Sekta za tisa za uwekezaji zitakazolipa zaidi mwaka 2016
Tunakaribia mwishoni mwa mwaka 2015. Hakuna jipya tena unaloweza kufanya ndani ya wiki moja zaidi ya kujipanga kwa mwaka ujao.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi02 Jan
Wachumi wataka uwekezaji zaidi sekta ya kilimo
9 years ago
Bongo519 Dec
Tukikaza zaidi, mwaka 2016 ni wetu – Vanessa Mdee
![Vanessa and Tekno](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Vanessa-and-Tekno-300x194.jpg)
Vanessa Mdee amewataka wasanii wa Tanzania kukaza zaidi kwenye muziki wao kwani Bongo Flava ipo kwenye soko kwa sasa.
Akizungumza na Bongo5 jana kwenye uzinduzi wa video ya wimbo mpya wa Ommy Dimpoz, Vanessa alisema wasanii wakitumia utamaduni wa Tanzania wataboresha zaidi muziki wao kimataifa.
“Wapokeaji wa muziki mzuri wapo wengi sana ndani na nje ya Tanzania kwa sasa,” alisema Vee Money.
“Kwahiyo hii ni nafasi ya pekee ya sisi kuonesha uwezo wetu kwa sababu attraction ipo kwetu....
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-7K3rP4WZ2qM/VAiRmKcEy2I/AAAAAAAGeF0/IO9w5u_eyC0/s72-c/unnamed%2B(91).jpg)
Kongamano la 12 la Uwekezaji katika sekta ya Madini linalofanyika kila mwaka katika mji wa Perth nchini Australia
![](http://2.bp.blogspot.com/-7K3rP4WZ2qM/VAiRmKcEy2I/AAAAAAAGeF0/IO9w5u_eyC0/s1600/unnamed%2B(91).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-LdQV_aYMEUY/VAiRmIXd6TI/AAAAAAAGeF4/vD-JuEJ3YQk/s1600/unnamed%2B(92).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-dBDvX5cjTVI/VAiRmWm0ELI/AAAAAAAGeF8/wZjBs1Dhj8s/s1600/unnamed%2B(93).jpg)
9 years ago
Dewji Blog23 Dec
Hiki ndiyo kikosi cha wachezaji 11 ambao wameng`aa zaidi kuelekea kumaliza mwaka 2015, msimu wa 2015/2016 kwenye EPL
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Mtandao wa habari za michezo wa Goal.com umetoa majina 11 ya wachezaji ambao wameonyesha uwezo zaidi katika Ligi Kuu ya Uingereza EPL kwa msimu wa 2015/2016 kuelekea kumaliza mwaka 2015.
Mpaka sasa imeshachezwa michezo 17 na klabu ya Leicester City ikiwa nafasi ya kwanza kwa kukusanya jumla ya alama 38 ikifuatiwa na Arsenal yenye alama 36 na klabu ya Aston Villa ikiwa mkiani na alama 7.
Listi ya wachezaji hao ni kama ifuatavyo;
Golikipa
Jack Butland -Stoke...
10 years ago
Habarileo11 Dec
Serikali yahamasisha uwekezaji sekta ya viwanda
SERIKALI imetoa mwito kwa Ofisi za Wakuu wa Mikoa kuhamasisha uwekezaji katika Sekta ya Viwanda kwenye mikoa yao ili kuweza kukuza uchumi wa mikoa husika na taifa kwa ujumla.
11 years ago
Tanzania Daima26 Jun
Serikali kuboresha uwekezaji sekta ya nishati
SERIKALI imekusudia kuweka mazingira mazuri ya kuvutia wawekezaji katika sekta ya nishati zikiwamo kampuni zake. Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Dk. Charles Kitwanga, alitoa kauli hiyo bungeni jana alipokuwa...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-rZGcwBda_8g/VVH7nk9ByCI/AAAAAAAAAiM/91d77aHgo5g/s72-c/IMG_9384.jpg)
WAKALA WA MISITU WAHAMASISHA UWEKEZAJI KATIKA SEKTA YA NYUKI.
Hayo yamezungumzwa na Afisa ufugaji nyuki mkuu wa Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania Mwanahamisi Mapolu wakati akizungumza na waandishi wa habari katika ukumbi wa idara ya habari MAELEZO jijini Dar es Salaam leo.
Mapolu amesema kuwa wawekezaji wajikite zaidi katika usimamiaji wa viwanda vitakavyozalisha...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-_oeDTsN3sfo/VLZ-AywIn0I/AAAAAAAG9WM/oRP1htL-fuE/s72-c/DSC_0474.jpg)
WATANZANIA WAASWA KUTOA USHIRIKIANO KATIKA SEKTA YA UWEKEZAJI
![](http://3.bp.blogspot.com/-_oeDTsN3sfo/VLZ-AywIn0I/AAAAAAAG9WM/oRP1htL-fuE/s1600/DSC_0474.jpg)
Na Chalila Kibuda, Globu ya Jamii ,Dar
Watanzania wametakiwa kuonyesha ushirikiano katika sekta ya uwekezaji ili kuweza kuwavutia wawekezaji wa nje kuwekeza nchini.
Hayo yamesemwa leo na Mwenyekiti wa Wafanyabiashara wa Oman na Tanzania, Soud Ahmed Al-Rahili alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, wakati walipokuwa wakijadili masuala ya...
10 years ago
MichuziBALOZI SEIF ALI IDDI AFUNGUA MKUTANO WA TISA WA TATHMINI YA SEKTA YA AFYA ZANZIBAR
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI