Watakaocheza pool saa za kazi kukiona
Mkuu wa Wilaya ya Babati mkoani Manyara, Crispian Meela amepiga marufuku mchezo wa pool saa za kazi na kuonya atakayekiuka agizo hilo, atamchukulia hatua kali za kisheria.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo17 Feb
Marufuku kunywa pombe, kucheza pool saa za kazi - DC
MKUU wa Wilaya ya Lushoto, Majid Mwanga amepiga marufuku uuzaji na unywaji wa pombe na mchezo wa pool nyakati za asubuhi na muda wa kazi. Amesema hataki kuona vitendo vya starehe, vinavyofanywa na baadhi ya wananchi wakati wa saa kazi.
9 years ago
VijimamboDK MAGFUNGA KAZI MWANZA, RAIS KIKWETE ASEMA ATAKAYE FANYA FUJO IUCHAGUZI MKUU KUKIONA CHA MOTO
Dk Magufuli amewaomba watanzania wote kumpigia kura za ndiyo katika uchaguzi mkuu unaofanyika leo ambapo yeye amesema atawalipa kwa kufanya kazi kwa bidii ili kuwaletea maendeleo Wanzania.PICHA ZOTE NA RICHARD...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-zHUf-Q1ME7A/U-MK5IolFHI/AAAAAAACm8I/nqzn1mpKM2E/s72-c/IMG_5616.jpg)
WEZI WA KAZI ZA WASANII KUKIONA,KAMATA KAMATA YAANZA RASMI
![](http://1.bp.blogspot.com/-zHUf-Q1ME7A/U-MK5IolFHI/AAAAAAACm8I/nqzn1mpKM2E/s1600/IMG_5616.jpg)
Mkurugenzi wa kampuni hiyo,Bwana Alex Msama amesema hayo jijini dar ,kuwa zoezi hilo limekwishaanza, na mpaka sasa wamekamatwa vijana wane katika mkoa wa Dodoma na watatu jijini Mwanza.
‘’Kuna kazi mbalimbali ambazo zinaibiwa kila kukicha huku wamiliki wa kazi hizo wakiendelea kushuka...
10 years ago
Habarileo22 Oct
40 mbaroni kwa ulevi saa za kazi
WAKAZI 40 wa Tarafa ya Inyonga, Makao Makuu ya Wilaya ya Mlele mkoani Katavi wamekamatwa baada ya kukutwa wakinywa pombe asubuhi vilabuni na kwenye maduka yanayouza aina mbalimbali ya vinywaji.
11 years ago
Habarileo11 Jan
DC Nzega akerwa na ‘ulevi’ saa za kazi
MKUU wa Wilaya ya Nzega, Bituni Msangi amepiga marufuku pombe na michezo mbalimbali nyakati zote za kazi ili wananchi wajikite katika uzalishaji mali hususan kilimo na kazi nyingine.
9 years ago
BBCSwahili20 Aug
Kufanya kazi kwa saa nyingi ni hatari
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jbaar29oQX6C09*IqW1Cka9pxPThrqjCPdIG*YIDXLdr7cVbqOU3G4IvGQtfH0jrsgVIiScgcw-4rY98iuSORiKaUtbWgCS8/FRONTAMANI.jpg?width=650)
PANYA ROAD KWISHA KAZI! KOVA ALALA NJE SAA 120
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-LLmS8u3jP2o/U2K4r3E1w-I/AAAAAAAFef8/bNkK0DNiUcI/s72-c/unnamed+(9).jpg)
Wananchi waomba Kituo cha Afya Simambwe kufanya kazi saa 24
![](http://3.bp.blogspot.com/-LLmS8u3jP2o/U2K4r3E1w-I/AAAAAAAFef8/bNkK0DNiUcI/s1600/unnamed+(9).jpg)
Kauli za ombi hilo zimetolewa hivi karibuni kwa nyakati tofauti na wananchi hao walipokuwa wakizungumza na mwandishi wa habari hizi katika vijiji vyao alipowatembelea kuangalia changamoto anuai za huduma za kijamii vijijini Kata ya Tembela.
Mwenyekiti wa Kijiji cha...
10 years ago
Habarileo08 Jan
Waziri Magufuli aagiza kivuko cha Kigongo-Busisi kufanya kazi saa 24
WAZIRI wa Ujenzi, Dk John Magufuli ameagiza uongozi kivuko cha Kigongo- Busisi mkoani hapa, kufanya kazi kwa saa 24 ili kumudu ongezeko kubwa la abiria watokao Geita, Kagera lililotokana na meli ya Mv Victoria kusitisha safari zake.