FOLENI KIVUKO CHA BUSISI MWANZA
![](http://api.ning.com:80/files/yO1JdgjIDGbev6PaN*J2ZPIDbBcLd1*GguQGuEH2IM8r1J9oe2*GG1neN60Iuae46g2ftlkG-4ctdrIg*TbDdOTPsmm1tSYR/busisi.jpg?width=650)
Foleni kubwa ya magari katika kivuko cha Busisi mkoani Mwanza ikiwa ni siku ya tatu leo kivuko kikiwa kimoja tu katika eneo hilo. (PICHA NA GLOBAL WHATSAPP 0753 715 779, KAMA UNA TUKIO, TUTUMIE KUPITIA NAMBA HIYO)
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo08 Jan
Waziri Magufuli aagiza kivuko cha Kigongo-Busisi kufanya kazi saa 24
WAZIRI wa Ujenzi, Dk John Magufuli ameagiza uongozi kivuko cha Kigongo- Busisi mkoani hapa, kufanya kazi kwa saa 24 ili kumudu ongezeko kubwa la abiria watokao Geita, Kagera lililotokana na meli ya Mv Victoria kusitisha safari zake.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-913gdZcVfHM/VCYo2psO9lI/AAAAAAAGmE4/f02DyRSvXy8/s72-c/unnamed%2B(18).jpg)
DKT BILALI AZINDUA Kivuko Kipya cha MV Tegemeo jijini Mwanza
![](http://2.bp.blogspot.com/-913gdZcVfHM/VCYo2psO9lI/AAAAAAAGmE4/f02DyRSvXy8/s1600/unnamed%2B(18).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-TPY4CHNWMas/VCYo2mZDNVI/AAAAAAAGmGA/JHbw8PUN8cE/s1600/unnamed%2B(19).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-6oWj1-SBchI/VCYo2lfxu6I/AAAAAAAGmE8/3a54F_tdC60/s1600/unnamed%2B(20).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-qVo3zZkAITo/VCYo3NLhsRI/AAAAAAAGmFA/rHsIRCfyPgw/s1600/unnamed%2B(21).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/--WS24gbdSe0/U72e2D9dMRI/AAAAAAAF0Pc/vMgbdz_lS5E/s72-c/unnamed+(58).jpg)
DKT.MAGUFULI AENDELEA NA ZIARA MWANZA NA SINGIDA AZINDUA KIVUKO CHA MV.TEMESA NA KUKAGUA DARAJA LA MBUTU
11 years ago
MichuziMAGUFULI AKAGUA UJENZI WA KIVUKO CHA MSANGAMKUU (MV. MTWARA), DARAJA LA KIGAMBONI PAMOJA NA UKARABATI WA KIVUKO CHA MV. KIGAMBONI
Awali, Dkt.Magufuli alianza kwa kukagua ujenzi wa kivuko kipya cha Msanga Mkuu maeneo ya Kurasini, kivuko hiki kinajengwa na mkandarasi mzalendo na kitakamilika ndani ya kipindi cha miezi miwili.
Aidha, Waziri wa Ujenzi amefanya ukaguzi wa ukarabati wa matengenezo makubwa ya kivuko cha MV.Kigamboni huko Kigamboni, ukarabati...
11 years ago
Mwananchi10 Jul
Magufuli azindua kivuko Mwanza
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-lSzBMiL9toA/U75FdEnQNaI/AAAAAAAF0aA/5SCmJqt-KaA/s72-c/unnamed+(1).jpg)
WAZIRI MAGUFULI AZINDUA KIVUKO KINGINE MKOANI MWANZA
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-llY5wG0_wro/U2wZ1fdnt6I/AAAAAAAFgYw/UDNMulECdqo/s72-c/unnamed+(9).jpg)
DC Hai atembelea kivuko cha mnepo cha Kiyungi, aahidi kukifanyia ukarabati
![](http://4.bp.blogspot.com/-llY5wG0_wro/U2wZ1fdnt6I/AAAAAAAFgYw/UDNMulECdqo/s1600/unnamed+(9).jpg)
10 years ago
Dewji Blog23 Mar
Kivuko cha Mv Sengerema
Kivuko cha Mv Sengerema kikikaribia kuwasisili kwenye gati la Busisi wilayani Sengerema kikitoka Kigongo Mwanza Machi 21, 2015. Kivuko hicho ni moja ya vivuko vitatu vinavyovusha magari na abiria kati ya Kigongo na Busisi mkoani Mwanza. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
10 years ago
GPLUZINDUZI WA KIVUKO CHA MV KIGAMBONI
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10