‘Hakuna chama kilichohoji matokeo ya NEC’
TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imesema vyama vya siasa, vilipewa nafasi ya kuhoji matokeo waliyokuwa wakitangaza kutoka kwenye majimbo na hakuna chama kilichofanya hivyo.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi22 Jan
NEC: Hakuna mabadiliko ya ratiba Daftari la Wapigakura
9 years ago
Habarileo20 Aug
‘Hakuna mgombea urais aliyerejesha fomu NEC’
IKIWA zimebaki saa 48 kabla ya ukomo wa tarehe ya vyama vya siasa vilivyochukua fomu za kuwania urais, kurudisha fomu kwenye Tume ya Taifa ya Uchaguzi, hakuna chama ambacho mgombea wake amefanya hivyo.
10 years ago
Mwananchi10 Oct
NEC: Hakuna kura ya maoni bila daftari jipya
9 years ago
Habarileo01 Oct
Tangazeni matokeo vituoni -NEC
TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imesema katika kuonesha uwazi katika uchaguzi mkuu wa Oktoba 25 mwaka huu, imebariki vyombo vya habari kutangaza matokeo katika vituo vya kupigia kura. Hatua hiyo itawawezesha wananchi kujua matokeo ya vituo vyao na kura za wagombea, hivyo kuondoa malalamiko.
9 years ago
MichuziHAKUNA CHAMA CHA TANZANIA PEOPLE’S PARTY (TPP)-NYAHOZA
9 years ago
Dewji Blog30 Sep
NEC: Hakuna wizi na udanganyifu wa kura Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 25
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Damian Lubuva akisalimiana na Mwakilishi wa Chama cha Kitaifa cha Watu Wasioona Zanzibar (ZANAB), Adili Mohamed wakati wa mkutano baina ya taasisi za watu wenye ulemavu nchini na NEC iliyofanyika leo Jumanne Septemba 29, 2015 Jijini Dar es Salaam.
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Damian Lubuva akisalimiana na Mwakilishi wa Shirikisho la Watu Wenye Ulemavu Tanzania (SHIVYAWATA), Mkoa wa Dar es Salamm Mohamed Chazi ...
9 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/8ZkyxNsuQ5M/default.jpg)
10 years ago
Mtanzania11 Aug
Marando: Nitatangaza matokeo kabla ya NEC
NA MWANDISHI WETU
MWANASHERIA wa Chadema, Mabere Marando, ameahidi kutangaza matokeo ya uchaguzi kila kituo kitakapomaliza upigaji wa kura kabla ya kutangazwa na Tume ya Uchaguzi (NEC).
Marando alitoa kauli hiyo alipotakiwa na Lowassa kulitolea ufafanuzi wa kisheria zoezi la kukusanya shahada za kura za polisi na wanajeshi, linalodaiwa kufanywa na viongozi wao.
Alisema njama zote zinazotumiwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM) za kutaka kuhujumu matokeo, zikiwamo za kukusanya shahada za polisi...
9 years ago
Mtanzania28 Aug
NURU THE LIGHT: Hakuna tatizo msanii kushabikia chama cha siasa
NA JULIET MORI, (Tudarco)
MSANII wa Bongo Fleva anayefanyia shughuli zake za kimuziki nchini Sweeden, Nuru Magram ‘Nuru the Light’, amesema haoni ubaya kwa wasanii kuweka wazi ushabiki wao kwenye vyama vya siasa kwa kuwa kila mtu ana chama anachokipenda.
Nuru aliweka wazi hilo jana baada ya kutumbuiza na wafanyakazi wa Kampuni ya New Habari (2006) Ltd ikiwa ni ishara ya kukubali mchango wa kazi zinazofanywa na wafanyakazi wa kampuni hiyo kupitia magazeti yake matano ya Mtanzania, Bingwa,...