Magufuli: Watafiti wamenipunja matokeo ya urais
Mgombea urais wa CCM, Dk John Magufuli amesema waliofanya utafiti wamempunja asilimia kwani ana uhakika wa kushinda kwa asilimia 95 na si 65 kama zilivyotajwa kwa kuwa wananchi wanampenda, naye yuko tayari kufanya kazi ili kuwaletea maendeleo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziMATOKEO YA AWALI YA URAIS MAGUFULI ANAONGOZA DHIDI YA WAGOMBEA WENZAKE
9 years ago
CCM Blog![](http://3.bp.blogspot.com/-z6LQdPBQj0o/VjIrrcTaCKI/AAAAAAAA018/pwR6FKs4UU8/s72-c/matokeoooo.png)
9 years ago
Dewji Blog26 Oct
Matokeo ya awamu ya pili nafasi ya Urais katika majimbo 10, Magufuli aendelelea kung’ara
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji mstaafu, Damian Lubuva (kushoto), akizungumza na waandishi wa habari na waangalizi wa kimataifa wakati akitangaza matokeo ya awali ya urais Dar es Salaam leo. Kulia ni Mkurugenzi wa Uchaguzi, Ramadhan Kailima.
Waangalizi wa uchaguzi wa kimataifa wakiwa kwenye mkutano huo wa kutangazwa matokeo ya awali.
Waangalizi wa uchaguzi wa kimataifa wakiwa kwenye mkutano huo wa kutangazwa matokeo ya awali.
Maofisa wa NEC wakiwa kwenye mkutano...
9 years ago
CCM Blog01 Nov
DK. MAGUFULI NA RAIS KIKWETE IKULU BAADA YA KUIBUKA KIDEDEA URAIS KATIKA MATOKEO YA UCHAGUZI MKUU LEO
![ma1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/10/ma1.jpg)
![mag2](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/10/mag2.jpg)
9 years ago
Mzalendo Zanzibar25 Oct
Utoaji wa matokeo ya urais — ZEC
Salma Said, Tume ya uchaguzi Zanzibar (ZEC) leo imewaonesha waandishi wa habari na waangalizi wa uchaguzi matayarisho ya tume hiyo pamoja na namna watakavyohesabu matokeo katika kituo cha kurushia matokeo hayo hapo Bwawani Hoteli.. Matangazo hayo […]
The post Utoaji wa matokeo ya urais – ZEC appeared first on Mzalendo.net.
9 years ago
Habarileo29 Oct
Chadema yakataa matokeo ya urais
WAKATI leo Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) ikitarajia kutangaza mshindi wa urais wa Tanzania katika Uchaguzi Mkuu wa Jumapili iliyopita, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimeyakataa matokeo hayo.
9 years ago
Mwananchi27 Oct
Washauri matokeo ya urais kuhojiwa mahakamani
9 years ago
BBCSwahili26 Oct
Matokeo ya uchaguzi wa urais Tanzania yanavyopokelewa
9 years ago
Mwananchi20 Sep
Kubandika matokeo ya urais vituoni kumechelewa