Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Chelsea waikatia rufaa kadi ya Courtois

544 (1)LONDON, ENGLAND

KLABU ya Chelsea imekata rufaa dhidi ya kadi nyekundu aliyooneshwa mlinda mlango wao,Thibaut Courtois, katika mchezo uliopigwa Jumamosi dhidi ya Swansea ambao timu hizo zilitoka sare ya 2-2, kwenye Uwanja wa Stamford Bridge.

Mchezo huo ulikuwa wa kwanza kufungua Ligi Kuu England kwa klabu hizo, huku Chelsea wakianza vibaya kwa mlinda mlango wake namba moja kuoneshwa kadi nyekundu na nafasi yake kuchukuliwa naAsmir Begovic.

Mlinda mlango huyo wa kimataifa wa Ubelgiji mwenye...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Chelsea yakata rufaa

Chelsea wakata rufaa dhidi ya kadi nyekundu aliyopata mlinda mlango Thibaut Courtois katika mchezo uliopigwa dhidi ya Swansea.

 

11 years ago

BBCSwahili

Refa wa Chelsea vs Arsenal ajutia kadi

Refa wa Chelsea vs Arsenal ajutia kadi nyekundu ,huenda akawekwa kando baada ya kufanya maamuzi kimakosa

 

11 years ago

Mwananchi

BRAZIL 2014: Brazil yakata rufaa kadi za njano za Thiago Silva

>Brazil imekata rufaa juu ya adhabu ya kukosa mchezo mmoja kwa nahodha wake, Thiago Silva mwenye kadi mbili za njano, ambazo zinamaanisha atalazimika kukosa mchezo wa leo dhidi ya Ujerumani.

 

10 years ago

BBCSwahili

Courtois nje ya mtanange wa Man City

Mlinda mlango wa klabu ya Chelsea Thibaut Courtois ataukosa mtanange dhidi ya Man City baada ya rufaa yake dhidi ya kadi nyekundu.

 

10 years ago

TheCitizen

Mourinho bites tongue over Courtois red card

Jose Mourinho delivered a clear sign he was fuming about the decision that cost Chelsea goalkeeper Thibaut Courtois a red card and handed Swansea the chance to secure a 2-2 draw from the penalty spot on Saturday.

 

5 years ago

CHADEMA Blog

Mahakama ya Rufaa kutoa uamuzi rufaa ya Jamhuri dhidi ya Mbowe na Matiko

Mahakama ya Rufani leo imeketi kusikiliza hoja za wakata rufaa (Jamhuri) na wakatiwa rufaa (utetezi) kwenye maombi ya rufaa namba 344  yaliyopo Mahakama Kuu kuhusu kufutiwa dhamana kwa washtakiwa Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe (Mb) na Mbunge wa Tarime Mjini, Ester Matiko. Upande wa Jamhuri umeiomba Mahakama ya Rufaa kuamuru maombi hayo 344 yatupiliwe mbali na Mahakama Kuu kwa sababu

 

9 years ago

MillardAyo

Kocha mpya wa muda wa Chelsea kabidi awaambie ukweli mashabiki wa Chelsea, hii ndio kauli yake …

Kocha wa mpya wa muda wa klabu ya Chelsea  Guus Hiddink ambaye amejiunga kwa mara ya pili kuifundisha klabu hiyo, baada ya miaka sita toka aondoke mwishoni mwa mwaka 2009 kama kocha wa muda wa klabu hiyo,  Guus Hiddink ambaye ndio ameichukua Chelsea mikononi mwa Jose Mourinho ili aiokoe isiporomoke zaidi, ameanza kwa kuwatuliza mashabiki […]

The post Kocha mpya wa muda wa Chelsea kabidi awaambie ukweli mashabiki wa Chelsea, hii ndio kauli yake … appeared first on...

 

9 years ago

MillardAyo

TOP 5 Stori: Madrid wapo tayari Rodriguez ajiunge na Chelsea ila? Baada ya Mahrez kumsumbua Terry Chelsea waamua hivi …

Headlines za soka bado zinachukua nafasi kila kukicha na mimi mtu wangu siachi kukujuza kila linalonifikia, hususani katika kuelekea kipindi hiki cha dirisha dogo la usajili la mwezi January. Mtu wangu wa nguvu naomba nikusogezee TOP 5 stori za soka zilizoandikwa sana barani Ulaya. 5- Chelsea kutangaza dau la kumsajili Stones mwezi Janury Baada ya […]

The post TOP 5 Stori: Madrid wapo tayari Rodriguez ajiunge na Chelsea ila? Baada ya Mahrez kumsumbua Terry Chelsea waamua hivi … appeared...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani