Marufuku kunywa pombe, kucheza pool saa za kazi - DC
MKUU wa Wilaya ya Lushoto, Majid Mwanga amepiga marufuku uuzaji na unywaji wa pombe na mchezo wa pool nyakati za asubuhi na muda wa kazi. Amesema hataki kuona vitendo vya starehe, vinavyofanywa na baadhi ya wananchi wakati wa saa kazi.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi01 Dec
Watakaocheza pool saa za kazi kukiona
9 years ago
BBCSwahili26 Nov
Idhini ya daktari kunywa pombe India
5 years ago
BBCSwahili27 May
'Baba alinifunza kunywa pombe na kuvuta sigara'
10 years ago
Bongo523 Sep
Kwanini hutakiwi kunywa pombe na bosi wako
10 years ago
BBCSwahili20 Jun
Watu 74 wafariki kwa kunywa pombe India
10 years ago
StarTV12 Jan
Watu zaidi ya 50 wafa kwa kunywa pombe Msumbiji.
Serikali nchini Msumbiji imetangaza siku tatu za maombolezo nchi nzima baada ya zaidi ya Watu 50 kupoteza maisha baada ya kunywa kilevi kinachoelezwa kuwa na sumu.
Watu hao walikunywa kilevi hicho wakiwa msibani.
Watu wengine kadhaa waliokunywa kinywaji hicho siku ya jumamosi walikimbizwa hospitalini.
bad credit installment loans in missouriMaafisa wanasema wanaamini kuwa kilevi hicho cha kienyeji kilichotengenezwa kwa mtama na mahindi kilikuwa na sumu ya nyongo ya mamba wakati...
10 years ago
StarTV10 Jan
Mtoto afariki, Mama alazwa kwa kunywa pombe Singida
Na Emmanuel Michael,
Singida.
Suala la vinywaji ninavyodhaniwa kuwa na sumu limeendelea kuwa tishio kwa wakazi wa mkoa wa Singida baada ya mtoto mwenye umri wa mwaka mmoja kufariki na mama yake mzazi kulazwa kwa matibabu baada ya kudaiwa kunywa pombe ya kienyeji inayodhaniwa kuwa na sumu.
Tukio hilo lililotokea katika Kijiji Kidama-Ikungi limekuja siku chache baada ya watu wengine wanane wa familia tatu tofauti kulazwa katika Hospitali ya Misheni ya Malikia wa Ulimwengu Puma mkoani humo kwa...
9 years ago
BBCSwahili27 Nov
Pombe kupigwa marufuku Bihar, India
10 years ago
BBCSwahili11 Sep
Mahakama yazuia marufuku ya pombe India