Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Marekani yaridhia mabilioni

TANZANIA imetimiza masharti yote ya kupatiwa raundi ya pili ya fedha za maendeleo kutoka Shirika la Maendeleo ya Milenia (MCC) la Marekani, hivyo itaanza kupata na kunufaika na mabilioni hayo ya fedha baada ya wajumbe wa Bodi ya MCC kupiga kura ya kuidhinisha kutolewa kwa fedha hizo chini ya Mpango wa MCC-2.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Tanzania kunufaika na uwekezaji wa mabilioni ya Marekani katika umeme

8E9U5151-702298

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete katika mazungumzo na Mtendaji Mkuu na Mtawala Mkuu wa zamani wa Shirika la Maendeleo ya Misaada ya Kimataifa la Marekani (USAID), Bwana Raj Shah. (Picha na Maktaba).

*Ni moja ya nchi tatu tu za Afrika zitakazonufaika kwa sasa

*India nayo italengwa na mpango huo wa sekta binafsi

*Walioubuni wasema umasikini haufutiki bila umeme wa kutosha

Tanzania ni moja ya nchi tatu tu za Afrika ambazo zitanufaika na uwekezaji wa...

 

10 years ago

Mwananchi

Marekani yacharuka escrow;Tanzania yakosa mabilioni ya MCC, ni Dola 450 milioni

Wakati Serikali ya Marekani ikisema haitatoa fedha za Changamoto za Milenia (MCC) hadi utekelezaji wa maazimio ya Bunge kuhusu ufisadi katika akaunti ya Tegeta Escrow wa Sh306 bilioni utakapofanyiwa kazi, Ikulu imesema, Rais Jakaya Kikwete hatatekeleza agizo hilo kwa shinikizo la msaada huo.

 

10 years ago

Mwananchi

Serikali yaridhia ujenzi wa hoteli

Hatimaye Serikali imetoa idhini ya ujenzi wa hoteli ya kitalii katika eneo jirani na Kingo za Kreta ya Ngorongoro, eneo ambalo awali lilitangazwa kupigwa marufuku kufanyika kwa ujenzi wa aina yoyote.

 

10 years ago

Habarileo

Kamati yaridhia bajeti ya Wizara ya Habari

Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Maendeleo ya Jamii, Albert Obama KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Maendeleo ya Jamii, imeridhia zaidi ya Sh bilioni 29.41 zilizotengwa kwa ajili makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo.

 

10 years ago

Habarileo

CCM yaridhia matokeo kubandikwa vituoni

CHAMA Cha Mapinduzi Zanzibar kimesema kimeridhishwa na utaratibu utakaotumiwa na Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC) wa kutangaza matokeo ya kura za urais katika vituo vya kupigia kura.

 

11 years ago

Mwananchi

Mahakama yaridhia TLS kupinga Bunge la Katiba

Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam imeipa kibali Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) kufungua kesi ya kupinga Bunge la Katiba.

 

11 years ago

Mwananchi

Mabilioni Uswisi yachotwa

Mabilioni ya shilingi yaliyowekwa na Watanzania katika benki za Uswisi yameanza kuhamishwa kimyakimya.

 

9 years ago

Mtanzania

Jinsi mabilioni yalivyochotwa

MTZ Alhamisi new july.inddFredy Azzah, Dar es Salaam

WAKATI Watanzania wakiumiza kichwa kujua watu waliofaidika na rushwa ya Sh bilioni 12 (dola za Marekani milioni 6), zilitokana na mkopo wa dola za Marekani milioni 600 (Sh trilioni 1.3), ambao Tanzania iliomba kwenye Benki ya Standard kupitia mshirika wake Stanbic Tanzania, imebainika kuwa mchakato ulianza mwaka 2011 na kushirikisha watu mbalimbali wakiwamo maofisa wa Serikali na watoto wao.

 

KESI ILIVYOANZA

Mwenendo wa kesi iliyotolewa hukumu Novemba 30 nchini...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani