Serikali kuboresha uwekezaji sekta ya nishati
SERIKALI imekusudia kuweka mazingira mazuri ya kuvutia wawekezaji katika sekta ya nishati zikiwamo kampuni zake. Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Dk. Charles Kitwanga, alitoa kauli hiyo bungeni jana alipokuwa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-7Nr85iToPjE/Xuyv5d67UeI/AAAAAAALuls/wCd5IV8DjSY6B1VFHKTGao_2YiwXs4GPACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-19%2Bat%2B1.39.54%2BPM.jpeg)
SEKTA BINAFSI YACHANGIA SERIKALI BILIONI 2.1 KWA AJILI YA KUBORESHA SEKTA YA AFYA
Na. WAMJW-DSM
Serikali kupitia Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imepokea kiasi cha shilingi bilioni 2.1 kwa ajili ya kuboresha huduma za afya kwenye vituo vya kutolea huduma za afya nchini kutoka kwa wadau wa Taasisi ya Sekta Binafsi Tanzania (TPSF).
Akiongea wakati wa makabidhiano hayo Mganga Mkuu wa Serikali Prof. Abel Makubi ameishukuru TPSF kwa uratibu wao kwa sekta binafsi kuchangia vifaa tiba hivyo ili vituo vya afya kuwa na vifaa muhimu vya kutolea...
10 years ago
Habarileo11 Dec
Serikali yahamasisha uwekezaji sekta ya viwanda
SERIKALI imetoa mwito kwa Ofisi za Wakuu wa Mikoa kuhamasisha uwekezaji katika Sekta ya Viwanda kwenye mikoa yao ili kuweza kukuza uchumi wa mikoa husika na taifa kwa ujumla.
10 years ago
MichuziBARAZA LA BIASHARA MKOA WA DODOMA LASISITIZA USHIRIKIANO BAINA YA SERIKALI NA SEKTA BINAFSI ILI KUONGEZA FURSA ZA UWEKEZAJI NA KUKUZA UCHUMI WA DODOMA
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-wrLkZt76zD4/VToJnyL3WII/AAAAAAAHS4c/PfhX6OIwn1Y/s72-c/unnamed%2B(5).jpg)
Tanzania kuboresha Miundombinu yake ili kuongeza kasi ya Uwekezaji
![](http://3.bp.blogspot.com/-wrLkZt76zD4/VToJnyL3WII/AAAAAAAHS4c/PfhX6OIwn1Y/s1600/unnamed%2B(5).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-D2ZOysWUZUE/VToJn7-DcqI/AAAAAAAHS4g/PgbVaEiris8/s1600/unnamed%2B(6).jpg)
10 years ago
MichuziNishati na Madini watakiwa kuboresha tathmini ya mapendekezo ya miradi
Wataalamu wa Wizara ya Nishati na Madini wametakiwa kuboresha ufanyaji wa tathmini ya mapendekezo ya miradi (project proposal) ya Wizara kwa uwazi kwani ina mchango mkubwa katika kufanikisha utekelezaji wa miradi hiyo.
Hayo yalisemwa na Mkurugenzi Msaidizi Sehemu ya Rasilimaliwatu kutoka Wizara ya Nishati na Madini Lusius Mwenda, alipokuwa akifunga awamu ya kwanza ya mafunzo ya jinsi ya kuandaa mapendekezo ya miradi, sera pamoja na utekelezaji wake...
11 years ago
Mwananchi19 Apr
Wizara kuboresha sekta ya umwagiliaji
11 years ago
Mwananchi05 Apr
Sekta ya Nishati mwiba mchungu
9 years ago
StarTV06 Oct
Magufuli kuboresha sekta ya mifugo Karatu
Mgombea urais kupitia chama cha mapinduzi John Pomba Magufuli ameweka bayana nia yake ya kuboresha bidhaa zitokanazo na mifugo kwa kuweka mazingira safi na yakisasa kwa wafugaji kote nchini.
Katika mkutano wake wa hadhara mjini Karatu mkoani Manyara Magufuli amesema bidhaa nyingi zitokanazo na mifugo kutoka nchini Tanzania zimekuwa zikikutana na vikwazo katika masoko ya kimataifa kutoka na mazingira magumu wanayokumbana nayo wafugaji.
Kwa kauli hiyo Magufuli anajidhatiti kuleta...
11 years ago
Mwananchi02 Jan
Wachumi wataka uwekezaji zaidi sekta ya kilimo