Ukawa kuhamasisha wananchi wasipige kura ya maoni Katiba mpya
Vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) vimetangaza rasmi kutoshiriki katika mchakato wa kura ya maoni ya katiba na kwamba kuanzia sasa vitahamasisha wananchi kuunga mkono.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi01 Mar
‘Ni kosa kushawishi watu wasipige Kura ya Maoni’
>“Siyo vizuri kukataza watu kushiriki shughuli halali kisheria. Aidha, siyo vizuri kuanza kujenga tabia ya kushinikiza mamlaka halali kufanya uamuzi ili kukidhi matakwa ya vikundi vichache vya watu wanaotoa shinikizo hayo.â€
10 years ago
VijimamboWATANZANIA WAISHIO DMV USA WALIPOKUTANA KUMSIKILIZA MH. ISMAIL JUSSA, ALIPOELEZEA UCHAKACHULIWAJI WA MAONI YA KATIBA NA KUELEZEA SABABU ZINAZOIFANYA UKAWA KWA NINI HAITOSHIRIKI KATIKA KURA YA MAONI
10 years ago
Mwananchi10 Nov
‘Kura ya maoni mwanzo wa kudai Katiba Mpya’
>Wakati Serikali ikihaha kuhakikisha inaandika historia mpya kwa kupitisha Katiba Inayopendekezwa Aprili 30, mwakani, Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), Dk Hellen Kijo – Bisimba amesema siku hiyo itakuwa mwanzo wa Watanzania kudai Katiba Mpya.
10 years ago
Mwananchi02 Sep
Dawa ya Katiba Mpya kura ya maoni-Membe
Kama ilivyo kwa makada wengine wa CCM, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe anaona kuwa iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba ilifanya kosa moja; iliamua kuwateulia Watanzania idadi ya serikali za Muungano.
10 years ago
Vijimambo11 Mar
Giza totoro kura ya maoni katiba mpya.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Lubuva-10March2015.jpg)
Baadhi ya wanazuoni, viongozi wa dini, wanasiasa na wanaharakati wamesema hakuna muujiza wowote unaoweza kufanyika hivi sasa kufanikisha kura ya maoni Aprili 30, mwaka huu.
Wamesema kulazimisha kura ya maoni kama ilivyotangazwa ni sawa na ‘kuchochea fujo’, jambo linaloweza kuepukika.
Wakizungumza na NIPASHE kwa nyakati tofauti jana, walisema nchi imegawanyika vipande vipande, huku wengine wakipinga mchakato wote, hivyo kulazimisha kura ni kuendelea kuligawa...
11 years ago
Mwananchi15 Dec
Chadema yatishia kususia kura ya maoni Katiba Mpya
Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimesema hakitakubali kura ya maoni za Katiba Mpya kufanyika bila daftari la wapiga kura kuboreshwa.
10 years ago
Mwananchi12 Apr
MCHAKATO WA KATIBA MPYA: Miezi mitano ya sintofahamu kuhusu BVR, Kura ya Maoni
>Ilichukua miezi mitano kumaliza mvutano wa kimahesabu na maneno baina ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (Nec), Serikali na wadau wa demokrasia kuhusu muda wa maandalizi na upigiaji Kura ya Maoni ya Katiba Inayopendekezwa.
10 years ago
Mwananchi02 Apr
KATIBA MPYA: Hakuna kura ya maoni Aprili 30, uboreshaji daftari kukamilika Julai
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (Nec) imekubali kuahirisha upigiaji Kura ya Maoni ya Katiba Inayopendekezwa iliyopangwa kufanyika Aprili 30, mwaka huu kutokana na kutokamilika kwa uandikishaji wa Daftrai la kudumu la wapiga kura kwa kutumia teknolojia ya Biometric Voters Registration (BVR).
11 years ago
Mwananchi16 Apr
Maoni ya wananchi yakipuuzwa, wataikataa kwa kura ya maoni
>Mjumbe wa Bunge la Katiba, Profesa Anna Tibaijuka ametahadharisha kuwa wananchi wanaweza kuikataa Katiba kwenye kura ya maoni kama maoni yao yatawekwa kando.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania