Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Serikali kuboresha uwekezaji sekta ya nishati

SERIKALI imekusudia kuweka mazingira mazuri ya kuvutia wawekezaji katika sekta ya nishati zikiwamo kampuni zake. Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Dk. Charles Kitwanga, alitoa kauli hiyo bungeni jana alipokuwa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

SEKTA BINAFSI YACHANGIA SERIKALI BILIONI 2.1 KWA AJILI YA KUBORESHA SEKTA YA AFYA


Na. WAMJW-DSM

Serikali kupitia Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imepokea kiasi cha shilingi bilioni 2.1 kwa ajili ya kuboresha huduma za afya kwenye vituo vya kutolea huduma za afya nchini kutoka kwa wadau wa Taasisi ya Sekta Binafsi Tanzania (TPSF).

Akiongea wakati wa makabidhiano hayo Mganga Mkuu wa Serikali Prof. Abel Makubi ameishukuru TPSF kwa uratibu wao kwa sekta binafsi kuchangia vifaa tiba hivyo ili vituo vya afya kuwa na vifaa muhimu vya kutolea...

 

10 years ago

Habarileo

Serikali yahamasisha uwekezaji sekta ya viwanda

SERIKALI imetoa mwito kwa Ofisi za Wakuu wa Mikoa kuhamasisha uwekezaji katika Sekta ya Viwanda kwenye mikoa yao ili kuweza kukuza uchumi wa mikoa husika na taifa kwa ujumla.

 

10 years ago

Michuzi

BARAZA LA BIASHARA MKOA WA DODOMA LASISITIZA USHIRIKIANO BAINA YA SERIKALI NA SEKTA BINAFSI ILI KUONGEZA FURSA ZA UWEKEZAJI NA KUKUZA UCHUMI WA DODOMA

Mkuu wa Mkoa Dodoma na Mwenyekiti wa Baraza la Biashara Mkoa wa Dodoma Mhe. Chiku Gallawa akitoa hotuba ya kufungua mkutano wa baraza hilo Mjini Dodoma Feb. 13,2015. Katibu Mtendaji wa Baraza la Biashara la Taifa (TNBC) Ndg. Raymond Mbilinyi akiwasilisha majukumu ya Baraza hilo katika kusaidia mabaraza ya biasara ya Mkoa na jinsi ya kukuza ushirikiano kati ya Serikali na Sekta binafsi wakati wa mkutao wa baraza la biashara la Dodoma Feb. 13, 2015. Wajumbe wa baraza la biashara Mkoa wa Dodoma...

 

10 years ago

Michuzi

Tanzania kuboresha Miundombinu yake ili kuongeza kasi ya Uwekezaji

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Uwekezaji na Uwezeshaji) Mhe. Mhandisi Christopher Chiza, akitoa hotuba yake baada ya ufunguzi wa kongamano la Biashara na Uwekezaji kati ya nchi ya Comoro na Tanzania kwa wadau na wafanyabiashara kutoka Tanzania (hawapo pichani). Kongamano hilo limeanza tarehe 23 Aprili, 2015 likiwa na lengo la kufungua fursa mpya za biashara na uwekezaji nchini Tanzania na Comoro. Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Uwekezaji na Uwezeshaji) Mhe. Mhandisi ...

 

10 years ago

Michuzi

Nishati na Madini watakiwa kuboresha tathmini ya mapendekezo ya miradi

Na Greyson Mwase, Bagamoyo
Wataalamu wa Wizara ya Nishati na Madini wametakiwa kuboresha ufanyaji wa tathmini ya mapendekezo ya miradi (project proposal) ya Wizara kwa uwazi kwani ina mchango mkubwa katika kufanikisha utekelezaji wa miradi hiyo.
Hayo yalisemwa na Mkurugenzi Msaidizi Sehemu ya Rasilimaliwatu kutoka Wizara ya Nishati na Madini Lusius Mwenda, alipokuwa akifunga awamu ya kwanza ya mafunzo ya jinsi ya kuandaa mapendekezo ya miradi, sera pamoja na utekelezaji wake...

 

11 years ago

Mwananchi

Wizara kuboresha sekta ya umwagiliaji

Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika imeanzisha tume ya kuboresha sekta ya Idara ya Umwagiliaji na Huduma za Ufundi.

 

11 years ago

Mwananchi

Sekta ya Nishati mwiba mchungu

>Sekta ya nishati imebainika kuweka historia mbaya nchini katika kipindi cha zaidi ya miaka 20 ikisababisha mitikisiko katika Serikali, kuyumbisha uchumi na kuwang’oa mawaziri zaidi ya watatu na watendaji mbalimbali wa Serikali, taasisi na mashirika yake.

 

9 years ago

StarTV

Magufuli kuboresha sekta ya mifugo Karatu

Mgombea urais kupitia chama cha mapinduzi John Pomba Magufuli ameweka  bayana nia yake ya kuboresha bidhaa zitokanazo na mifugo kwa kuweka mazingira safi na yakisasa kwa wafugaji kote nchini.

Katika mkutano wake wa hadhara mjini Karatu mkoani Manyara  Magufuli amesema bidhaa nyingi zitokanazo  na mifugo kutoka nchini Tanzania zimekuwa zikikutana na vikwazo katika masoko ya kimataifa kutoka na mazingira magumu wanayokumbana nayo wafugaji.

Kwa kauli hiyo  Magufuli anajidhatiti kuleta...

 

11 years ago

Mwananchi

Wachumi wataka uwekezaji zaidi sekta ya kilimo

>Serikali imetakiwa kuwekeza zaidi  katika kilimo na kuandaa mipango na sera zitakazowanufaisha wakulima wa ngazi ya chini.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani