Ukawa kususia Kura ya Maoni ni matokeo tu
Kufikia leo, itakuwa zimesalia siku 35 kabla Tume ya Taifa ya Uchaguzi kuruhusu asasi za kiraia kutoa elimu ya uraia juu ya Katiba Inayopendekezwa, hii ikiwa ni kwa mujibu wa kifungu cha 5 cha Sheria ya Kura ya Maoni. Ndani ya siku hizi 35 na kwa utaratibu wa kawaida inapasa tuwe tayari na wapigakura wetu ambao taarifa zao zimeboreshwa na wale walitimiza miaka 18 wameandikishwa upya na kila mtu ana kitambulisho chake.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi05 Feb
Mahakama ya kadhi: Waislamu kususia kura ya maoni
11 years ago
Mwananchi15 Dec
Chadema yatishia kususia kura ya maoni Katiba Mpya
9 years ago
Mzalendo Zanzibar12 Oct
WATANZANIA: Tunaiomba UKAWA Kususia Uchaguzi Iwapo NEC na ZEC itashindwa Kuweka Wazi Daftari la Wapiga Kura.
Nategemea habari hizi zitawafika Wahusika wakuu wa Vyama vya Vinavounda UKAWA.. Kama sisi no Wazalendo ambao Tuna kiu ya Mabadiliko ya Uongozi katika Serikali. Mara hii tumejitokeza Vijana wengi kutafuta Vichinjio ya Kuiondoa Serikali ya CCM […]
The post WATANZANIA: Tunaiomba UKAWA Kususia Uchaguzi Iwapo NEC na ZEC itashindwa Kuweka Wazi Daftari la Wapiga Kura. appeared first on Mzalendo.net.
10 years ago
Mwananchi26 Jul
Matokeo ya kura za maoni yaheshimiwe
10 years ago
VijimamboWATANZANIA WAISHIO DMV USA WALIPOKUTANA KUMSIKILIZA MH. ISMAIL JUSSA, ALIPOELEZEA UCHAKACHULIWAJI WA MAONI YA KATIBA NA KUELEZEA SABABU ZINAZOIFANYA UKAWA KWA NINI HAITOSHIRIKI KATIKA KURA YA MAONI
MC katika mkutano huo, Bw.Libe Mwang'ombe, aliyeumudu kuuendesha mkutano kwa utaratibu uliotakiwa na kwa usalama hadi mwisho bila jazba hadi mwisho masuali yaliulizwa kwa vifungu na kujibiwa ipasavyo Dada Salma akiuliza suali kwa wakati wake, masuali mengi yaliulizwa na wadau mbali mbali ambyo yalikuwa ya msingi kwa mustakabali...
10 years ago
Vijimambo10 years ago
Mwananchi22 May
KURA YA MAONI: Ukawa wavutana Dar
10 years ago
Vijimambo11 years ago
Michuzi04 Mar
NEWS ALERT: MATOKEO KURA ZA MAONI CCM JIMBO LA CHALINZE:,RIDHIWANI KIKWETE ASHINDA
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10