Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Jinsi mabilioni yalivyochotwa

MTZ Alhamisi new july.inddFredy Azzah, Dar es Salaam

WAKATI Watanzania wakiumiza kichwa kujua watu waliofaidika na rushwa ya Sh bilioni 12 (dola za Marekani milioni 6), zilitokana na mkopo wa dola za Marekani milioni 600 (Sh trilioni 1.3), ambao Tanzania iliomba kwenye Benki ya Standard kupitia mshirika wake Stanbic Tanzania, imebainika kuwa mchakato ulianza mwaka 2011 na kushirikisha watu mbalimbali wakiwamo maofisa wa Serikali na watoto wao.

 

KESI ILIVYOANZA

Mwenendo wa kesi iliyotolewa hukumu Novemba 30 nchini...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

JINSI KITAMBI KINAVYO PATIKANA NA JINSI KINAVYO ONDOLEWA KWA TIBA ASILIA

Kitambi ni ile hali ya tumbo kuwa kubwa na kuchomoza kwa mbele na wakati mwingine kufikia hatua ya kuniníginia.
JINSI KITAMBI KINAVYO PATIKANA
Kwa mujibu wa tafiti mbalimbali za kitaalamu, mwili wa binadamu una seli kati ya bilioni 50 hadi 200 za mafuta zilizogawanyika katika sehemu mbalimbali za mwili wa binadamu.Kwa wanawake seli hizo zipo sana katika maeneo ya matiti, kwenye nyonga, kiunoni na kwenye makalio.
Kwa upande wa wanaume seli hizo zinapatikana sana kwenye kifua, tumboni na kwenye...

 

10 years ago

Michuzi

FAHAMU JINSI KITAMBI KINAVYO PATIKANA NA JINSI DAWA ASILIA YA MKATAA KITAMBI INAVYO ONDOA KITAMBI

Kitambi  ni  ile  hali  ya  tumbo  kuwa kubwa  na  kuchomoza  kwa  mbele  na  wakati mwingine  kufikia  hatua  ya  kunin’ginia. JINSI  KITAMBI  KINAVYO  PATIKANAKwa  mujibu  wa  tafiti  mbalimbali  za  kitaalamu, mwili wa binadamu una seli kati  ya bilioni 50  hadi 200 za mafuta zilizogawanyika katika  sehemu  mbalimbali  za  mwili wa binadamu. Kwa wanawake  seli hizo  zipo sana katika maeneo ya matiti, kwenye  nyonga, kiunoni na kwenye makalio.
Kwa upande  wa  wanaume seli  hizo...

 

10 years ago

Mzalendo Zanzibar

Zanzibar inalipishwa mabilioni

Monday, April 07, 2014 Zanzibar wants own power generation OURS: The isle’s residents do not want to depend on the Mainland. MWANZA, Tanzania – Zanzibar government plans to generate its own power to avoid dependency on […]

The post Zanzibar inalipishwa mabilioni appeared first on Mzalendo.net.

 

10 years ago

Habarileo

Marekani yaridhia mabilioni

TANZANIA imetimiza masharti yote ya kupatiwa raundi ya pili ya fedha za maendeleo kutoka Shirika la Maendeleo ya Milenia (MCC) la Marekani, hivyo itaanza kupata na kunufaika na mabilioni hayo ya fedha baada ya wajumbe wa Bodi ya MCC kupiga kura ya kuidhinisha kutolewa kwa fedha hizo chini ya Mpango wa MCC-2.

 

11 years ago

Mwananchi

Mabilioni Uswisi yachotwa

Mabilioni ya shilingi yaliyowekwa na Watanzania katika benki za Uswisi yameanza kuhamishwa kimyakimya.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mabilioni ya Escrow moto

JITIHADA za mawaziri, watendaji wa serikali na wabunge wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kutaka kuzima kashfa ya ukwapuaji wa sh bilioni 200, unaodaiwa kufanywa katika akaunti ya Escrow iliyofunguliwa Benki...

 

10 years ago

BBCSwahili

Uchina kuwekeza mabilioni Pakistan

Rais wa China Xi Jinping anaanza ziara ya siku mbili nchini Pakistan hii leo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani