BARABARA YA KIMARA HADI KIVUKONI WAENDELA, KUKAMILIKA NDANI YA MIEZI SITA
![](http://2.bp.blogspot.com/-Gr507tF21ck/UxNENuoAhxI/AAAAAAAFQjg/NHKqiQLDTn0/s72-c/b1.jpg)
Kampuni ya Strabag International GmbH inayotekeleza ujenzi wa barabara ya Morogoro kuanzia Kimara hadi Kivukoni jijini Dar es Salaam imetakiwa kuhakikisha kuwa inakamilisha ujenzi wa sehemu hiyo ndani ya kipindi cha miezi sita ijayo kama mkataba wao unavyoelekeza. Waziri wa Ujenzi Mhe. Magufuli alitoa agizo hilo wakati akiwa katika ziara ya kukagua maendeleo ya mradi wa ujenzi wa barabara kwa ajili ya mabasi yaendayo haraka jijini Dar es Salaam (Dar es Salaam Bus Rapid Transit - BRT)...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-zX_90Q8EEHw/UxCOrHhgxAI/AAAAAAAFQSE/FDJmBi1IL2o/s72-c/unnamed+(45).jpg)
DR.MAGUFULI AKAGUA MRADI WA MABASI YAENDAYO KASI (BRT) JIJINI DAR ES SALAAM: BARABARA YA KIMARA HADI KIVUKONI KUKAMILIKA NDANI YA MIEZI SITA
11 years ago
Habarileo22 May
Barabara ya Ndundu-Somanga kukamilika miezi 2
BARABARA ya Ndundu –Somanga iliyojengwa kwa muda mrefu, inatarajiwa kukamilika baada ya miezi miwili ijayo; Bunge limeelezwa.
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-F_TTi_urvgo/VdlO8XdjwsI/AAAAAAAAUEg/SxJ--N4E_Ks/s72-c/DSCF6892%2B%25281280x960%2529.jpg)
TANAPA YATANGAZA KAMPENI YA MIEZI SITA KUHAMASISHA UTALII WA NDANI.
![](http://2.bp.blogspot.com/-F_TTi_urvgo/VdlO8XdjwsI/AAAAAAAAUEg/SxJ--N4E_Ks/s640/DSCF6892%2B%25281280x960%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-QOi_v6v-AjQ/VdlPBRePO7I/AAAAAAAAUEo/UyxcRPXWYmo/s640/DSCF6909%2B%25281280x960%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-QDW3fb-O-7I/VdlOqfB-PHI/AAAAAAAAUEY/ZQHnhG1j7Ms/s640/DSCF6891%2B%25281280x960%2529.jpg)
10 years ago
Dewji Blog25 Feb
Mtoto wa mwaka mmoja afungiwa ndani kwa miezi sita huku akiteswa na kula magodoro Dar
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kinondoni, Camillus Wambura.
Katika kile kinachoelezwa kitendo cha kikatili, dhidi ya watoto kushamiri, Mtoto wa mwaka mmoja na miezi sita (jina limehifadhiwa ),anadaiwa kuteswa na mama yake mzazi kwa kipindi cha miezi kumi akiwa amefungiwa ndani huku akila magodoro baada ya kubainika na majirani.
Kwa mujibu wa taarifa ya Neema Brian wa mtandao wa http://sautiyamnyonge.com alibainisha kuwa, Mtoto huyo ambaye amelazwa katika hospitali ya Mwananyamala, ambaye...
9 years ago
Habarileo03 Dec
Ujenzi wa Mwenge-Morocco kukamilika miezi 6
UJENZI wa Barabara ya Bagamoyo kipande cha kutoka Mwenge hadi Morocco jijini Dar es Salaam, chenye urefu wa kilometa 4.3, kinatarajia kukamilika ujenzi wake ndani ya miezi sita.
11 years ago
Habarileo31 May
Ufinyu wa bajeti wakwamisha barabara ya Kivukoni -Makutano
SERIKALI kwa sasa haina mpango wa kuijenga kwa kiwango cha lami barabara ya kutoka Kivukoni Kinesi -Makutano Kinesi hadi Kuruya katika barabara kuu ya Mwanza hadi Sirari kutokana na ufinyu wa bajeti ya serikali.
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-E0jCD6ZrPlc/UxR7DQiaVCI/AAAAAAAFQys/y5swYSrOd9s/s72-c/IMG_2763.jpg)
TASWIRA YA BARABARA YA KIVUKONI FRONT JIJINI DAR ES SALAAM LEo
![](http://1.bp.blogspot.com/-E0jCD6ZrPlc/UxR7DQiaVCI/AAAAAAAFQys/y5swYSrOd9s/s1600/IMG_2763.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-FqZ6szqbug4/UxR7DifudlI/AAAAAAAFQyw/UB_O_FRe1QM/s1600/IMG_2764.jpg)
11 years ago
MichuziMATUKIO YA KUKATIKA KWA MAWASILIANO YA BARABARA YA KIVUKONI CHA KILOMBERO
11 years ago
Habarileo10 Apr
Dereva bodaboda jela miezi sita
DEREVA wa Bodaboda, Shaban Hamis (22) amehukumiwa kifungo cha miezi sita jela au kulipa faini ya Sh 100,000 baada ya kusafirisha abiria bila ya kuwa na leseni ya usafirishaji.