CCM yaridhia matokeo kubandikwa vituoni
CHAMA Cha Mapinduzi Zanzibar kimesema kimeridhishwa na utaratibu utakaotumiwa na Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC) wa kutangaza matokeo ya kura za urais katika vituo vya kupigia kura.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Raia Mwema07 Oct
Tujadili matokeo kubandikwa vituoni
SEPTEMBA 17, 2015, nilisoma taarifa ya January Makamba kwenye gazeti la NIPASHE (uk. 03).
Joseph Magata
9 years ago
Mwananchi19 Sep
NEC: Matokeo kura za urais kubandikwa vituoni
9 years ago
Habarileo01 Oct
Tangazeni matokeo vituoni -NEC
TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imesema katika kuonesha uwazi katika uchaguzi mkuu wa Oktoba 25 mwaka huu, imebariki vyombo vya habari kutangaza matokeo katika vituo vya kupigia kura. Hatua hiyo itawawezesha wananchi kujua matokeo ya vituo vyao na kura za wagombea, hivyo kuondoa malalamiko.
9 years ago
Mwananchi20 Sep
Kubandika matokeo ya urais vituoni kumechelewa
9 years ago
Mzalendo Zanzibar30 Sep
Ni Marufuku Kusafirisha Masanduku ya Kura……Tume Yasisitiza Matokeo Yatatangazwa Vituoni, Fomu za Urais Kuskaniwa Jimboni na Kutangazwa LIVE
Wednesday, September 30, 2015 MWENYEKITI wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Mstaafu Damian Lubuva, amesema kura zote za urais, ubunge na udiwani, zitahesabiwa katika vituo vya kupigia kura na matokeo yote kutangazwa hapo hapo […]
The post Ni Marufuku Kusafirisha Masanduku ya Kura……Tume Yasisitiza Matokeo Yatatangazwa Vituoni, Fomu za Urais Kuskaniwa Jimboni na Kutangazwa LIVE appeared first on Mzalendo.net.
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-F1x18cQ3VVw/VjEbdOA5FBI/AAAAAAAIDSA/Tskcoaa6-OU/s72-c/g4.jpg)
CCM inapenda kutoa taarifa ifuatayo kwa wana-CCM na kwa umma: MALALAMIKO YA CCM KUHUSU MATOKEO KWENYE BAADHI YA MAJIMBO
![](http://2.bp.blogspot.com/-F1x18cQ3VVw/VjEbdOA5FBI/AAAAAAAIDSA/Tskcoaa6-OU/s640/g4.jpg)
Wasimamizi wa uchaguzi katika majimbo haya wamevuruga uchaguzi. Kutokana na utata uliokuwa umejitokeza wakati wa zoezi la kujumlisha kura, CCM iliomba kura zihesabiwe upya...
9 years ago
Mzalendo Zanzibar23 Sep
MTANZANIA ZINDUKAAA!!!!CCM WATAPA-TAPA: “TUNAWEZA” Ni Matokeo ya Mbio za Uraisi Ndani ya CCM
Assalamu alaikhum Ndugu Wazanzibari wa Ndani na Nje ya Visiwa Vyetu. Assalamu Alaikhum Ndugu Watanganyika Wa Ndani na Nje Ya Nchi Yetu. Assalamu alaikhum Watanzania Wote Kwa Ujumla Wenu.. Ama mimi sina budi ila Kumshukuru Allah […]
The post MTANZANIA ZINDUKAAA!!!!CCM WATAPA-TAPA: “TUNAWEZA” Ni Matokeo ya Mbio za Uraisi Ndani ya CCM appeared first on Mzalendo.net.
9 years ago
Habarileo28 Sep
Marekani yaridhia mabilioni
TANZANIA imetimiza masharti yote ya kupatiwa raundi ya pili ya fedha za maendeleo kutoka Shirika la Maendeleo ya Milenia (MCC) la Marekani, hivyo itaanza kupata na kunufaika na mabilioni hayo ya fedha baada ya wajumbe wa Bodi ya MCC kupiga kura ya kuidhinisha kutolewa kwa fedha hizo chini ya Mpango wa MCC-2.