27.jpg)
Magari...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-78QE5-1fxIY/Uv-EVNr3btI/AAAAAAAAL7Q/lA2OnBoBIDw/s72-c/7.jpg)
JK AONGOZA KIKAO CHA NEC MJINI DODOMA LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-78QE5-1fxIY/Uv-EVNr3btI/AAAAAAAAL7Q/lA2OnBoBIDw/s1600/7.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-tXfhs0YH9JM/Uv-EpWL0AEI/AAAAAAAAL7w/opKTkezH_zk/s1600/13.jpg)
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
11 years ago
GPL![](https://4.bp.blogspot.com/-GxpkSYczW6s/UwCuDdXUPoI/AAAAAAAAj5k/syHciiT4p-0/s1600/1.+JK+akiwa+na+Dk+SHEIN+na+KINABA+baada+ya+kuwasili+ukumbini.jpg)
KIKAO CHA NEC CCM MJINI DODOMA JANA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/GrESGA1CkwjlMbeuxLfL89TfsmceJQ7kkS*G3l4Ik0ksbM6nvwUTEQ0zKJo2*QtN-wonx1pFbOyrrBHlqAqeeKslksPc7hhf/JK1.jpg?width=650)
RAIS KIKWETE AONGOZA KIKAO CHA NEC MJINI DODOMA
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-QGBu2HiTSM8/VD_6ljAbdgI/AAAAAAAGrDw/SR_8ZEhM-uM/s72-c/D92A3052.jpg)
Rais Kikwete aongoza kikao cha NEC Dodoma leo
![](http://1.bp.blogspot.com/-QGBu2HiTSM8/VD_6ljAbdgI/AAAAAAAGrDw/SR_8ZEhM-uM/s1600/D92A3052.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-RaUlHTTVyEo/VD_6nI53CkI/AAAAAAAGrD4/tbkl4FMQfqA/s1600/D92A3116.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Hmnea7TObzM/VD_6pYSBtVI/AAAAAAAGrEA/NMr880k17CU/s1600/D92A3121.jpg)
10 years ago
Dewji Blog24 May
JK aongoza kikao cha NEC leo tena mjini Dodoma
Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete akiongoza kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM, mjini Dodoma leo, May 24, 2015. Kulia ni Makamu Mwenyekiti wa CCM, Rais wa Zanzibar, Dk. Ali Mohammed Shein, na kushoto ni Makamu Mwenyekiti wa CCM, Bara, Philip Mangula na Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana. (Picha na Bashir Nkoromo).
Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete akishauriana jambo na Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana kabla ya kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM kuanza leo, mjini Dodoma.
10 years ago
GPL![](http://1.bp.blogspot.com/-fm81b5kW3EE/VWGw8imDSkI/AAAAAAAAuO8/cxhVcXFO4N8/s640/9n.jpg?width=640)
RAIS KIKWETE AONGOZA KIKAO CHA NEC-CCM MJINI DODOMA
10 years ago
Dewji Blog17 Oct
Mwenyekiti wa CCM Rais Kikwete aongoza kikao cha NEC leo mjini Dodoma
Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete akipokea shangwe na wajumbe alipowasili katika ukumbi wa Makao Makuu ya CCM White House kuendesha kikao cha Hamlmashauri Kuu (NEC ) ya CCM mjini Dodona leo. Kushoto ni Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana na Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara) Philip Mangula.
Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Kikwete akiwa ukumbini tayari kuongoza kikao hicho leo.
Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete akishauriana jambo na Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana, kabla ya...