Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kimbunga Koppu, chaikumba Ufilipino

Kimbunga kikali kiitwacho, Koppu kimeikumba Ufilipino na kusababisha mvua kubwa,huku upepo ukienda kwa kasi ya kilomita 200 kwa saa.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Kimbunga Jaja chaikumba Azam

Mshambuliaji Genilson Santana ‘Jaja’ jana alikuwa na kazi moja ya kunyamazisha wanaombeza baada ya kufunga mabao mawili na kuiongoza Yanga kuichapa Azam 3-0 katika mchezo wa Ngao ya Jamii kwenye Uwanja Taifa, Dar es Salaam.

 

11 years ago

Mwananchi

Kimbunga Tambwe chaikumba Oljoro

Mshambuliaji Amis si Tambwe amefunga mabao matatu peke yake na kuisaidia Simba kuisambaratisha Oljoro JKT 4-0 jana katika mechi ya Ligi Kuu bara iliyofanyika jana kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

 

9 years ago

BBCSwahili

Kimbunga chaua Ufilipino

Waokoaji Kaskazini mwa Ufilipino wanachimbua ardhini kwa lengo kutafuta mamia ya wachimba madini, baada ya kukumbwa na kimbunga.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kimbunga chaangusha miti Ufilipino

Kimbunga Hagupit kinaeleka eneo la kaskazini Magharibi mwa ufilipino kikiwa na upepo unaovuma kwa kasi ya kilomita 200 kwa saa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kimbunga Noul kupiga Ufilipino kaskazini

Wakazi wa kaskazini mwa Ufilipino wanajiandaa kuwasili kwa kimbunga ambacho kimesababisha kufutiliwa mbali kwa safari za ndege na usafiri wa baharini.

 

9 years ago

TheCitizen

Flooded residents on rooftops as Koppu pummels Philippines

Residents of flooded farming villages in the Philippines were trapped on their rooftops on Monday and animals floated down fast-rising rivers, as deadly Typhoon Koppu dumped more intense rain.

 

10 years ago

Mwananchi

Angel Locsin: Mrembo mkali zaidi nchini Ufilipino

Ucheshi na ukarimu ni sifa za msingi walizonazo watu wa Ufilipino. Lakini kingine cha ziada walichojaaliwa watu wa taifa hili, ni uwepo wa warembo wenye kuvutia.

 

10 years ago

Bongo5

Picha: Bondia Manny Pacquiao akicheza ligi ya mpira wa kikapu Ufilipino

Bondia Manny Pacquiao aliweka gloves pembeni na kuonesha kipaji chake kingine na kuishangaza dunia kwa kucheza mpira wa kikapu Jumapili iliyopita ikiwa imebaki kama mwezi mmoja kabla hajapanda ulingoni kutetea mkanda wa WBO. Pacquiao aliichezea KIA Sorento inayoshiriki ligi ya kikapu nchini Ufilipo. Pacquiao mwenye umri wa miaka 35 alicheza kwa dakika saba, na kuisaidia […]

 

9 years ago

Dewji Blog

Pia Alonzo kutoka Ufilipino ashinda taji la Miss Universe 2015

CWulpSyUkAQPa2y

Miss Universe wa Ufilipino, Pia Alonzo Wurtzbach katika picha ya pamoja washiriki wenzake wa Miss Universe 2015 baada ya kuvikwa taji hilo.(Picha kwa hisani ya @MissUniverse).

pia-alonso-miss-universe-philippines-winner-five-things-to-know-ftr-600x901

Miss Universe wa Ufilipino, Pia Alonzo Wurtzbach.

CWt_6bSUkAE_O-F

Miss Universe wa Ufilipino, Pia Alonzo Wurtzbach katika ubora wake.

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Miss Universe wa Ufilipino, Pia Alonzo Wurtzbach ameshinda taji la Miss Universe 2015 katika fainali ya mashindano hayo yamefanyika usiku wa jumapili, Planet Hollywood Las...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani