Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Waziri Magufuli aagiza kivuko cha Kigongo-Busisi kufanya kazi saa 24

Dk John MagufuliWAZIRI wa Ujenzi, Dk John Magufuli ameagiza uongozi kivuko cha Kigongo- Busisi mkoani hapa, kufanya kazi kwa saa 24 ili kumudu ongezeko kubwa la abiria watokao Geita, Kagera lililotokana na meli ya Mv Victoria kusitisha safari zake.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

FOLENI KIVUKO CHA BUSISI MWANZA

Foleni kubwa ya magari katika kivuko cha Busisi mkoani Mwanza ikiwa ni siku ya tatu leo kivuko kikiwa kimoja tu katika eneo hilo. (PICHA NA GLOBAL WHATSAPP 0753 715 779, KAMA UNA TUKIO, TUTUMIE KUPITIA NAMBA HIYO)

 

10 years ago

Michuzi

KIVUKO CHA MV KIGAMBONI CHAANZA KUFANYA KAZI LEO JIJINI DAR ES SALAAM

Kivuko cha MV Kigamboni kimeanza safari zake jioni ya leo baada ya ukarabati mkubwa uliofanywa na Kikosi cha Maji cha Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) ikiwa ni utekelezaji wa agizo la Waziri wa Ujenzi Dkt. John Pombe Magufuli. Kivuko cha MV KIgamboni kikiwa majini kuelekea eneo la Ferry kwa ajili ya kuanza kutoa Huduma ya Usafiri.Abiria wakiingia  kwenye  Kivuko cha MV Kigamboni mara baada ya kuanza kufanya kazi.

 

10 years ago

GPL

KIVUKO KIPYA CHA DAR-BAGAMOYO CHAPOKELEWA NA WAZIRI MAGUFULI

Kivuko kipya cha MV Dar es Salaam-Bagamoyo. Waziri Magufuli akihutubia wadau waliofika katika sherehe hizo fupi katika Bandari ya Dar es Salaam. Mkuu wa Mkoa  wa Dar e s Salaam, Mecky Sadick, akizungumza na wadau…

 

11 years ago

Michuzi

Wananchi waomba Kituo cha Afya Simambwe kufanya kazi saa 24

WANANCHI wa Kata ya Tembela Wilaya ya Mbeya Vijijini wameiomba Serikali kusaidia kukiwezesha Kituo cha Afya Simambwe ili kifanye kazi saa 24 ili kuwasaidia muda wote wananchi wanaohudumiwa na kituo hicho hasa wajawazito.
Kauli za ombi hilo zimetolewa hivi karibuni kwa nyakati tofauti na wananchi hao walipokuwa wakizungumza na mwandishi wa habari hizi katika vijiji vyao alipowatembelea kuangalia changamoto anuai za huduma za kijamii vijijini Kata ya Tembela.
Mwenyekiti wa Kijiji cha...

 

11 years ago

GPL

WANANCHI WAOMBA KITUO CHA AFYA SIMAMBWE KUFANYA KAZI SAA 24‏

Ofisa Mtendaji wa Kata ya Tembela, Elias Kalinga akifanya mahojiano na Thehabari.com hivi karibuni. Sehemu ya jengo la kituo cha Afya Simambwe. Tembela, Mbeya
WANANCHI wa Kata ya Tembela Wilaya ya Mbeya Vijijini wameiomba Serikali kusaidia kukiwezesha Kituo cha…

 

11 years ago

Michuzi

MAGUFULI AKAGUA UJENZI WA KIVUKO CHA MSANGAMKUU (MV. MTWARA), DARAJA LA KIGAMBONI PAMOJA NA UKARABATI WA KIVUKO CHA MV. KIGAMBONI

Waziri wa Ujenzi Dkt. John Pombe Magufuli leo amefanya ziara ya kukagua maendeleo ya ujenzi wa Daraja la Kigamboni ambalo ujenzi wake utakamilka ifikapo Juni mwaka 2015.
Awali, Dkt.Magufuli alianza kwa kukagua ujenzi wa kivuko kipya cha Msanga Mkuu maeneo ya Kurasini, kivuko hiki kinajengwa na mkandarasi mzalendo na kitakamilika ndani ya kipindi cha miezi miwili.
Aidha, Waziri wa Ujenzi amefanya ukaguzi wa ukarabati wa matengenezo makubwa ya kivuko cha MV.Kigamboni huko Kigamboni, ukarabati...

 

10 years ago

GPL

KIVUKO CHA MV KILOMBERO CHAKWAMA KWA SAA 6

Kivuko cha MV Kilombero kikiwa kazini. ABIRIA wengi wamekwama katika eneo la Mto Kilombero mkoani Morogoro baada ya kivuko cha MV Kilombero kukwama kwa takribani saa 6 sasa.…

 

5 years ago

Michuzi

MITAMBO MIPYA NIDA KUANZA KUFANYA KAZI HIVI KARIBUNI, KASI YA RAIS MAGUFULI IMESAMBARATISHA UPINZANI NCHINI-WAZIRI SIMBACHAWENE

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Kibakwe, George Simbachawene, akiangalia nyama katika Bucha la Kijiji cha Malolo, jimbo la Kibakwe, Wilaya ya Mpwawa, Mkoani Dodoma, leo. Waziri huyo amesema utendaji kazi wa Rais Dkt. John Pombe Magufuli umesambaratisha upinzani nchini. Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Kibakwe, George Simbachawene (kushoto) akimsikiliza Mwenyekiti wa CCM Kata ya...

 

9 years ago

BBCSwahili

Kufanya kazi kwa saa nyingi ni hatari

Utafiti umeeleza kuwa Watu wanaofanya kazi kwa saa nyingi wako hatarini kupata kiharusi

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani