KURA YA MAONI: Ukawa wavutana Dar
>Kitendo cha Chama cha Wananchi (CUF) kufanya uchaguzi wa Kura za Maoni katika majimbo ya Kawe na Ubungo yanayoshikiliwa na wabunge wa Chadema, kimeibua hisia tofauti miongoni mwa vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa).
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi11 Oct
Vyama vya CCM, CUF wavutana kura ya maoni Zanzibar
Wakati Chama cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar kimesema kitafanya kampeni maalumu kuhakikisha kura ya maoni ya Katiba ya Muungano inashinda Zanzibar, Chama cha Wananchi (CUF) kimesema kinajipanga kufanya kampeni nzito kupinga rasimu hiyo.
10 years ago
VijimamboWATANZANIA WAISHIO DMV USA WALIPOKUTANA KUMSIKILIZA MH. ISMAIL JUSSA, ALIPOELEZEA UCHAKACHULIWAJI WA MAONI YA KATIBA NA KUELEZEA SABABU ZINAZOIFANYA UKAWA KWA NINI HAITOSHIRIKI KATIKA KURA YA MAONI
10 years ago
Mwananchi25 Jan
Ukawa kususia Kura ya Maoni ni matokeo tu
Kufikia leo, itakuwa zimesalia siku 35 kabla Tume ya Taifa ya Uchaguzi kuruhusu asasi za kiraia kutoa elimu ya uraia juu ya Katiba Inayopendekezwa, hii ikiwa ni kwa mujibu wa kifungu cha 5 cha Sheria ya Kura ya Maoni. Ndani ya siku hizi 35 na kwa utaratibu wa kawaida inapasa tuwe tayari na wapigakura wetu ambao taarifa zao zimeboreshwa na wale walitimiza miaka 18 wameandikishwa upya na kila mtu ana kitambulisho chake.
10 years ago
Mwananchi23 Jan
Ukawa kuhamasisha wananchi wasipige kura ya maoni Katiba mpya
Vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) vimetangaza rasmi kutoshiriki katika mchakato wa kura ya maoni ya katiba na kwamba kuanzia sasa vitahamasisha wananchi kuunga mkono.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-fhPygtaQPtk/Vb4bsbbpRKI/AAAAAAAHtTo/oHcxbFJRyxs/s72-c/unnamed%2B%252832%2529.jpg)
News alert: Stephen Wasira aongoza kura za maoni Kura ya Maoni CCM-Bunda Mjini
![](http://4.bp.blogspot.com/-fhPygtaQPtk/Vb4bsbbpRKI/AAAAAAAHtTo/oHcxbFJRyxs/s640/unnamed%2B%252832%2529.jpg)
Stephen Wasira 6, 429Robert Maboto 6, 206Christopher Sanya 1, 140Xavier Rugina 846Simon Odunga 547Magesa Mugeta 446Peres Magiri 385Brian Baraka 263
![](http://1.bp.blogspot.com/-LMP3afylAhU/Vb4bssanzKI/AAAAAAAHtTw/-b5C-BzlmoM/s640/unnamed%2B%252833%2529.jpg)
10 years ago
GPLUKAWA: UCHAGUZI MKUU OKTOBA 2015 LAZIMA, KIKWETE ASIONGEZEWE MUDA, KURA YA MAONI BAADAE
Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba (kushoto)Â akifafanua jambo kwa waandishi wa habari, Mwenyekiti wa NCCR-Mageuzi taifa, James Mbatia (wa pili kutoka kushoto), Mwenyekiti wa Chadema, Mhe Freeman Aikael Mbowe (wa pili kutoka kulia) na Katibu Mkuu wa Chama cha Chadema, Dk Willbroad Slaa (kulia). VYAMA vinavyounda Umoja wa katiba ya Wananchi (UKAWA) leo vimetoa msimamo wao juu ya njama za...
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-apVUKOxd6HA/Vec3APIPqEI/AAAAAAAAHfI/H5O_5A7b8Uw/s72-c/Eyakuze.jpg)
Utafiti wazua taharuki, waibua maswali tata.Kura za maoni: Twaweza yaipa CCM ushindi wa 65%, Ukawa 25%
![](http://1.bp.blogspot.com/-apVUKOxd6HA/Vec3APIPqEI/AAAAAAAAHfI/H5O_5A7b8Uw/s640/Eyakuze.jpg)
Matokeo ya utafiti kuhusu uchaguzi mkuu yaliyompa ushindi wa asilimia 65 mgombea wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli dhidi ya asilimia 25 za Edward Lowassa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) yameibua taharuki kubwa huku baadhi wakiupinga, kuunga mkono na wengine kuibua maswali kadhaa magumu.
Akizungumza mbele ya waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, katika tukio lililorushwa moja kwa moja (live)...
10 years ago
Mwananchi19 May
...Kufanya kura ya maoni Dar kesho
>Makada wa CUF wanaowania tiketi ya kugombea ubunge katika majimbo ya Dar es Salaam, kesho watakuwa na wakati mgumu wa kusubiri mustakabali wao wakati wa Kura ya Maoni, huku wingu zito likiendelea kufunika mchakato wa uachianaji majimbo ndani ya Ukawa.
11 years ago
Mwananchi19 Apr
Polisi, Ukawa wavutana Zanzibar
Jeshi la Polisi limepiga marufuku kufanyika kwa mkutano wa Umoja wa Katiba ya Wananchi(Ukawa) uliotarajiwa kufanyika leo mjini Zanzibar kwa madai ya kiusalama.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania