Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mahakama Kuu yazuia kulinda kura meta 200

MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam, imepiga marufuku mtu yeyote asikusanyike wala kukaa umbali wa meta 200 kutoka katika kituo cha kupiga kura siku ya kesho, wakati wananchi wakipiga kura.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Mahakama Kuu yaombwa kutupa ‘kesi ya meta 200’

MW A N A S H E R I A Mkuu wa Serikali (AG) ameiomba Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, kutupilia mbali kesi ya kikatiba kuhusu haki ya wananchi kukaa meta 200 kutoka katika kituo cha kupigia kura. Kesi hiyo ilianza kusikilizwa jana mbele ya jopo la majaji Sakieti Kihiyo, Aloysius Mujulizi na Lugano Mwandambo.

 

10 years ago

Mwananchi

Sakata la kulinda kura latua Mahakama Kuu

Hatimaye mvutano kati ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) na vyama vya siasa vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kuhusu umbali wa mwananchi kusimama baada ya kupiga kura, umetinga Mahakama Kuu.

 

11 years ago

Habarileo

Mahakama Kuu yazuia Tanesco kusimamia mitambo Tegeta

MAHAKAMA Kuu ya Tanzania imeamuru Benki ya Standard Chartered ya Hong Kong na Shirika la Usambazaji Umeme Tanzania (Tanesco) kutoingilia umiliki, usimamizi na utawala wa Mitambo ya ufuaji umeme iliyopo Tegeta, Dar es Salaam hadi hapo uamuzi wa mwisho wa kesi yao ya msingi utakapotolewa.

 

10 years ago

Mwananchi

Mahakama: Ni kosa kulinda kura

Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, imehitimisha mvutano wa sakata la kukaa mita 200 kulinda kwa kutamka kuwa utaratibu huo hauruhusiwi.

 

10 years ago

GPL

ILIVYOKUWA JANA SHAURI LA MITA 200 MAHAKAMA KUU

Mawakili wa serikali wakijadili jambo mara baada ya kuahirishwa kesi hiyo jana. Waandishi wa habari wakifanya mahojiano na wakili wa serikali, Dk.Tulia Ackson mara baada ya kuahirishwa kesi hiyo katika Mahakama Kuu jana.…

 

10 years ago

Habarileo

Hatma ya kesi ya meta 200 kutolewa leo

MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam leo itatoa uamuzi kuhusu shauri la kikatiba lililofunguliwa na Mbunge wa Viti Maalum wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Amy Kibatala likihoji uhalali wa wapigakura kukaa mita 200 kutoka kwenye vituo vya kupigia kura.

 

10 years ago

StarTV

Mahakama Kuu yasema maelekezo ya NEC ni sahii ya kutokukaa mita 200.

Mahakama Kuu Maalamu Kanda ya Dar Es Salaam, imemaliza Utata dhidi ya uhalali wa wapiga kura kukaa umbali wa mita 200 kutoka kituo cha kupiga kura baada ya kupiga kura na kusema maelekezo ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi yapo sahihi.

Utata huo umekuja  baada ya Mahakama hiyo kutoa ufafanuzi wa kifungu 104(1) namba 37 ya Mwaka 2015 iliyofunguliwa na Amy Kibatala aliyetaka ufafanuzi wa Tafsiri ya Kifungu cha 104 (1) sura 543 cha Sheria ya Taifa ya Uchaguzi iliyorejewa mwaka 2002 kuhusu kukaa...

 

11 years ago

BBCSwahili

Mahakama yazuia marufuku ya pombe India

Mahakama ya rufaa nchini India imezuia mpango wa jimbo la Kerala Kusini mwa nchi hiyo kupiga marufuku pombe.

 

11 years ago

Mwananchi

Mahakama yazuia ‘vijipesa vya ugoro’ IPTL

>Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam imezuia malipo ya Dola za Marekani 75 milioni (Sh.121 bilioni) kutoka katika akaunti ya Escrow kwa ajili ya kununua asilimia 30 ya hisa za VIP Engineering and Marketing katika Kampuni ya kufua umeme ya IPTL.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani