Mahakama Japan yazuia majina tofauti ya familia
Mahakama kuu nchini Japan imedumisha sheria kwamba watu waliooana ni lazima watumie jina sawa la kiukoo, na kukataa ombi la wanawake waliotaka kutobadilisha majina wakiolewa.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili11 Sep
Mahakama yazuia marufuku ya pombe India
11 years ago
Mwananchi21 Mar
Mahakama yazuia ‘vijipesa vya ugoro’ IPTL
9 years ago
Habarileo24 Oct
Mahakama Kuu yazuia kulinda kura meta 200
MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam, imepiga marufuku mtu yeyote asikusanyike wala kukaa umbali wa meta 200 kutoka katika kituo cha kupiga kura siku ya kesho, wakati wananchi wakipiga kura.
10 years ago
Habarileo02 Oct
Mahakama Kuu yazuia Tanesco kusimamia mitambo Tegeta
MAHAKAMA Kuu ya Tanzania imeamuru Benki ya Standard Chartered ya Hong Kong na Shirika la Usambazaji Umeme Tanzania (Tanesco) kutoingilia umiliki, usimamizi na utawala wa Mitambo ya ufuaji umeme iliyopo Tegeta, Dar es Salaam hadi hapo uamuzi wa mwisho wa kesi yao ya msingi utakapotolewa.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-MhhkZsJilGM/VVSxGK2uLOI/AAAAAAAHXTk/-fcx6DlhPPk/s72-c/9fbe7609f50bcf3767e64bf72f3a6387c19b05e9.jpg)
Mahakama nchini spain yazuia mgomo wa wachezaji uliopangwa kufanyika kuanzia Jumamosi
![](http://1.bp.blogspot.com/-MhhkZsJilGM/VVSxGK2uLOI/AAAAAAAHXTk/-fcx6DlhPPk/s320/9fbe7609f50bcf3767e64bf72f3a6387c19b05e9.jpg)
Mahakama nchi Spain imeamuru mgomo wa wachezaji nyota nchi hiyo uliopangwa kufanyika Jumamosi wakipinga sharia mpya ya haki za mapato kwenye TV, hivyo ndio kusema fainali timu ya Barcelona itaweka msumali wake wa mwisho wa La Liga dhidi ya Atletico Madrid siku ya Jumapili.
Mahakama hiyo ya National Court imesema katika uamuzi wake leo kwamba kuruhusu mgomo huo uendelee kutazuia kumalizika kwa michuano ya ubingwa ya nchi hiyo na pia kusababisha mvurugano mkubwa wa...
11 years ago
Michuzi12 Jul
10 years ago
Dewji Blog04 Oct
Mahakama yazuia kufanyika kwa ‘Bang Bang Bear Fest’ jumamosi hii, limekiuka sheria za haki miliki
Mahakama ya hakimu mkazi Kinondoni jijini Dar es Salaam imezuia kufanyika kwa tamasha lililopewa jina ‘Bang Bang Bear Fest’ lililokuwa linatarajiwa kufanyika Jumamosi hii.
Uamuzi wa mahakama hiyo umetokana na malalamiko yaliyotolewa na Bongo5 Media Group ambao wanamiliki wazo halisi la tamasha la aina hiyo liitwalo Dar es Salaam Bear Fest.
Kwa hali hiyo mahakama hiyo imetoa amri ya kusitishwa mara moja kwa ‘Bang Bang Bear Fest’ lililokuwa lifanyike October 4 kwenye viwanja vya Posta...
10 years ago
BBCSwahili14 Apr
Mahakama yazima vinu vya nyuklia Japan
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-24guyxE_4bk/VC6pBLksSSI/AAAAAAAGnlg/H0lxR9y7DTI/s72-c/unnamed%2B(48).jpg)
NEWS ALERT: MAHAKAMA YAZUIA KUFANYIKA KWA ‘BANG BANG BEAR FEST’ JUMAMOSI HII, LIMEKIUKA SHERIA ZA HAKI MILIKI
Uamuzi wa mahakama hiyo umetokana na malalamiko yaliyotolewa na Bongo5 Media Group ambao wanamiliki wazo halisi la tamasha la aina hiyo liitwalo Dar es Salaam Bear Fest.
Kwa hali hiyo mahakama hiyo imetoa amri ya kusitishwa mara moja kwa ‘Bang Bang Bear Fest’ lililokuwa lifanyike October 4 kwenye viwanja vya Posta...