DC Nzega akerwa na ‘ulevi’ saa za kazi
MKUU wa Wilaya ya Nzega, Bituni Msangi amepiga marufuku pombe na michezo mbalimbali nyakati zote za kazi ili wananchi wajikite katika uzalishaji mali hususan kilimo na kazi nyingine.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo22 Oct
40 mbaroni kwa ulevi saa za kazi
WAKAZI 40 wa Tarafa ya Inyonga, Makao Makuu ya Wilaya ya Mlele mkoani Katavi wamekamatwa baada ya kukutwa wakinywa pombe asubuhi vilabuni na kwenye maduka yanayouza aina mbalimbali ya vinywaji.
9 years ago
Global Publishers06 Jan
mtoto wa kajala akerwa na kazi ya mama yake
Mtoto wa muigizaji wa filamu za Kibongo, Kajala Masanja aitwaye Paula.
Na Imelda Mtema
MTOTO wa muigizaji wa filamu za Kibongo, Kajala Masanja aitwaye Paula, ametoa mpya baada ya kudai kuwa havutiwi na sanaa anayofanya mama yake, isipokuwa anapenda zaidi uanamitindo.
Akizungumza na gazeti hili, mtoto huyo alisema anavutiwa zaidi na Hamisa Mobeto, ambaye licha ya kuigiza, lakini anatumia sehemu kubwa ya muda wake kufanya uanamitindo, kitu ambacho ni ndoto yake.
“Mimi sijawahi kuvutiwa na...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-q-tycRCDJkE/VDRxGaOBvEI/AAAAAAAGomc/aFwX7Ej_zYE/s72-c/download%2B(5).jpg)
Hotuba ya Dkt. Hamisi Kigwangalla, Mbunge wa Jimbo la Nzega na Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya TAMISEMI Alipopokelewa Jimboni Nzega Baada ya Kutangaza Nia Kugombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
![](http://2.bp.blogspot.com/-q-tycRCDJkE/VDRxGaOBvEI/AAAAAAAGomc/aFwX7Ej_zYE/s1600/download%2B(5).jpg)
Nitumie fursa hii kwa namna ya kipekee kuwashukuru nyote kwa kuacha shughuli zenu kuja kunipokea na kushiriki mkutano huu. Mmenipa heshima kubwa sana na mimi nawajibika tu kusema ‘ahsanteni sana’.
Mimi hapa ni aidha mtoto wenu, mjukuu wenu ama mdogo wenu, mnapoacha shughuli zenu...
9 years ago
Mwananchi01 Dec
Watakaocheza pool saa za kazi kukiona
9 years ago
BBCSwahili20 Aug
Kufanya kazi kwa saa nyingi ni hatari
11 years ago
Habarileo17 Feb
Marufuku kunywa pombe, kucheza pool saa za kazi - DC
MKUU wa Wilaya ya Lushoto, Majid Mwanga amepiga marufuku uuzaji na unywaji wa pombe na mchezo wa pool nyakati za asubuhi na muda wa kazi. Amesema hataki kuona vitendo vya starehe, vinavyofanywa na baadhi ya wananchi wakati wa saa kazi.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jbaar29oQX6C09*IqW1Cka9pxPThrqjCPdIG*YIDXLdr7cVbqOU3G4IvGQtfH0jrsgVIiScgcw-4rY98iuSORiKaUtbWgCS8/FRONTAMANI.jpg?width=650)
PANYA ROAD KWISHA KAZI! KOVA ALALA NJE SAA 120
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-LLmS8u3jP2o/U2K4r3E1w-I/AAAAAAAFef8/bNkK0DNiUcI/s72-c/unnamed+(9).jpg)
Wananchi waomba Kituo cha Afya Simambwe kufanya kazi saa 24
![](http://3.bp.blogspot.com/-LLmS8u3jP2o/U2K4r3E1w-I/AAAAAAAFef8/bNkK0DNiUcI/s1600/unnamed+(9).jpg)
Kauli za ombi hilo zimetolewa hivi karibuni kwa nyakati tofauti na wananchi hao walipokuwa wakizungumza na mwandishi wa habari hizi katika vijiji vyao alipowatembelea kuangalia changamoto anuai za huduma za kijamii vijijini Kata ya Tembela.
Mwenyekiti wa Kijiji cha...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6Yi1*KCqJURzf3b9CAnP0ZgzOHQ8Q6*HMA3NqqyGc7QTZhmuiMc5UyvucYCC4Ng5N9Dfx9XQBs7WvwMXYe3kHYpqE1jsowCt/1OfisaMtendajiwaKatayaTembelaEliasKalingaakifanyamahojianonaThehabari.comhivikaribuni.1.jpg)
WANANCHI WAOMBA KITUO CHA AFYA SIMAMBWE KUFANYA KAZI SAA 24