TZ yakana mpango wa kuwatimua wamasai
Tanzania imekanusha vikali taarifa kuwa ina mpango wa kuwaondoa wamasai wapatao 40,000 katika eneo lao la urithi ifikapo mwishoni mwa mwaka huu.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima22 Nov
Nyalandu: Hatuna mpango kufukuza Wamasai Loliondo
WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, amesema habari zinazodai serikali inataka kuwaondoa wakazi wa zaidi ya 40,000 eneo la Loliondo mkoani Arusha ni za uongo na uchokozi. Novemba mwaka...
10 years ago
MichuziNYALANDU: HATUNA MPANGO WA KUWAONDOA WAMASAI LOLIONDO
Novemba mwaka huu, gazeti The Guardian la nchini Uingereza, liliandika habari kuwa serikali ina mpango wa kuwafukuza Wamasai wanaoishi eneo hilo.
Gazeti hilo lilidai kuwa, lengo ni kuwapatia eneo lenye kilometa za mraba 1,500, kampuni ya OBC ya Falme za Kiarabu.
Akizungumza na wananchi wa...
10 years ago
Bongo517 Nov
Tanzania yaingia kwenye kashfa mpya, ni mpango wa kuwahamisha wamasai 40,000 ili kuwapa Waarabu eneo la kuwindia
10 years ago
BBCSwahili03 Aug
Wenye nyumba kuwatimua wahamiaji UK
11 years ago
Mtanzania13 Aug
Chadema kuwatimua waliosaliti Ukawa

Katibu Mkuu wa Chadema, Dk. Wilbrod Slaa
NA SHABANI MATUTU
MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe amesema kuwa kazi ya kuwaadhibu wajumbe wa Bunge la Katiba waliokaidi makubaliano ya Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), kwa kuingia katika Bunge Maalumu la Katiba wataadhibiwa na vikao maalumu vya chama.
Hayo aliyasema jijini Dar es Salaam jana, alipokuwa akizungumza na wanahabari.
Alisema yeyote aliyekiuka maazimio ya Ukawa na kuingia kwenye vikao vya Bunge...
10 years ago
Mwananchi19 Dec
Dk Mwakyembe kuwatimua kazi wazembe
10 years ago
BBCSwahili09 Apr
Palestina waungana na Syria kuwatimua IS
11 years ago
Dewji Blog21 Sep
CCM kuanza kuwatimua viongozi wavivu, wasio na kazi na wala rushwa
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akihutubia katika mkutano wa hadhara mjini Mlandizi, Kibaha Vijijini, ambapo alisema kua CCM itaanza kuwafukuza viongozi wabovu na wala rushwa. Kinana yupo mkoani Pwani kuimarisha uhai wa chama, kuhimiza, na kusukuma utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM.
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye akihutubia kaaikia wananchi kuhusu tika mkutano wa hadhara Mlandizi, Kibaha Vijijini, ambapo aliwananga wapinzania kwamba wanahangaika na maandamano...
11 years ago
GPLCCM KUANZA KUWATIMUA VIONGOZI WAVIVU,WASIO NA KAZI NA WALA RUSHWA