Serikali yaridhia ujenzi wa hoteli
Hatimaye Serikali imetoa idhini ya ujenzi wa hoteli ya kitalii katika eneo jirani na Kingo za Kreta ya Ngorongoro, eneo ambalo awali lilitangazwa kupigwa marufuku kufanyika kwa ujenzi wa aina yoyote.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi30 Jun
Wamasai wapinga ujenzi wa hoteli ndani ya Ngorongoro
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-271rv0TJ3Z8/UxM_vZzlOBI/AAAAAAAFQjI/WaXdW-Lxz4Q/s72-c/unnamed+(100).jpg)
Balozi Seif Ali Iddi akagua ujenzi wa Hoteli Mpya ya Daraja la Saba ya Grand Hayatt Zaznzibar
11 years ago
MichuziMaalim Seif atembelea eneo la Mji Mkongwe Zanzibar kuangalia mradi wa ujenzi wa hoteli ya kisasa ya Grand Hyatt
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-65fCqfqShy8/XqbKuLZVKoI/AAAAAAAC4Dg/AotFcR3xvzAfnhiaLM5kzAbbY-kzXobrgCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
DIAMONDIAKABIDHI KWA SERIKALI HOTELI YAKE ITUMIKE KUHUDUMIA WAGONJWA WA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-65fCqfqShy8/XqbKuLZVKoI/AAAAAAAC4Dg/AotFcR3xvzAfnhiaLM5kzAbbY-kzXobrgCLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
Diamond amesema hayo leo ikiwa ni siku mbili baada kutangaza kuwalipia nyumba watu 500 ili kuondokana na adha ya kodi katika kipindi hiki cha maambukizi ya ugonjwa wa covid-19.
“Misukumo ya kusaidia watu, imetokana na malezi niliyolelewa, maisha niliyotokea na historia yangu ya nyuma. Nikikumbuka...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-bl6FN1eXsyA/VNEZNvmUChI/AAAAAAAAGUY/ZbuxslaVKy4/s72-c/IMG_1989.jpg)
UJENZI WA BARABARA YA LAMI KUUNGANISHA MIKOA YA MBEYA NA RUKWA WAKAMILIKA, WAZIRI WA UJENZI AAHIDI SERIKALI KUKAMILISHA KUUNGA PIA MIKOA YA KATAVI, KIGOMA NA TABORA...
![](http://3.bp.blogspot.com/-bl6FN1eXsyA/VNEZNvmUChI/AAAAAAAAGUY/ZbuxslaVKy4/s1600/IMG_1989.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-g0Ba7CFYbbA/VNEXUCToWwI/AAAAAAAAGT8/blssevIgj3c/s1600/IMG_4378.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-GZHHZUsNTKs/Xm_SYqPBQ1I/AAAAAAALj_g/2oSh7fEC-RkV3JIx4-1WhIPmnaq_ioeywCLcBGAsYHQ/s72-c/GAMBO%252BPICHAA.jpg)
RC ARUSHA MRISHO GAMGO ASEMA HOTELI ALIYOPATIKANA MGONJWA WA CORONA IMEIFUNGA, WALIOPO HOTELI WOTE HAKUNA KUTOKA WALA KUINGIA
![](https://1.bp.blogspot.com/-GZHHZUsNTKs/Xm_SYqPBQ1I/AAAAAAALj_g/2oSh7fEC-RkV3JIx4-1WhIPmnaq_ioeywCLcBGAsYHQ/s400/GAMBO%252BPICHAA.jpg)
MKUU wa Mkoa wa Arusha Mrisho Gambo amesema kwamba ndani ya Mkoa huo amebainika kuwepo kwa mgonjwa mmoja wa Corona na kwamba hoteli ambayo amekutwa mgonjwa huyo imefungwa na hivyo hakuna anayeingia wala anayetoka.
Akizungumza leo Machi 16 mwaka 2020 , Mkuu wa Mkoa wa Arusha Gambo amesema kama ambavyo ameeleza Waziri wa Afya ,Maendeleo ya Jamii,Jinsia, Wazee na Watoto Ummy Mwalimu ni kweli wamepata mgonjwa mmoja wa Corona na kwa mujibu wa taarifa huyo...
9 years ago
Habarileo28 Sep
Marekani yaridhia mabilioni
TANZANIA imetimiza masharti yote ya kupatiwa raundi ya pili ya fedha za maendeleo kutoka Shirika la Maendeleo ya Milenia (MCC) la Marekani, hivyo itaanza kupata na kunufaika na mabilioni hayo ya fedha baada ya wajumbe wa Bodi ya MCC kupiga kura ya kuidhinisha kutolewa kwa fedha hizo chini ya Mpango wa MCC-2.
9 years ago
Habarileo01 Oct
CCM yaridhia matokeo kubandikwa vituoni
CHAMA Cha Mapinduzi Zanzibar kimesema kimeridhishwa na utaratibu utakaotumiwa na Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC) wa kutangaza matokeo ya kura za urais katika vituo vya kupigia kura.
10 years ago
Habarileo05 May
Kamati yaridhia bajeti ya Wizara ya Habari
KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Maendeleo ya Jamii, imeridhia zaidi ya Sh bilioni 29.41 zilizotengwa kwa ajili makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo.