Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Rhino, Oljoro kubaki ni kudra

Wakati Azam, Yanga na Mbeya City wakisaka ubingwa, tayari timu tatu za Rhino Rangers, Oljoro JKT,Ashanti United ziko iwa kwenye hatari kubwa ya kushuka darajamsimu huu.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

TheCitizen

Relief as JKT Oljoro pip Rhino

>Oljoro FC got back to winning ways on Wednesday after edging out Rhino Rangers 2-1 at the Sheikh Amri Abeid Stadium. The Arusha team’s hopes of winning promotion to the Premier League took a tumble last week when Toto Africans trounced them 3-1.

 

11 years ago

Michuzi

KAGERA SUGAR YASHINDA RHINO RANGERS 1- 0, SELEMAN KIBUTA AITUNGUA RHINO AKITOKEA BENCHI

Timu zikisalimiana Na Faustine Ruta, Bukoba Timu ya Kagera Sugar wakiikaribisha timu ya Rhino Ranger leo kutoka Tabora kwenye Ligi  kuu ya Vodacom (VPL) wameifunga bao 1-0. katika mchezo huo ulio pigwa hii leo jumamosi katika kipindi cha kwanza timu zote mbili zilienda mapumziko zikiwa 0-0. Kipindi cha pili Kagera Sugar walifanya mabadiliko kwa kumuingiza mchezaji wao Seleman Kibuta na katika dakika ya 52 kipindi hicho hicho cha pili mchezaji huyo aliwapachikia bao la pekee. Bao hilo...

 

10 years ago

Mwananchi

Watanzania tujifunze kuweka afya mikononi, tusisubiri kudra ya wakubwa au mungu-3

Miaka yote niliyosafiri na kuishi ughaibuni nimebaini siri moja kuhusu afya. Wananchi wengi duniani hawaijali miili hadi wanapougua.

 

11 years ago

Mwananchi

Kimbunga Tambwe chaikumba Oljoro

Mshambuliaji Amis si Tambwe amefunga mabao matatu peke yake na kuisaidia Simba kuisambaratisha Oljoro JKT 4-0 jana katika mechi ya Ligi Kuu bara iliyofanyika jana kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ni Simba vs Oljoro, Ashanti vs Mgambo

WEKUNDU wa Msimbazi, Simba SC, leo wanajitupa ndani ya dimba la Taifa jijini Dar es Salaam kuwaalika maafande wa JKT Oljoro ya Arusha katika pambano la Ligi Kuu ya Vodacom,...

 

11 years ago

GPL

Morocco atamba kuipaisha Oljoro

Kikosi cha JKT Oljoro. Na Amisa Mmbaga
KOCHA wa JKT Oljoro, Hemed Morocco, amesema atahakikisha anakipika vilivyo kikosi chake na kuwa tishio kwenye mzunguko wa pili wa Ligi Kuu Bara. Morocco amejiunga na Oljoro kwa mkataba wa mwaka mmoja mara baada ya ajira yake katika timu ya Coastal Union kufikia tamati hivi karibuni. Morocco ambaye ameanza majukumu mapya katika timu hiyo inayoshika nafasi ya 11 kwenye msimamo wa ligi,...

 

9 years ago

StarTV

JKT Oljoro yatinga kileleni.

Maafande wa JKT Oljoro wametinga  kileleni mwa kundi C baada ya kuwachezesha kwata  maafande wenzao  wa Polisi Tabora kwa bao 1-0, katika mchezo uliopigwa kwenye dimba la Sheikh Amri Abeid Jijini Arusha.

Haikuwa rahisi kwa wafunga buti hao wa Oljoro kupata bao hilo mapema kwani iliwabidi wasubiri hadi kipindi cha kwanza kimalizike.

Kipindi cha pili kilianza kwa kila timu kuanza kwa kasi  baada ya makocha wa timu zote mbili kufanya mabadiliko ya wachezaji , mabadiliko hayo yalizaa matunda kwa...

 

9 years ago

Michuzi

PANONE FC KUFUNGUA DIMBA NA JKT OLJORO

Na Woinde Shizza,Arusha TIMU ya panone FC ya mjini Moshi, mkoani Kilimanjaro maarufu kama matajiri wa mafuta ,inatarajia kuanza kutupa karata yake ya mchezo wa kwanza wa ligi daraja la kwanza(FDL) dhidi ya maafande wa JKT Oljoro ya jijini Arusha.Mchezo  huo utafanyika septemba 19 mwaka huu, katika uwanja wa Ushirika mjini moshi mkoani kilimanjaro,ambapo  baada ya mchezo huo pia wataikaribisha timu ya Polisi Tabora semptemba  26.
Katibu wa timu ya Panone FC  Augstino mwakatumbula alisema...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani