Waziri Magufuli aagiza kivuko cha Kigongo-Busisi kufanya kazi saa 24
WAZIRI wa Ujenzi, Dk John Magufuli ameagiza uongozi kivuko cha Kigongo- Busisi mkoani hapa, kufanya kazi kwa saa 24 ili kumudu ongezeko kubwa la abiria watokao Geita, Kagera lililotokana na meli ya Mv Victoria kusitisha safari zake.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/yO1JdgjIDGbev6PaN*J2ZPIDbBcLd1*GguQGuEH2IM8r1J9oe2*GG1neN60Iuae46g2ftlkG-4ctdrIg*TbDdOTPsmm1tSYR/busisi.jpg?width=650)
FOLENI KIVUKO CHA BUSISI MWANZA
Foleni kubwa ya magari katika kivuko cha Busisi mkoani Mwanza ikiwa ni siku ya tatu leo kivuko kikiwa kimoja tu katika eneo hilo. (PICHA NA GLOBAL WHATSAPP 0753 715 779, KAMA UNA TUKIO, TUTUMIE KUPITIA NAMBA HIYO)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-3TCepeJDKFI/VBIGO0xkfyI/AAAAAAAGjBQ/KcZFQuXH3pA/s72-c/unnamed%2B(3).jpg)
KIVUKO CHA MV KIGAMBONI CHAANZA KUFANYA KAZI LEO JIJINI DAR ES SALAAM
Kivuko cha MV Kigamboni kimeanza safari zake jioni ya leo baada ya ukarabati mkubwa uliofanywa na Kikosi cha Maji cha Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) ikiwa ni utekelezaji wa agizo la Waziri wa Ujenzi Dkt. John Pombe Magufuli.
Kivuko cha MV KIgamboni kikiwa majini kuelekea eneo la Ferry kwa ajili ya kuanza kutoa Huduma ya Usafiri.
Abiria wakiingia kwenye Kivuko cha MV Kigamboni mara baada ya kuanza kufanya kazi.
![](http://2.bp.blogspot.com/-3TCepeJDKFI/VBIGO0xkfyI/AAAAAAAGjBQ/KcZFQuXH3pA/s1600/unnamed%2B(3).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-7vwNewQyL_c/VBIGPCBJd_I/AAAAAAAGjBU/pTJvhZIqu4g/s1600/unnamed%2B(4).jpg)
10 years ago
GPLKIVUKO KIPYA CHA DAR-BAGAMOYO CHAPOKELEWA NA WAZIRI MAGUFULI
Kivuko kipya cha MV Dar es Salaam-Bagamoyo. Waziri Magufuli akihutubia wadau waliofika katika sherehe hizo fupi katika Bandari ya Dar es Salaam. Mkuu wa Mkoa  wa Dar e s Salaam, Mecky Sadick, akizungumza na wadau…
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-LLmS8u3jP2o/U2K4r3E1w-I/AAAAAAAFef8/bNkK0DNiUcI/s72-c/unnamed+(9).jpg)
Wananchi waomba Kituo cha Afya Simambwe kufanya kazi saa 24
![](http://3.bp.blogspot.com/-LLmS8u3jP2o/U2K4r3E1w-I/AAAAAAAFef8/bNkK0DNiUcI/s1600/unnamed+(9).jpg)
Kauli za ombi hilo zimetolewa hivi karibuni kwa nyakati tofauti na wananchi hao walipokuwa wakizungumza na mwandishi wa habari hizi katika vijiji vyao alipowatembelea kuangalia changamoto anuai za huduma za kijamii vijijini Kata ya Tembela.
Mwenyekiti wa Kijiji cha...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6Yi1*KCqJURzf3b9CAnP0ZgzOHQ8Q6*HMA3NqqyGc7QTZhmuiMc5UyvucYCC4Ng5N9Dfx9XQBs7WvwMXYe3kHYpqE1jsowCt/1OfisaMtendajiwaKatayaTembelaEliasKalingaakifanyamahojianonaThehabari.comhivikaribuni.1.jpg)
WANANCHI WAOMBA KITUO CHA AFYA SIMAMBWE KUFANYA KAZI SAA 24
Ofisa Mtendaji wa Kata ya Tembela, Elias Kalinga akifanya mahojiano na Thehabari.com hivi karibuni. Sehemu ya jengo la kituo cha Afya Simambwe. Tembela, Mbeya
WANANCHI wa Kata ya Tembela Wilaya ya Mbeya Vijijini wameiomba Serikali kusaidia kukiwezesha Kituo cha…
11 years ago
MichuziMAGUFULI AKAGUA UJENZI WA KIVUKO CHA MSANGAMKUU (MV. MTWARA), DARAJA LA KIGAMBONI PAMOJA NA UKARABATI WA KIVUKO CHA MV. KIGAMBONI
Waziri wa Ujenzi Dkt. John Pombe Magufuli leo amefanya ziara ya kukagua maendeleo ya ujenzi wa Daraja la Kigamboni ambalo ujenzi wake utakamilka ifikapo Juni mwaka 2015.
Awali, Dkt.Magufuli alianza kwa kukagua ujenzi wa kivuko kipya cha Msanga Mkuu maeneo ya Kurasini, kivuko hiki kinajengwa na mkandarasi mzalendo na kitakamilika ndani ya kipindi cha miezi miwili.
Aidha, Waziri wa Ujenzi amefanya ukaguzi wa ukarabati wa matengenezo makubwa ya kivuko cha MV.Kigamboni huko Kigamboni, ukarabati...
Awali, Dkt.Magufuli alianza kwa kukagua ujenzi wa kivuko kipya cha Msanga Mkuu maeneo ya Kurasini, kivuko hiki kinajengwa na mkandarasi mzalendo na kitakamilika ndani ya kipindi cha miezi miwili.
Aidha, Waziri wa Ujenzi amefanya ukaguzi wa ukarabati wa matengenezo makubwa ya kivuko cha MV.Kigamboni huko Kigamboni, ukarabati...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/st-pA-4csCFTOeljWo89O8nd2*ijHsvIsZhOKa3WylmTOt*XJtiG732Nhg60V6DjB8wZZRblphxi05cxZmO9HASeagU3*7RR/13.gif)
KIVUKO CHA MV KILOMBERO CHAKWAMA KWA SAA 6
Kivuko cha MV Kilombero kikiwa kazini. ABIRIA wengi wamekwama katika eneo la Mto Kilombero mkoani Morogoro baada ya kivuko cha MV Kilombero kukwama kwa takribani saa 6 sasa.…
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-4XzwDDoxNUE/Xty29Rb1wqI/AAAAAAALs6E/tGQv3B0uzOs7HOUOKLc7QZJsIB_q1R-2ACLcBGAsYHQ/s72-c/54fcb045-82b2-49ec-8043-015958d653df.jpg)
MITAMBO MIPYA NIDA KUANZA KUFANYA KAZI HIVI KARIBUNI, KASI YA RAIS MAGUFULI IMESAMBARATISHA UPINZANI NCHINI-WAZIRI SIMBACHAWENE
![](https://1.bp.blogspot.com/-4XzwDDoxNUE/Xty29Rb1wqI/AAAAAAALs6E/tGQv3B0uzOs7HOUOKLc7QZJsIB_q1R-2ACLcBGAsYHQ/s640/54fcb045-82b2-49ec-8043-015958d653df.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/74f9846a-cdee-4c35-839d-5114e1a66496.jpg)
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Kibakwe, George Simbachawene (kushoto) akimsikiliza Mwenyekiti wa CCM Kata ya...
9 years ago
BBCSwahili20 Aug
Kufanya kazi kwa saa nyingi ni hatari
Utafiti umeeleza kuwa Watu wanaofanya kazi kwa saa nyingi wako hatarini kupata kiharusi
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania