Wamasai wapinga ujenzi wa hoteli ndani ya Ngorongoro
>Wafugaji wa jamii ya Kimasai wanaoishi ndani ya Mamlaka a Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA) wamepinga ujenzi wa hoteli mpya katika kingo za bonde la Ngorongoro kwa sababu licha ya kuathiri mazingira pia itaziba mapito ya wanyamapori na malisho ya mifugo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog09 Feb
Wamasai wataka uwekezaji kusitishwa Ngorongoro
Kiongozi wa mila tarafa ya Ngorongoro, Augustino Pakai Olonyokei akizungumza na Meneja uendeshaji wa mtandao wa habari wa modewjiblog, Zainul Mzige aliyefika eneo hilo kwa ajili ya kuangalia miradi mbalimbali inayoendeshwa kusaidia jamii ya wafugaji wa kimasai hivi karibuni.
Na Mwandishi wetu, Ngorongoro
KIONGOZI wa mila tarafa ya Ngorongoro Augustino Pakai Olonyokei ameitaka serikali kusimamisha uwekezaji katika Mamlaka ya Ngorongoro ili kupunguza shinikizo la raslimali katika eneo...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-bdrsTvcLHAA/XnzH75w9ilI/AAAAAAALlLw/Y_Dck3W0Lrc-_8elZhDZa76H1dQupo6MACLcBGAsYHQ/s72-c/a1b1e13a-e93f-4fa3-9a84-1930981a549e.jpg)
UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO NDANI YA HIFADHI YA ENEO LA NGORONGORO SASA WAHAMISHIWA HALMASHAURI YA WILAYA YA NGORONGORO
Taarifa iliyotolewa leo kwa vyombo vya habari imeeleza mkutano huo wa siku tatu ulikuwa ukiongozwa na Waziri wa Maliasili na Utalii Dk.Hamis Kigwangala na moja ya majadiliano yalikuwa ni kuangalia utaratibu wa Usimamizi wa fedha zinazotolewa na Mamlaka ya Hifadhi ya eneo la Ngorongoro kwa ajili ya Baraza la...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-EkN7EZfqvyg/VG9qDm0Va9I/AAAAAAAGyv0/P4ZJNc9bBHQ/s72-c/DSC_2980.jpg)
Mh. Nyarandu azungumza na wanahabari kuhusu uvumi wa kuhamishwa kwa jamii ya wamasai katika hifadhi ya ngorongoro
![](http://1.bp.blogspot.com/-EkN7EZfqvyg/VG9qDm0Va9I/AAAAAAAGyv0/P4ZJNc9bBHQ/s1600/DSC_2980.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/UpsKGvPjAgw/default.jpg)
10 years ago
Mwananchi14 Nov
Serikali yaridhia ujenzi wa hoteli
10 years ago
Mwananchi16 Mar
Kinana: Ujenzi barabara ‘ya Ngorongoro’ umeiva
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-271rv0TJ3Z8/UxM_vZzlOBI/AAAAAAAFQjI/WaXdW-Lxz4Q/s72-c/unnamed+(100).jpg)
Balozi Seif Ali Iddi akagua ujenzi wa Hoteli Mpya ya Daraja la Saba ya Grand Hayatt Zaznzibar
11 years ago
MichuziMaalim Seif atembelea eneo la Mji Mkongwe Zanzibar kuangalia mradi wa ujenzi wa hoteli ya kisasa ya Grand Hyatt
10 years ago
Dewji Blog27 Apr
Mnuso wa uzinduzi wa shamra shamra za miaka 70 ya Umoja wa Mataifa wafana ndani ya hoteli ya White Sands
Cake maalum iliyoandaliwa kwenye sherehe za uzinduzi wa shamra shamra za miaka 70 ya Umoja wa Mataifa uliofanyika mwishoni mwa juma kwenye hoteli ya White Sands jijini Dar es Salaam.
Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Maendeleo (UNDP) nchini, Alvaro Rodriguez (katikati) akiteta jambo na Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa la UN Women nchini Tanzania, Anna Collins kabla ya zoezi la kuwasha mishuma 70 kwenye cake hiyo...