Jinsi mabilioni yalivyochotwa
Fredy Azzah, Dar es Salaam
WAKATI Watanzania wakiumiza kichwa kujua watu waliofaidika na rushwa ya Sh bilioni 12 (dola za Marekani milioni 6), zilitokana na mkopo wa dola za Marekani milioni 600 (Sh trilioni 1.3), ambao Tanzania iliomba kwenye Benki ya Standard kupitia mshirika wake Stanbic Tanzania, imebainika kuwa mchakato ulianza mwaka 2011 na kushirikisha watu mbalimbali wakiwamo maofisa wa Serikali na watoto wao.
KESI ILIVYOANZA
Mwenendo wa kesi iliyotolewa hukumu Novemba 30 nchini...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi19 Jun
10 years ago
Michuzi
JINSI KITAMBI KINAVYO PATIKANA NA JINSI KINAVYO ONDOLEWA KWA TIBA ASILIA

JINSI KITAMBI KINAVYO PATIKANA
Kwa mujibu wa tafiti mbalimbali za kitaalamu, mwili wa binadamu una seli kati ya bilioni 50 hadi 200 za mafuta zilizogawanyika katika sehemu mbalimbali za mwili wa binadamu.Kwa wanawake seli hizo zipo sana katika maeneo ya matiti, kwenye nyonga, kiunoni na kwenye makalio.
Kwa upande wa wanaume seli hizo zinapatikana sana kwenye kifua, tumboni na kwenye...
10 years ago
Michuzi
FAHAMU JINSI KITAMBI KINAVYO PATIKANA NA JINSI DAWA ASILIA YA MKATAA KITAMBI INAVYO ONDOA KITAMBI


Kwa upande wa wanaume seli hizo...
10 years ago
Mzalendo Zanzibar09 Oct
Zanzibar inalipishwa mabilioni
Monday, April 07, 2014 Zanzibar wants own power generation OURS: The isle’s residents do not want to depend on the Mainland. MWANZA, Tanzania – Zanzibar government plans to generate its own power to avoid dependency on […]
The post Zanzibar inalipishwa mabilioni appeared first on Mzalendo.net.
10 years ago
Habarileo28 Sep
Marekani yaridhia mabilioni
TANZANIA imetimiza masharti yote ya kupatiwa raundi ya pili ya fedha za maendeleo kutoka Shirika la Maendeleo ya Milenia (MCC) la Marekani, hivyo itaanza kupata na kunufaika na mabilioni hayo ya fedha baada ya wajumbe wa Bodi ya MCC kupiga kura ya kuidhinisha kutolewa kwa fedha hizo chini ya Mpango wa MCC-2.
11 years ago
Mwananchi14 Mar
Mabilioni Uswisi yachotwa
11 years ago
Tanzania Daima06 Jul
Mabilioni ya Escrow moto
JITIHADA za mawaziri, watendaji wa serikali na wabunge wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kutaka kuzima kashfa ya ukwapuaji wa sh bilioni 200, unaodaiwa kufanywa katika akaunti ya Escrow iliyofunguliwa Benki...
10 years ago
BBCSwahili20 Apr
Uchina kuwekeza mabilioni Pakistan