Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Refa wa Chelsea vs Arsenal ajutia kadi

Refa wa Chelsea vs Arsenal ajutia kadi nyekundu ,huenda akawekwa kando baada ya kufanya maamuzi kimakosa

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Chelsea yashtumiwa kwa kumshawishi refa

Mkufunzi wa timu ya Everton Robert Mertinez amewashtumu wachezaji wa Chelsea kwa kujaribu kumshawishi refa

 

10 years ago

Mtanzania

Chelsea waikatia rufaa kadi ya Courtois

544 (1)LONDON, ENGLAND

KLABU ya Chelsea imekata rufaa dhidi ya kadi nyekundu aliyooneshwa mlinda mlango wao,Thibaut Courtois, katika mchezo uliopigwa Jumamosi dhidi ya Swansea ambao timu hizo zilitoka sare ya 2-2, kwenye Uwanja wa Stamford Bridge.

Mchezo huo ulikuwa wa kwanza kufungua Ligi Kuu England kwa klabu hizo, huku Chelsea wakianza vibaya kwa mlinda mlango wake namba moja kuoneshwa kadi nyekundu na nafasi yake kuchukuliwa naAsmir Begovic.

Mlinda mlango huyo wa kimataifa wa Ubelgiji mwenye...

 

11 years ago

BBC

Chelsea 6-0 Arsenal

Eto'o and Salah score as Chelsea enjoy their biggest win against Arsenal on Arsene Wenger's 1000th game in charge of the Gunners.

 

9 years ago

BBCSwahili

Chelsea vs Arsenal

Jose Mourinho amemuonya mwenzake wa Arsenal, Arsene Wenger kuwa timu yake imerejesha makali yake na kuwa mechi ya leo Stamford Bridge itakuwa dhihirisho

 

10 years ago

Mwananchi

Usipime Chelsea, Arsenal

Ni nani atalia, pia nani atacheka? Hili ni swali ambalo linaulizwa leo zinapokutana timu kadhaa za Ligi Kuu England, zikiwamo pinzani za London, Chelsea , Arsenal, Man United na Everton.

 

10 years ago

BBCSwahili

Arsenal kupambana na Chelsea

Ligi kuu ya Uingereza inaanza tena siku ya jumapili wakati ambapo mabingwa wa ligi hiyo Chelsea wanakutana na washindi wa kombe la FA Arsenal katika mechi ya kombe la Charity Shield itakayogaragazwa katika uwanja wa Wembley.

 

10 years ago

BBCSwahili

Arsenal,Mancity na Chelsea uwanjani

Arsenal,Chelsea na Mancity zitajibwaga uwanjani dhidi ya Newcastle,Hull City na Leicester .

 

10 years ago

BBCSwahili

Arsenal kumsajili kipa wa Chelsea

Arsenal wanakaribia kuweka makubaliano ya kumsajili kipa wa Chelsea Petr Cech.

 

10 years ago

GPL

ARSENAL, CHELSEA NGUVU SAWA

Santi Cazorla akipiga mpira uliomgonga mkononi beki wa Chelsea Gary Cahill wakati wa mechi ya leo. Oscar wa Chelsea akikwaana na kipa wa Arsenal David Ospina wakati wa mtanange wa leo. Kiungo wa Chelsea, Cesc Fabregas akizawadiwa kadi ya njano baada ya kujirusha akitafuta penalti. ARSENAL na Chelsea leo zimeshindwa…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani