Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kubandika matokeo ya urais vituoni kumechelewa

Kwa namna ambavyo uamuzi wa kubandika matokeo ya kura za urais katika vituo vya kupigia kura umepokewa na wananchi, ni dhahiri kuwa huo ni uamuzi uliochelewa na ulikuwa unasubiriwa na wengi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

NEC: Matokeo kura za urais kubandikwa vituoni

Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imesema kuanzia sasa itaanza kubandika matokeo ya kura za urais kwenye vituo vya kupigia kura katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu ili kuongeza uwazi na kupunguza malalamiko ya wizi wa kura.

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Ni Marufuku Kusafirisha Masanduku ya Kura……Tume Yasisitiza Matokeo Yatatangazwa Vituoni, Fomu za Urais Kuskaniwa Jimboni na Kutangazwa LIVE

Wednesday, September 30, 2015 MWENYEKITI wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Mstaafu Damian Lubuva, amesema kura zote za urais, ubunge na udiwani, zitahesabiwa katika vituo vya kupigia kura na matokeo yote kutangazwa hapo hapo […]

The post Ni Marufuku Kusafirisha Masanduku ya Kura……Tume Yasisitiza Matokeo Yatatangazwa Vituoni, Fomu za Urais Kuskaniwa Jimboni na Kutangazwa LIVE appeared first on Mzalendo.net.

 

9 years ago

Habarileo

Tangazeni matokeo vituoni -NEC

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imesema katika kuonesha uwazi katika uchaguzi mkuu wa Oktoba 25 mwaka huu, imebariki vyombo vya habari kutangaza matokeo katika vituo vya kupigia kura. Hatua hiyo itawawezesha wananchi kujua matokeo ya vituo vyao na kura za wagombea, hivyo kuondoa malalamiko.

 

9 years ago

Raia Mwema

Tujadili matokeo kubandikwa vituoni

SEPTEMBA 17, 2015, nilisoma taarifa ya January Makamba kwenye gazeti la NIPASHE (uk. 03).

Joseph Magata

 

9 years ago

Habarileo

CCM yaridhia matokeo kubandikwa vituoni

CHAMA Cha Mapinduzi Zanzibar kimesema kimeridhishwa na utaratibu utakaotumiwa na Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC) wa kutangaza matokeo ya kura za urais katika vituo vya kupigia kura.

 

9 years ago

Habarileo

Chadema yakataa matokeo ya urais

WAKATI leo Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) ikitarajia kutangaza mshindi wa urais wa Tanzania katika Uchaguzi Mkuu wa Jumapili iliyopita, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimeyakataa matokeo hayo.

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Utoaji wa matokeo ya urais — ZEC

Salma Said, Tume ya uchaguzi Zanzibar (ZEC) leo imewaonesha waandishi wa habari na waangalizi wa uchaguzi matayarisho ya tume hiyo pamoja na namna watakavyohesabu matokeo katika kituo cha kurushia matokeo hayo hapo Bwawani Hoteli.. Matangazo hayo […]

The post Utoaji wa matokeo ya urais – ZEC appeared first on Mzalendo.net.

 

10 years ago

Bongo Movies

Wastara Afunguka Kumzimia Sharukhan, Adai Kubandika Picha Zake Chumbani!

“Mama weeee uwiiii jamani nakufa mwenzenu kwa huyu mtu mwanaume nampenda huyu daah.... Mpaka leo ajapta mpinzni ndani ya moyo wangu kwa pande za bollywood lov uuuuuu shaharukhan nikisema sana utakuwa uongo lakini ningekuwa mwanaume ningemcopy kilakitu katika uigizaji yaani toka mwaka 1991 naanza kumjua huyu jamaa nakumbuka nilibandika pic zake chumba kizima nikawa naongea nae kma namuona vile jamani mapenzi mabaya mapenzi yanaua hhhhha Lov U Sharukhan”.. Wastara aliandika maneno haya mara...

 

9 years ago

Mwananchi

Magufuli: Watafiti wamenipunja matokeo ya urais

Mgombea urais wa CCM, Dk John Magufuli amesema waliofanya utafiti wamempunja asilimia kwani ana uhakika wa kushinda kwa asilimia 95 na si 65 kama zilivyotajwa kwa kuwa wananchi wanampenda, naye yuko tayari kufanya kazi ili kuwaletea maendeleo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani