ILIVYOKUWA JANA SHAURI LA MITA 200 MAHAKAMA KUU
![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/1.Mawakili-wa-serikali-wakijadili-jambo-mara-baada-ya-kuahirishwa-shauri-hilo..jpg?width=650)
Mawakili wa serikali wakijadili jambo mara baada ya kuahirishwa kesi hiyo jana. Waandishi wa habari wakifanya mahojiano na wakili wa serikali, Dk.Tulia Ackson mara baada ya kuahirishwa kesi hiyo katika Mahakama Kuu jana.…
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/BREAKING-NEWS3.gif)
MAHAKAMA YATUPILIA MBALI SHAURI LA MITA 200
9 years ago
StarTV24 Oct
Mahakama Kuu yasema maelekezo ya NEC ni sahii ya kutokukaa mita 200.
Mahakama Kuu Maalamu Kanda ya Dar Es Salaam, imemaliza Utata dhidi ya uhalali wa wapiga kura kukaa umbali wa mita 200 kutoka kituo cha kupiga kura baada ya kupiga kura na kusema maelekezo ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi yapo sahihi.
Utata huo umekuja baada ya Mahakama hiyo kutoa ufafanuzi wa kifungu 104(1) namba 37 ya Mwaka 2015 iliyofunguliwa na Amy Kibatala aliyetaka ufafanuzi wa Tafsiri ya Kifungu cha 104 (1) sura 543 cha Sheria ya Taifa ya Uchaguzi iliyorejewa mwaka 2002 kuhusu kukaa...
9 years ago
Vijimambo22 Oct
Mahakama leo kusikiliza hoja kesi mita 200 vituoni.
![](http://www.itv.co.tz/media/image/Mahakama.jpg)
Katika kesi hiyo namba 37 ya mwaka huu, mlalamikaji anaiomba mahakama itoe tafsiri ya kifungu cha 104 kidogo cha (1) cha Sheria ya Uchaguzi kama kinazuia ama la wananchi kukaa umbali wa mita 200 baada ya kupiga kura katika vituo vyao....
9 years ago
Habarileo22 Oct
Mahakama Kuu yaombwa kutupa ‘kesi ya meta 200’
MW A N A S H E R I A Mkuu wa Serikali (AG) ameiomba Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, kutupilia mbali kesi ya kikatiba kuhusu haki ya wananchi kukaa meta 200 kutoka katika kituo cha kupigia kura. Kesi hiyo ilianza kusikilizwa jana mbele ya jopo la majaji Sakieti Kihiyo, Aloysius Mujulizi na Lugano Mwandambo.
9 years ago
Habarileo24 Oct
Mahakama Kuu yazuia kulinda kura meta 200
MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam, imepiga marufuku mtu yeyote asikusanyike wala kukaa umbali wa meta 200 kutoka katika kituo cha kupiga kura siku ya kesho, wakati wananchi wakipiga kura.
9 years ago
Vijimambo22 Oct
Kesi mita 200 moto.
![](http://www.itv.co.tz/media/image/Mahakama.jpg)
Dk. Ackson alidai mahakamani hapo kuwa maombi ya kesi ya kikatiba ya kutaka tafsiri ya kifungu cha 104 cha Sheria ya Uchaguzi yamewasilishwa na walalamikaji kwa kutumia sheria isiyostahili...
10 years ago
BBCSwahili27 May
Bolt ashinda mita 200
9 years ago
Mtanzania24 Oct
Mita 200 yapigwa marufuku
Na Kulwa Mzee, Dar es Salaam
MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam imetamka bayana kwamba hairuhusiwi watu kukutana mahali popote bila kujali umbali wake siku ya uchaguzi kesho.
Uamuzi huo ulitolewa na jopo la majaji watatu waliokuwa wakisikiliza mvutano wa kisheria kuhusu kukaa mita 200 kutoka kituo cha kupigia kura.
Mwenyekiti wa jopo hilo, Sekieti Kihiyo na Jaji Lugano Mwandambo kwa nyakati tofauti walipokuwa wakisoma uamuzi huo, walisema wamezingatia hoja zilizowasilishwa na pande mbili...