MAHAKAMA YATUPILIA MBALI SHAURI LA MITA 200
![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/BREAKING-NEWS3.gif)
(Picha na Maktaba) Mahakama Kuu Dar leo imetupilia mbali shauri la tafsiri ya sheria ya kukaa mita 200 wapiga kura, yasema vikundi au mikutano haviruhusiwi kisheria siku hiyo.
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/1.Mawakili-wa-serikali-wakijadili-jambo-mara-baada-ya-kuahirishwa-shauri-hilo..jpg?width=650)
ILIVYOKUWA JANA SHAURI LA MITA 200 MAHAKAMA KUU
10 years ago
Vijimambo25 Mar
MAHAKAMA YATUPILIA MBALI PINGAMIZI LA LIMBU
![MWIGAMBA.jpg MWIGAMBA.jpg](http://www.mabadiliko.co.tz/media/kunena/attachments/45/MWIGAMBA.jpg)
Pichani ni Kadawi Limbu (kulia) akiwa na Samson Mwigamba
Leo Mahakama Kuu kanda ya Dar, Itasikiliza Kwa Mara ya kwanza Ombi la Kadawi Limbu, Ambye Ni Mwenyekiti wa Muda wa ACT-TANZANIA Dhidi ya Katibu Mkuu wa Chama hicho, Ndugu Samson Mwigamba.
Shauri hilo ni namba 17 la Mwaka 2015, Katika Maombi yake kwa Mahakama Ndugu Limbu Anataka Mahakama Imzuie Mwigamba na Wenzie kujihusisha na ACT, Maombi Mengine nikutaka Mahakama kuzuia Mkutano Mkuu wa Chama hicho unaotarajiwa kufanyika Mwishoni Mwa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-J4jC1LkWRkg/XtePMQIFHjI/AAAAAAALscE/nTKW5u9o-Cg2ZcsDynjDBQ5L2f6HkxhowCLcBGAsYHQ/s72-c/maxresdefault.jpg)
MAHAKAMA YATUPILIA MBALI KESI NDUGAI ILIYOFUNGULIWA KIKATIBA
![](https://1.bp.blogspot.com/-J4jC1LkWRkg/XtePMQIFHjI/AAAAAAALscE/nTKW5u9o-Cg2ZcsDynjDBQ5L2f6HkxhowCLcBGAsYHQ/s640/maxresdefault.jpg)
Mbali na Ndugai, walalamikiwa wengine ni Mbunge wa Ndanda, Cecil Mwambe na Mwanasheria Mkuu wa Serikali.
Katika kesi hiyo Wakili Kaunda anaiomba Mahakama Kuu kutengua amri ya Spika Ndugai ya kumtambua Mwambe kama...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-J4jC1LkWRkg/XtePMQIFHjI/AAAAAAALscE/nTKW5u9o-Cg2ZcsDynjDBQ5L2f6HkxhowCLcBGAsYHQ/s72-c/maxresdefault.jpg)
MAHAKAMA KUU YATUPILIA MBALI KESI YA KIKATIBA ILIYOFUNGULIWA DHIDI YA SPIKA
![](https://1.bp.blogspot.com/-J4jC1LkWRkg/XtePMQIFHjI/AAAAAAALscE/nTKW5u9o-Cg2ZcsDynjDBQ5L2f6HkxhowCLcBGAsYHQ/s400/maxresdefault.jpg)
Mbali na Ndugai, walalamikiwa wengine ni Mbunge wa Ndanda, Cecil Mwambe na Mwanasheria Mkuu wa Serikali.
Katika kesi hiyo Wakili Kaunda anaiomba Mahakama Kuu kutengua amri ya Spika Ndugai ya kumtambua Mwambe kama...
10 years ago
Michuzi15 Sep
NEWS ALERT: MAHAKAMA KUU YATUPILIA MBALI MAOMBI YA PINGAMIZI LA KUSIMAMISHA BUNGE LA KATIBA
MAHAKAMA Kuu Tanzania, Kanda ya Dar es Salaam leo imetupilia mbali maombi ya pingamizi la awali la kusimamisha Bunge la Katiba linaloendelea mjini Dodoma, iliyofunguliwa na Mwandishi wa Habari Said Kubenea, kwa kuwa wametumia kifungu cha sheria kisicho sahihi.
Kadhalika, mahakama hiyo imetupilia mbali pingamizi hilo la awali, kwa kuwa mlalamikaji ametumia kifungu cha sheria namba 2 kidogo cha (2) (JALA) ambacho hakina mamlaka ya kufungua maombi hayo...
10 years ago
Dewji Blog30 Jul
Mahakama yatupilia mbali pingamizi katika kesi ya mirathi ya Mwandishi wa habari mkongwe nchini
Pichani ni mwandishi wa habari mkongwe nchini marehemu, Betty Luzuka enzi za uhai wake.
Aliyekuwa Ofisa mwandamizi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, Phil Kleruu.
Na Mwandishi wetu, Arusha
Mahakama ya mwanzo ya Maromboso imetupilia mbali kesi ya pingamizi iliyofunguliwa na mke wa aliyekuwa ofisa mwandamizi wa jumuiya ya Afrika Mashariki,Phil Kleruu aitwaye Hilda Kleruu kwa madai kwamba siyo mwaminifu na hivyo amekosa sifa ya kuwa msimamizi wa mirathi ya mwandishi wa habari mkongwe nchini...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-LtLAdpl--Vs/Xs_KTIlWCYI/AAAAAAALr5E/J1MaQGGTfd0Rjvuh6-UJREewa80feejAACLcBGAsYHQ/s72-c/index.jpg)
MAHAKAMA KUU KANDA YA DAR ES SALAAM YATUPILIA MBALI KESI YA KIKATIBA ILIYOFUNGULIWA NA TAASISI MBILI ZISIZO ZA SERIKALI
![](https://1.bp.blogspot.com/-LtLAdpl--Vs/Xs_KTIlWCYI/AAAAAAALr5E/J1MaQGGTfd0Rjvuh6-UJREewa80feejAACLcBGAsYHQ/s400/index.jpg)
Marekebisho katika sheria hizo yalihusu kuweka tafsiri mpya ya maneno Kampuni na Asasi katika sheria husika na pia kuzitaka Asasi zote zilizosajiliwa chini ya Sheria ya Makampuni ambazo hazikuwa na malengo ya...
9 years ago
Vijimambo22 Oct
Mahakama leo kusikiliza hoja kesi mita 200 vituoni.
![](http://www.itv.co.tz/media/image/Mahakama.jpg)
Katika kesi hiyo namba 37 ya mwaka huu, mlalamikaji anaiomba mahakama itoe tafsiri ya kifungu cha 104 kidogo cha (1) cha Sheria ya Uchaguzi kama kinazuia ama la wananchi kukaa umbali wa mita 200 baada ya kupiga kura katika vituo vyao....
9 years ago
StarTV24 Oct
Mahakama Kuu yasema maelekezo ya NEC ni sahii ya kutokukaa mita 200.
Mahakama Kuu Maalamu Kanda ya Dar Es Salaam, imemaliza Utata dhidi ya uhalali wa wapiga kura kukaa umbali wa mita 200 kutoka kituo cha kupiga kura baada ya kupiga kura na kusema maelekezo ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi yapo sahihi.
Utata huo umekuja baada ya Mahakama hiyo kutoa ufafanuzi wa kifungu 104(1) namba 37 ya Mwaka 2015 iliyofunguliwa na Amy Kibatala aliyetaka ufafanuzi wa Tafsiri ya Kifungu cha 104 (1) sura 543 cha Sheria ya Taifa ya Uchaguzi iliyorejewa mwaka 2002 kuhusu kukaa...