Chelsea yakata rufaa
Chelsea wakata rufaa dhidi ya kadi nyekundu aliyopata mlinda mlango Thibaut Courtois katika mchezo uliopigwa dhidi ya Swansea.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili01 Aug
Kenya yakata rufaa ya marufuku ya CAF
9 years ago
Mtanzania22 Dec
Jamhuri yakata rufaa kesi ya Wakili Mwalle
NA JANETH MUSHI, ARUSHA
MAWAKILI wa Jamhuri katika kesi ya utakatishaji fedha haramu inayomkabili Wakili Median Mwalle na wenzake watatu, wamewasilisha kusudio la kukata rufaa Mahakama ya Rufaa ya Tanzania dhidi ya uamuzi wa Jaji Gadi Mjemas wa kukataa kuvipokea baadhi ya vielelezo vya ushahidi kutoka nchini Marekani.
Vielelezo hivyo viliwasilishwa mahakamni hapo na shahidi wa pili wa upande wa Jamhuri, Suleiman Nyakulinga wiki iliyopita.
Uamuzi huo ulitolewa mwishoni mwa wiki na Jaji Mjemas...
9 years ago
Habarileo21 Dec
Serikali yakata rufaa kesi ya wakili Mwale
MAWAKILI wa serikali wamekata rufaa Mahakama ya Rufaa baada ya Jaji wa Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, Gadi Mjemas anayesikiliza kesi ya wakili maarufu Median Mwale na wenzake watatu, kukataa baadhi ya vielelezo vya ushahidi kutoka nchini Marekani ikiwamo hati saba za viapo.
11 years ago
Mwananchi08 Jul
BRAZIL 2014: Brazil yakata rufaa kadi za njano za Thiago Silva
10 years ago
Mtanzania12 Aug
Chelsea waikatia rufaa kadi ya Courtois
LONDON, ENGLAND
KLABU ya Chelsea imekata rufaa dhidi ya kadi nyekundu aliyooneshwa mlinda mlango wao,Thibaut Courtois, katika mchezo uliopigwa Jumamosi dhidi ya Swansea ambao timu hizo zilitoka sare ya 2-2, kwenye Uwanja wa Stamford Bridge.
Mchezo huo ulikuwa wa kwanza kufungua Ligi Kuu England kwa klabu hizo, huku Chelsea wakianza vibaya kwa mlinda mlango wake namba moja kuoneshwa kadi nyekundu na nafasi yake kuchukuliwa naAsmir Begovic.
Mlinda mlango huyo wa kimataifa wa Ubelgiji mwenye...
5 years ago
CHADEMA Blog13 Feb
Mahakama ya Rufaa kutoa uamuzi rufaa ya Jamhuri dhidi ya Mbowe na Matiko
11 years ago
Mwananchi11 Apr
Mvua yakata mawasiliano ya barabara
10 years ago
BBCSwahili12 Jun
Interpol yakata ushirikiano na FIFA
11 years ago
Habarileo11 Feb
Mvua yakata barabara Dar - Arusha
MVUA kubwa zilizonyesha usiku wa kuamkia jana mkoani Kilimanjaro, zimekata mawasiliano ya barabara kuu ya Dar es Salaam-Arusha na kusababisha magari kukwama kwa saa nane Hedaru wilayani hapa.