Wenye nyumba kuwatimua wahamiaji UK
Serikali ya Uingereza imetangaza mipango ya kuwalazimu wenye nyumba za kibinafsi nchini humo kuwajibikia hatua yao ya kuwafurusha wahamiaji kutoka katika maskani yao iwapo wanashindwa kupata maombi ya kuendelea kukaa nchini Uingereza
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi20 Dec
10 years ago
BBCSwahili09 Apr
Palestina waungana na Syria kuwatimua IS
10 years ago
Mwananchi19 Dec
Dk Mwakyembe kuwatimua kazi wazembe
11 years ago
Mtanzania13 Aug
Chadema kuwatimua waliosaliti Ukawa
![Dk. Wilbrod Slaa](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/07/Slaa.jpg)
Katibu Mkuu wa Chadema, Dk. Wilbrod Slaa
NA SHABANI MATUTU
MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe amesema kuwa kazi ya kuwaadhibu wajumbe wa Bunge la Katiba waliokaidi makubaliano ya Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), kwa kuingia katika Bunge Maalumu la Katiba wataadhibiwa na vikao maalumu vya chama.
Hayo aliyasema jijini Dar es Salaam jana, alipokuwa akizungumza na wanahabari.
Alisema yeyote aliyekiuka maazimio ya Ukawa na kuingia kwenye vikao vya Bunge...
10 years ago
BBCSwahili18 Nov
TZ yakana mpango wa kuwatimua wamasai
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-hh59aELnj78/Xmev5gpWX6I/AAAAAAALieo/MmErO7IBbE0FAuuqKW8txIcRa3P7uFIZACLcBGAsYHQ/s72-c/1960604_RPC-1.jpg)
WATOTO WENYE UMRI WA MIAKA MITANO HADI 12 RAIA WA ETHIOPIA WAKUTWA WAMEHIFADHIWA KWENYE NYUMBA YA MTU BINAFSI MKOANI ARUSHA ...POLISI WATOA NENO
![](https://1.bp.blogspot.com/-hh59aELnj78/Xmev5gpWX6I/AAAAAAALieo/MmErO7IBbE0FAuuqKW8txIcRa3P7uFIZACLcBGAsYHQ/s400/1960604_RPC-1.jpg)
JESHI la Polisi Mkoa wa Arusha linawashikilia watoto sita raia wa Ethiopia akiwemo mwenye umri wa miaka mitano baada ya kukuta wamehifadhiwa kwenye nyumba ya mtu binafsi eneo la Ngureso katika Halmashauri ya Jiji la Arusha.
Akizungumzia tukio hilo leo Kamanda wa Polisi omkoani hapa Jonathan Shanna amesema kuwa watoto hao wenye umri wa miaka mitano hadi 12 waligundulika Februari 20 mwaka huu kuhifadhiwa nyumbani kwa Amina Ally na Mohammed Mahamudu mkazi wa Ngusero...
10 years ago
Dewji Blog21 Sep
CCM kuanza kuwatimua viongozi wavivu, wasio na kazi na wala rushwa
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akihutubia katika mkutano wa hadhara mjini Mlandizi, Kibaha Vijijini, ambapo alisema kua CCM itaanza kuwafukuza viongozi wabovu na wala rushwa. Kinana yupo mkoani Pwani kuimarisha uhai wa chama, kuhimiza, na kusukuma utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM.
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye akihutubia kaaikia wananchi kuhusu tika mkutano wa hadhara Mlandizi, Kibaha Vijijini, ambapo aliwananga wapinzania kwamba wanahangaika na maandamano...
10 years ago
GPLCCM KUANZA KUWATIMUA VIONGOZI WAVIVU,WASIO NA KAZI NA WALA RUSHWA
9 years ago
MillardAyo06 Jan
Ni kweli wanawake wenye maumbile makubwa huzaa watoto wenye akili..?(+Audio)
Kumekuwepo na fununu zikienea kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii kuhusu Wanawake wenye maumbile makubwa au Hips wana nafasi kubwa ya kuzaa watoto wenye uwezo wa kiakili. Hapa nakukutanisha na Dr. Isaac Maro akiuelezea ukweli wa mambo. Bonyeza Play hapa chini kuipata hii yote. Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa na line […]
The post Ni kweli wanawake wenye maumbile makubwa huzaa watoto wenye akili..?(+Audio) appeared first on...