FEDHA ZA RAIS MAGUFULI ZALETA MABADILIKO SEKTA YA MIFUGO MKOANI LINDI
MKOA wa Lindi kihistoria sio wa kiufugaji ma wafugaji wachache waliopo hufuga zaidi mbuzi, kondoo, kuku, bata, kanga, njiwa na ng’ombe ambao kwa uchache sana na mara nyingi hutumiwa kwa kitoweo, shughuli za biashara, kimila na utamaduni.
Mara baada ya baada ya Serikali ya Mkoa huo kukubali kupokea mifugo toka Mikoa mingine yenye idadi kubwa ya ng’ombe, sekta ya mifugo imeendelea kukua na kuongeza mwamko kwa wananchi katika kujiletea maendeleo yao.
Mkoa wa Lindi hadi kufikia mwezi Machi,...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV06 Oct
Magufuli kuboresha sekta ya mifugo Karatu
Mgombea urais kupitia chama cha mapinduzi John Pomba Magufuli ameweka bayana nia yake ya kuboresha bidhaa zitokanazo na mifugo kwa kuweka mazingira safi na yakisasa kwa wafugaji kote nchini.
Katika mkutano wake wa hadhara mjini Karatu mkoani Manyara Magufuli amesema bidhaa nyingi zitokanazo na mifugo kutoka nchini Tanzania zimekuwa zikikutana na vikwazo katika masoko ya kimataifa kutoka na mazingira magumu wanayokumbana nayo wafugaji.
Kwa kauli hiyo Magufuli anajidhatiti kuleta...
9 years ago
Dewji Blog09 Sep
Forum CC wakutana na wadau kujadili fedha za utafiti zinazopelekwa sekta ya Kilimo na mifugo nchini
Mwenyekiti wa bodi ya ForumCC, Euster Kibona akifungua semina ya kujadili ripoti ya matumizi ya fedha za misaada hasa kwenye mabadiliko ya tabianchi iliyofanyika jana jijini Dar.
Mratibu wa Forum CC, Rebecca Muna akitoa maelezo kuhusu ForumCC kwenye semina na wadau wa mazingira waliofika kujadili changamoto za bajeti ya mabadiliko ya tabianchi ambayo imewashirikisha baadhi ya wadau wa mazingira hapa nchini na nje ya nchi.
Judy Ndichu ambaye ni mjumbe wa mazingira kutoka nchini Kenya...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-vXGadZUqlWU/VcaxGqTakNI/AAAAAAAAjoo/ITjO-tPZSgw/s72-c/12.jpg)
RAIS KIKWETE AZINDUA MRADI MKUBWA WA MAJI SAFI MKOANI LINDI,AWAAGA WANANCHI WA LINDI
![](http://1.bp.blogspot.com/-vXGadZUqlWU/VcaxGqTakNI/AAAAAAAAjoo/ITjO-tPZSgw/s640/12.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-p4G-gnmk8Cw/VcaxHM1SuyI/AAAAAAAAjos/yx-4BHGbhmg/s640/14.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-m5ULtBA7jpA/Vca4qJQ_n6I/AAAAAAAAjqE/lAmZ6lJ2V9k/s640/08.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-re6cr-usAJc/XmeFeTSysoI/AAAAAAABMuc/SGCnZAq8o5g6LP4nYYWHcij7Lg6fvTr-ACNcBGAsYHQ/s72-c/01.jpg)
NBC YAUNGA MKONO SEKTA YA KILIMO MKOANI LINDI
Mazao hayo mawili ni kati ya mazao makubwa ya kibiashara yanayofanyika katika nchi yetu na nje ya nchi ya Tanzania.
Kongamano hilo lilikusanya wafanyabiashara na wajasiriamali kutoka nyanja mbali na kwa pamoja walipata kufahamu fursa zinazotolewa na benki hiyo kwa wanachama wa Biashara Club.
Akizungumza na...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-TwQnOJQnGU4/VazoQ5u1vyI/AAAAAAAD0CY/qp2W2pKOUds/s72-c/mi1.jpg)
RAIS KIKWETE AZINDUA MPANGO WA MODENAIZESHENI YA SEKTA YA MIFUGO
![](http://3.bp.blogspot.com/-TwQnOJQnGU4/VazoQ5u1vyI/AAAAAAAD0CY/qp2W2pKOUds/s640/mi1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-_LEYuISnuZo/VazoQ-huiLI/AAAAAAAD0CU/GjgNlecxnew/s640/mi2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-1s7KNhT6pBY/VazoRqkMSvI/AAAAAAAD0Ck/wszqQPeIWaM/s640/mi3.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-f9ZRrtJZmh8/VazoSQ5pANI/AAAAAAAD0Cs/9HZ-ZaVyw1c/s640/mi4.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-GnUsR_MKBhc/U4NwzVNRxfI/AAAAAAAAFhY/Q83piHWQevw/s72-c/IMG_2076.jpg)
MKUTANO WA WADAU WA UHAMASISHAJI WA UBIA BAINA YA SEKTA YA UMMA NA SEKTA BINAFSI (PPP) KATIKA SEKTA AFYA MKOANI RUKWA
![](http://3.bp.blogspot.com/-GnUsR_MKBhc/U4NwzVNRxfI/AAAAAAAAFhY/Q83piHWQevw/s1600/IMG_2076.jpg)
10 years ago
MichuziWANAWAKE MKOANI LINDI WATAKIWA KUKAMATIA FURSA KWA KUJIUNGA NA CHF-RC LINDI
9 years ago
MichuziRAIS KIKWETE AWASILI MKOANI ARUSHA KUFUNGUA MKUTANO WA SEKTA YA BARABARA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Y9Yc5qVXVzSkkWD86-QggH9tkpoQca4QSZp46IYO-xcjxm7huy4zkJnSGV*7J*AdvTJC8wkR2aCpzqqzM78jnVCNL7ON*Qhs/flaviana4.jpg?width=650)
FLAVIANA MATATA, PSPF WATOA MABEGI KWA WANAFUNZI 650 WA SHULE KATIKA HALMASHAURI ZA LINDI NA NACHINGWEA MKOANI LINDI