Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


PANYA ROAD KWISHA KAZI! KOVA ALALA NJE SAA 120

Stori: Haruni Sanchawa na Makongoro Oging’
BAADA ya kuwakosesha amani wakazi wa Jiji la Dar es Salaam usiku wa Ijumaa iliyopita, lile kundi la vijana wahalifu linalojulikana kwa jina la Panya Road limefikia ukingoni baada ya kudhibitiwa kwa kasi kubwa na Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Amani linakupa ‘full stori’. Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Suleiman Kova. Kundi hilo...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Kamanda Kova hawajui Mbwa Mwitu, Panya Road?

MIONGONI mwa matukio makubwa yanayotikisa Jiji la Dar es Salaam sasa ni uvunjifu wa amani katika maeneo mbalimbali ya jiji yanayofanywa na vijana wanaojiita Mbwa Mwitu na Panya Road. Vijana...

 

10 years ago

Mwananchi

Waziri amsuta Kamanda Kova kuhusu Panya Road

>Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe amesema Watanzania wamepoteza imani na Jeshi la Polisi na ameliagiza kujitathmini na kutoa majibu kuhusu kukamatwa kwa vijana 1,200 wa kikundi cha uhalifu maarufu Panya Road.

 

10 years ago

Daily News

120 students survive road accident


120 students survive road accident
Daily News
ABOUT 120 students from Nkomolo Secondary School in Namanyere Town, Nkasi District in Rukwa Region and their teachers cheated death when the Lorry they were travelling in veered off the road and overturned in Kirando Village along the shore of Lake ...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mrema kwisha kazi Vunjo

HALI ya kisiasa ya Mbunge wa Vunjo mkoani Kilimanjaro, Augustine Mrema, (TLP), imezidi kuwa mbaya baada ya ngome yake kuzidi kumeguka na kutangaza kumuunga mkono Mwenyekiti wa NCCR Mageuzi, James...

 

9 years ago

Mwananchi

Kibarua cha Makata, Kagera kwisha kazi

Vuguvugu la kutimua makocha limeendelea katika Ligi Kuu  Bara baada ya Kagera Sugar kumtimua kocha wake Mbwana Makata kutokana na timu hiyo kuendelea kufanya vibaya.

 

10 years ago

CloudsFM

Panya Road 36 mbaroni

JESHI la Polisi nchini linawashikilia vijana 36 wanaotuhumiwa kujihusisha na kikundi cha uhalifu jijini Dar es Salaam, maarufu kama ‘panya road’, ambacho kilizua taharuki kubwa juzi.
Vijana wa kikundi hicho wenye umri wa kati ya miaka 16 mpaka 30, walizua vurugu katika maeneo mbalimbali ya jiji na kusababisha baadhi ya shughuli kusitishwa kwa muda.

Wananchi walikuwa na hofu ya kuvamiwa na wahalifu wa kikundi hicho, waliokuwa wanapiga watu, kupora na kuharibu magari.

Akizungumza na waandishi...

 

10 years ago

AllAfrica.Com

500 Arrested Over 'Panya Road'


IPPmedia
500 Arrested Over 'Panya Road'
AllAfrica.com
POLICE in Dar es Salaam have arrested 510 youth, suspected of being members of a criminal group known as 'panya road,' who are alleged to have invaded and attacked people in the city on Friday evening. Special Zone Police Commander Suleiman Kova ...
510 'panya road' netted in Dar es SalaamIPPmedia
Tanzanian police arrest 36 in connection with gang violenceSabahi Online

all 18

 

10 years ago

Mtanzania

Panya Road 500 mbaroni

Pg 1 kova

Na Waandishi Wetu, Dar es Salaam
JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, limewatia mbaroni vijana 500, maarufu Panya Road ambao wamekuwa wakijihusisha na vitendo vya uhalifu wa kutumia silaha na uporaji.
Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Kamishna Suleimani Kova, alisema vijana hao walikamatwa katika operesheni maalumu iliyofanyika katika mikoa mitatu ya kipolisi ya Ilala ambako walikamatwa vijana 104, Temeke (168) na Kinondoni (202).
Alisema operesheni hiyo ilitokana...

 

10 years ago

Habarileo

Panya Road 510 mbaroni

Kamanda wa Polisi, Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Suleiman KovaJESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, linawashikilia watu 510 wakiwemo viongozi watatu wa kundi linalojihusisha na uhalifu la ‘Panya Road’ .

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani