Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Magufuli kuboresha sekta ya mifugo Karatu

Mgombea urais kupitia chama cha mapinduzi John Pomba Magufuli ameweka  bayana nia yake ya kuboresha bidhaa zitokanazo na mifugo kwa kuweka mazingira safi na yakisasa kwa wafugaji kote nchini.

Katika mkutano wake wa hadhara mjini Karatu mkoani Manyara  Magufuli amesema bidhaa nyingi zitokanazo  na mifugo kutoka nchini Tanzania zimekuwa zikikutana na vikwazo katika masoko ya kimataifa kutoka na mazingira magumu wanayokumbana nayo wafugaji.

Kwa kauli hiyo  Magufuli anajidhatiti kuleta...

StarTV

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

FEDHA ZA RAIS MAGUFULI ZALETA MABADILIKO SEKTA YA MIFUGO MKOANI LINDI

MKOA wa Lindi kihistoria sio wa kiufugaji ma wafugaji wachache waliopo hufuga zaidi mbuzi, kondoo, kuku, bata, kanga, njiwa na ng’ombe ambao kwa uchache sana na mara nyingi hutumiwa kwa kitoweo, shughuli za biashara, kimila na utamaduni.
Mara baada ya baada ya Serikali ya Mkoa huo kukubali kupokea mifugo toka Mikoa mingine yenye idadi kubwa ya ng’ombe, sekta ya mifugo imeendelea kukua na kuongeza  mwamko kwa wananchi katika kujiletea maendeleo yao.
Mkoa wa Lindi hadi kufikia mwezi Machi,...

 

5 years ago

Michuzi

SEKTA BINAFSI YACHANGIA SERIKALI BILIONI 2.1 KWA AJILI YA KUBORESHA SEKTA YA AFYA


Na. WAMJW-DSM

Serikali kupitia Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imepokea kiasi cha shilingi bilioni 2.1 kwa ajili ya kuboresha huduma za afya kwenye vituo vya kutolea huduma za afya nchini kutoka kwa wadau wa Taasisi ya Sekta Binafsi Tanzania (TPSF).

Akiongea wakati wa makabidhiano hayo Mganga Mkuu wa Serikali Prof. Abel Makubi ameishukuru TPSF kwa uratibu wao kwa sekta binafsi kuchangia vifaa tiba hivyo ili vituo vya afya kuwa na vifaa muhimu vya kutolea...

 

10 years ago

Mwananchi

Migogoro yakwamisha sekta ya mifugo nchini

Waziri wa Mifugo na Maendeleo ya Uvuvi, Dk Titus Kamani amesema licha ya Tanzania kuwa na uwezo wa kunufaika na ufugaji, bado haijaweza kufanya hivyo kutokana na changamoto ya wafugaji na wakulima.

 

10 years ago

Vijimambo

RAIS KIKWETE AZINDUA MPANGO WA MODENAIZESHENI YA SEKTA YA MIFUGO

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiweka saini kwenye jarida la Mpango wa Modenaizesheni ya Sekta ya Mifugo baada ya kuuzindua mpango huo leo Jumatatu Julai 20, 2015Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiweka saini kwenye jarida la Mpango wa Modenaizesheni ya Sekta ya Mifugo baada ya kuuzindua mpango huo leo Jumatatu Julai 20, 2015Rais Jakaya Mrisho Kikwete katika picha na maafisa waandamizi wa Wizara ya Mifugo baada ya kuzindua Mpango wa Modenaizesheni ya Sekta ya Mifugo leo Jumatatu Julai 20, 2015Rais...

 

11 years ago

Mwananchi

Wizara kuboresha sekta ya umwagiliaji

Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika imeanzisha tume ya kuboresha sekta ya Idara ya Umwagiliaji na Huduma za Ufundi.

 

9 years ago

Dewji Blog

Forum CC wakutana na wadau kujadili fedha za utafiti zinazopelekwa sekta ya Kilimo na mifugo nchini

Mwenyekiti wa bodi ya ForumCC, Euster Kibona akifungua semina ya kujadili ripoti ya matumizi ya fedha za misaada hasa kwenye mabadiliko ya tabianchi iliyofanyika jana jijini Dar.

Mratibu wa Forum CC, Rebecca Muna akitoa maelezo kuhusu ForumCC kwenye semina na wadau wa mazingira waliofika kujadili changamoto za bajeti ya mabadiliko ya tabianchi ambayo imewashirikisha baadhi ya wadau wa mazingira hapa nchini na nje ya nchi.

Judy Ndichu ambaye ni mjumbe wa mazingira kutoka nchini Kenya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Serikali kuboresha uwekezaji sekta ya nishati

SERIKALI imekusudia kuweka mazingira mazuri ya kuvutia wawekezaji katika sekta ya nishati zikiwamo kampuni zake. Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Dk. Charles Kitwanga, alitoa kauli hiyo bungeni jana alipokuwa...

 

11 years ago

Habarileo

Nalopa wazungumzia sekta binafsi kuboresha elimu

SERIKALI imeombwa kushirikisha sekta binafsi katika uandaaji wa mitaala ya kitaaluma na usahihishaji wa mitihani kwa shule za msingi, sekondari na vyuo kuboresha mitaala hiyo na kuinua kiwango cha elimu.

 

11 years ago

Habarileo

Mhadhiri ataka umakini sekta binafsi kuboresha elimu

IMEELEZWA kuwa ni hatari uwekezaji kwenye elimu nchini kufanywa na watu wasio na elimu ili mradi awe na pesa za majengo na vifaa mbalimbali.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani