Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wamasai wataka uwekezaji kusitishwa Ngorongoro

 

DSC_0200

Kiongozi wa mila tarafa ya Ngorongoro, Augustino Pakai Olonyokei akizungumza na Meneja uendeshaji wa mtandao wa habari wa modewjiblog, Zainul Mzige aliyefika eneo hilo kwa ajili ya kuangalia miradi mbalimbali inayoendeshwa kusaidia jamii ya wafugaji wa kimasai hivi karibuni.

Na Mwandishi wetu, Ngorongoro

KIONGOZI wa mila tarafa ya Ngorongoro Augustino Pakai Olonyokei ameitaka serikali kusimamisha uwekezaji katika Mamlaka ya Ngorongoro ili kupunguza shinikizo la raslimali katika eneo...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Wamasai wapinga ujenzi wa hoteli ndani ya Ngorongoro

>Wafugaji wa jamii ya Kimasai wanaoishi ndani ya Mamlaka a Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA) wamepinga ujenzi wa hoteli mpya katika kingo za bonde la Ngorongoro kwa sababu licha ya kuathiri mazingira pia itaziba mapito ya wanyamapori na malisho ya mifugo.

 

10 years ago

Michuzi

Mh. Nyarandu azungumza na wanahabari kuhusu uvumi wa kuhamishwa kwa jamii ya wamasai katika hifadhi ya ngorongoro

Waziri wa Maliasili na Utalii,Mhe. Lazaro Nyalandu akizungumza na Waandishi wa Habari (hawako pichani) katika Ukumbi wa Habari wa Bunge Mjini Dodoma leo Novemba 21,2014, kuhusu Uvumi ulioanza kuenea kuwa jamii ya wamasai wanaoishi katika hifadhi ya Hifadhi ya Ngorongoro kuwa watahamishwa.

 

10 years ago

Mwananchi

Tahliso wataka Bunge Maalumu kusitishwa

Jumuiya ya Wanafunzi wa Vyuo vya Elimu ya Juu (Tahliso) imesema itafanya maandamamo nchi nzima, endapo Bunge Maalumu la Katiba halitasitisha vikao vyake kama lilivyotakiwa.

 

10 years ago

StarTV

UKAWA wataka zoezi uandikishwaji wapiga kura kusitishwa.

Na Seda Elias,

Dar es salaam

 

Wakati tume ya uchaguzi ikiwa imeanza zoezi la uandikishaji wapiga kura kwa kutumia mfumo wa kieletroniki wa BVR, Umoja wa katiba ya wananchi, UKAWA, umemtaka Rais Jakaya Kikwete kutoa tamko la kusitisha zoezi hilo ili kusawazisha changamoto zinazojitokeza, ili na kuwezesha watanzania wengi kuandikishwa.

 

Ikiwa ni siku ya pili tu ya zoezi hilo, tayari kunatajwa baadhi ya changamoto ambazo ni pamoja na mashine za BVR kushindwa kuhimili hali ya joto, upungufu wa...

 

11 years ago

Mwananchi

Wachumi wataka uwekezaji zaidi sekta ya kilimo

>Serikali imetakiwa kuwekeza zaidi  katika kilimo na kuandaa mipango na sera zitakazowanufaisha wakulima wa ngazi ya chini.

 

5 years ago

Michuzi

UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO NDANI YA HIFADHI YA ENEO LA NGORONGORO SASA WAHAMISHIWA HALMASHAURI YA WILAYA YA NGORONGORO

MKUTANO wa siku tatu uliokuwa unafanyika kati ya Wizara ya Maliasili na Utalii na Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro umemalizika leo Machi 26 mwaka huu wa 2020 kwa mafanikio makubwa.

Taarifa iliyotolewa leo kwa vyombo vya habari imeeleza mkutano huo wa siku tatu ulikuwa ukiongozwa na Waziri wa Maliasili na Utalii Dk.Hamis Kigwangala na moja ya majadiliano yalikuwa ni kuangalia utaratibu wa Usimamizi wa fedha zinazotolewa na Mamlaka ya Hifadhi ya eneo la Ngorongoro kwa ajili ya Baraza la...

 

11 years ago

Michuzi

BALOZI KAMALA AKUTANA NA MENEJA WA UWEKEZAJI WA TAASISI YA UWEKEZAJI YA WALLONIA YA UBELGIJI

Balozi wa Tanzania Ubelgiji Dr. Diodorus Buberwa Kamala akiwa katika picha ya pamoja na Meneja wa Uwekezaji wa Taasisi ya Uwekezaji ya Wallonia ya Ubelgiji Bi. Dominique Badot baada ya kumaliza kikao cha maandalizi ya Ziara ya Wafanyabiashara na Wawekezaji kutoka Ubelgiji inayopangwa kufanyika Tanzania mwaka huu.

 

11 years ago

Michuzi

KITUO CHA UWEKEZAJI CHAWAPONGEZA WAKUU WA MIKOA KATIKA JITIHADA ZAO ZA KUHAMASISHA UWEKEZAJI MIKOA YA KANDA YA ZIWA

Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Uwekezaji amewapongeza Wakuu wa Mikoa wa Kanda ya Ziwa katika juhudi zao za kuhakikisha Kongamano la Uwekezaji Kanda ya Ziwa linafanyika.
Mikoa ambayo itashiriki katika Kongamano la Uwekezaji la Kanda ya Ziwa ni Mwanza, Geita, Mara, Simiyu, Kagera na Shinyanga Kongamano ambalo kwa pamoja litawakutanisha Wawekezaji pamoja na Serikali katika kujadili vivutio vya Uwekezaji vinavyopatikana katika mikoa hiyo ya kanda ya Ziwa.
Kituo cha Uwekezaji Kimejizatiti...

 

10 years ago

BBCSwahili

TZ yakana mpango wa kuwatimua wamasai

Tanzania imekanusha vikali taarifa kuwa ina mpango wa kuwaondoa wamasai wapatao 40,000 katika eneo lao la urithi ifikapo mwishoni mwa mwaka huu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani