Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wachumi wataka uwekezaji zaidi sekta ya kilimo

>Serikali imetakiwa kuwekeza zaidi  katika kilimo na kuandaa mipango na sera zitakazowanufaisha wakulima wa ngazi ya chini.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Sekta za tisa za uwekezaji zitakazolipa zaidi mwaka 2016

Tunakaribia mwishoni mwa mwaka 2015. Hakuna jipya tena unaloweza kufanya ndani ya wiki moja zaidi ya kujipanga kwa mwaka ujao.

 

11 years ago

Michuzi

Serikali ya Tanzania yasaini msaada wa zaidi ya Sh. Bilioni 134 kusaidia sekta ya kilimo na usafirishaji

Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Dkt. Servacius Likwelile (kulia) akisaini mkataba wa msaada wa sh. Bilioni 134 kwa niaba ya Serikali ya Tanzania leo jijini Dar es salaam. Kushoto ni Balozi EU nchini Filberto Sebregond. Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Dkt. Servacius Likwelile (kulia) akibadilishana hati ya mkataba wa msaada wa sh. Bilioni 134 waliosaini kwa niaba ya Serikali ya Tanzania leo jijini Dar es salaam. Kushoto ni Balozi EU nchini Filberto Sebregond. (Picha na Wizara ya Fedha)...

 

11 years ago

Dewji Blog

Serikali ya Tanzania yasaini msaada wa zaidi ya Sh. Bilioni 134 kusaidia sekta ya kilimo na usafirishaji

01

Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Dkt. Servacius Likwelile (kulia) akisaini mkataba wa msaada wa sh. Bilioni 134 kwa niaba ya Serikali ya Tanzania leo jijini Dar es salaam. Kushoto ni Balozi EU nchini Filiberto Ceriani Sebregondi.

02

Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Dkt. Servacius Likwelile (kulia) akibadilishana hati ya mkataba wa msaada wa sh. Bilioni 134 waliosaini kwa niaba ya Serikali ya Tanzania leo jijini Dar es salaam. Kushoto ni Balozi EU nchini Filiberto Ceriani Sebregondi.(Picha na Wizara ya...

 

5 years ago

Michuzi

WAZIRI WA KILIMO NA WAZIRI WA VIWANDA WAONGOZA KIKAO KAZI KUJADILI UFUNGAMANISHAJI SEKTA YA KILIMO NA MIKAKATI YA KUTAFUTA MASOKO

Waziri wa Viwanda na Bishara Mhe Innocent Nashungwa (Kulia) akisisitiza jambo wakati wa kikao kazi cha kujadili namna ya kufungamanisha uchumi wa Kilimo na Viwanda Jijini Dodoma, leo tarehe 1 Aprili 2020.Mshauri wa masuala ya Maendeleo ya Viwanda vya Kilimo wa Taasisi ya kuendeleza Kilimo Afrika (AGRA) Ndg Peniel Lyimo akichangia mada wakati wa kikao kazi kilichoongozwa na Waziri wa Kilimo Mhe Japhet Hasunga na Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe Innocent Bashungwa cha kujadili namna...

 

10 years ago

Dewji Blog

Wamasai wataka uwekezaji kusitishwa Ngorongoro

 

DSC_0200

Kiongozi wa mila tarafa ya Ngorongoro, Augustino Pakai Olonyokei akizungumza na Meneja uendeshaji wa mtandao wa habari wa modewjiblog, Zainul Mzige aliyefika eneo hilo kwa ajili ya kuangalia miradi mbalimbali inayoendeshwa kusaidia jamii ya wafugaji wa kimasai hivi karibuni.

Na Mwandishi wetu, Ngorongoro

KIONGOZI wa mila tarafa ya Ngorongoro Augustino Pakai Olonyokei ameitaka serikali kusimamisha uwekezaji katika Mamlaka ya Ngorongoro ili kupunguza shinikizo la raslimali katika eneo...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Serikali kuboresha uwekezaji sekta ya nishati

SERIKALI imekusudia kuweka mazingira mazuri ya kuvutia wawekezaji katika sekta ya nishati zikiwamo kampuni zake. Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Dk. Charles Kitwanga, alitoa kauli hiyo bungeni jana alipokuwa...

 

10 years ago

Habarileo

Serikali yahamasisha uwekezaji sekta ya viwanda

SERIKALI imetoa mwito kwa Ofisi za Wakuu wa Mikoa kuhamasisha uwekezaji katika Sekta ya Viwanda kwenye mikoa yao ili kuweza kukuza uchumi wa mikoa husika na taifa kwa ujumla.

 

10 years ago

Dewji Blog

RC Moro ashawishi uwekezaji kilimo, viwanda na utalii

OLYMPUS DIGITAL CAMERA

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Dkt. Rajab Rutengwe (kulia) akimkaribisha Balozi wa Afika ya Kusini Nchini, Bw. T.D. Mseleku  alipomtembelea Ofsini kwake  hivi karibuni.

OLYMPUS DIGITAL CAMERA

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Dkt. Rajab Rutengwe (kulia) akiwa katika mazungumzo na mgeni wake Balozi wa Afrika Kusini Bw. T. Mseleku.

OLYMPUS DIGITAL CAMERA

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Dkt. Rajab Rutengwe (kushoto) wakiwa katika picha ya pamoja na Bw. T. Mseleku Balozi wa Afirika ya Kusini mbele ya Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Morogoro.

Na Andrew Chimesela,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani