Chadema yakataa matokeo ya urais
WAKATI leo Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) ikitarajia kutangaza mshindi wa urais wa Tanzania katika Uchaguzi Mkuu wa Jumapili iliyopita, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimeyakataa matokeo hayo.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo27 Oct
CCM Iringa Mjini yakataa matokeo
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) Iringa Mjini kimeyapinga matokeo ya Uchaguzi Mkuu wa Madiwani, Ubunge na Rais Jimbo la Iringa Mjini yanayoelekea kukipa ushindi mkubwa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema).
9 years ago
Mzalendo Zanzibar01 Oct
CHADEMA Wazidi Kuikaba Koo Tume Ya Uchaguzi……Wasema Watatangaza Matokeo Ya Urais Kabla Ya Tume Kuyatangaza
Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika Thursday, October 1, 2015 TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imebanwa mbavu ikitakiwa kutoa hadharani Daftari la Kudumu la Wapiga Kura kwa mujibu wa uandikishaji wa wapigakura ulivyofanyika nchi […]
The post CHADEMA Wazidi Kuikaba Koo Tume Ya Uchaguzi……Wasema Watatangaza Matokeo Ya Urais Kabla Ya Tume Kuyatangaza appeared first on Mzalendo.net.
11 years ago
Tanzania Daima19 Jul
CHADEMA yakataa najisi ya JK
CHAMA Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimedaka taarifa za siri za Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) zilizoonyesha mbinu za chama tawala kutaka kuingiza vyama vya upinzani katika mtego...
10 years ago
Michuzi15 Sep
MATOKEO YA UCHAGUZI MKUU WA CHADEMA TAIFA 2014:FREEMAN MBOWE ASHINDA NAFASI YA MWENYEKITI CHADEMA TAIFA, PROFESA ABDALLAH SAFARI MAKAMU MWENYEKITI WA CHADEMA BARA
9 years ago
Mzalendo Zanzibar25 Oct
Utoaji wa matokeo ya urais — ZEC
Salma Said, Tume ya uchaguzi Zanzibar (ZEC) leo imewaonesha waandishi wa habari na waangalizi wa uchaguzi matayarisho ya tume hiyo pamoja na namna watakavyohesabu matokeo katika kituo cha kurushia matokeo hayo hapo Bwawani Hoteli.. Matangazo hayo […]
The post Utoaji wa matokeo ya urais – ZEC appeared first on Mzalendo.net.
9 years ago
BBCSwahili26 Oct
Matokeo ya uchaguzi wa urais Tanzania yanavyopokelewa
9 years ago
Mwananchi26 Sep
Magufuli: Watafiti wamenipunja matokeo ya urais
9 years ago
Mwananchi20 Sep
Kubandika matokeo ya urais vituoni kumechelewa
9 years ago
Mwananchi27 Oct
Washauri matokeo ya urais kuhojiwa mahakamani