Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kimbunga Tambwe chaikumba Oljoro

Mshambuliaji Amis si Tambwe amefunga mabao matatu peke yake na kuisaidia Simba kuisambaratisha Oljoro JKT 4-0 jana katika mechi ya Ligi Kuu bara iliyofanyika jana kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Kimbunga Koppu, chaikumba Ufilipino

Kimbunga kikali kiitwacho, Koppu kimeikumba Ufilipino na kusababisha mvua kubwa,huku upepo ukienda kwa kasi ya kilomita 200 kwa saa.

 

10 years ago

Mwananchi

Kimbunga Jaja chaikumba Azam

Mshambuliaji Genilson Santana ‘Jaja’ jana alikuwa na kazi moja ya kunyamazisha wanaombeza baada ya kufunga mabao mawili na kuiongoza Yanga kuichapa Azam 3-0 katika mchezo wa Ngao ya Jamii kwenye Uwanja Taifa, Dar es Salaam.

 

11 years ago

Mwananchi

Rhino, Oljoro kubaki ni kudra

Wakati Azam, Yanga na Mbeya City wakisaka ubingwa, tayari timu tatu za Rhino Rangers, Oljoro JKT,Ashanti United ziko iwa kwenye hatari kubwa ya kushuka darajamsimu huu.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ni Simba vs Oljoro, Ashanti vs Mgambo

WEKUNDU wa Msimbazi, Simba SC, leo wanajitupa ndani ya dimba la Taifa jijini Dar es Salaam kuwaalika maafande wa JKT Oljoro ya Arusha katika pambano la Ligi Kuu ya Vodacom,...

 

9 years ago

StarTV

JKT Oljoro yatinga kileleni.

Maafande wa JKT Oljoro wametinga  kileleni mwa kundi C baada ya kuwachezesha kwata  maafande wenzao  wa Polisi Tabora kwa bao 1-0, katika mchezo uliopigwa kwenye dimba la Sheikh Amri Abeid Jijini Arusha.

Haikuwa rahisi kwa wafunga buti hao wa Oljoro kupata bao hilo mapema kwani iliwabidi wasubiri hadi kipindi cha kwanza kimalizike.

Kipindi cha pili kilianza kwa kila timu kuanza kwa kasi  baada ya makocha wa timu zote mbili kufanya mabadiliko ya wachezaji , mabadiliko hayo yalizaa matunda kwa...

 

11 years ago

GPL

Morocco atamba kuipaisha Oljoro

Kikosi cha JKT Oljoro. Na Amisa Mmbaga
KOCHA wa JKT Oljoro, Hemed Morocco, amesema atahakikisha anakipika vilivyo kikosi chake na kuwa tishio kwenye mzunguko wa pili wa Ligi Kuu Bara. Morocco amejiunga na Oljoro kwa mkataba wa mwaka mmoja mara baada ya ajira yake katika timu ya Coastal Union kufikia tamati hivi karibuni. Morocco ambaye ameanza majukumu mapya katika timu hiyo inayoshika nafasi ya 11 kwenye msimamo wa ligi,...

 

11 years ago

Tanzania Daima

JKT Oljoro yapania daraja la kwanza

TIMU ya JKT Oljoro imepania kukabili ushindani wa ligi Daraja la Kwanza kwa kuanza maandalizi mapema ikiwemo kuingia kambini na kujifua kwa mazoezi magumu ili waweze kurejea Ligi Kuu ya...

 

9 years ago

StarTV

JKT Oljoro wazidi kung’ara.

Wafunga buti wa JKT Oljoro kwa mara nyingine wametoka na ushindi baada ya kuwachezesha gwaride wachimba madini wa Geita gold sports mabao 2- 1 mchezo wa ligi daraja la kwanza uliochezwa kwenye uwanja wa Sheikh Amri Abeid,Jijini Arusha.

Maafande hao wa JKT Oljoro wameutumia vizuri uwanja wao wa nyumbani mara baada ya kuinyuka timu ya Geita gold sports magoli 2 kwa 1 mchezo ambao ulianza kwa kasi kwa kila timu kuonekana kuupania mchezo huo uliotimua vumbi katika viunga vya Sheikh Amri Abeid...

 

10 years ago

TheCitizen

Relief as JKT Oljoro pip Rhino

>Oljoro FC got back to winning ways on Wednesday after edging out Rhino Rangers 2-1 at the Sheikh Amri Abeid Stadium. The Arusha team’s hopes of winning promotion to the Premier League took a tumble last week when Toto Africans trounced them 3-1.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani