Jenerali Mwamunyange awafunda wakufunzi
Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama wa Tanzania (JWTZ), Jenerali Devis Mwamunyange amesema katika kuendeleza juhudi za Serikali juu ya kuboresha mafunzo ya JKT nchini, wakufunzi wa mafunzo hayo wanapaswa kufuata maadili ya taaluma yao katika utekelezaji wa majukumu waliyokabidhiwa na jeshi hilo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo21 Oct
Jenerali Mwamunyange sasa aibukia Ngerengere.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Mamu-21Oct2015.png)
Akizungumza wakati wa hafla hiyo, Rais Kikwete alisema kuwa katika miaka 10 ya uongozi wake, amefanya mambo mengi kwa Watanzania pamoja na kuliacha Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) likiwa katika hali nzuri ya kiutendaji.
Alisema hakuna nchi inayoweza kupata maendeleo...
9 years ago
Habarileo27 Sep
‘Waliomzushia Jenerali Davis Mwamunyange waombe radhi’
WIZARA ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, imewataka watu waliosambaza uvumi katika mitandao ya kijamii kuwa Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi nchini, Jenerali Davis Mwamunyange, kuwa amelazwa nje ya nchi kwa ugonjwa, kuomba radhi mapema la sivyo watachukuliwa hatua.
9 years ago
Mtanzania04 Nov
Mahakama yakusudia kumpa dhamana aliyemzushia Jenerali Mwamunyange
NA KULWA MZEE, DAR ES SALAAM
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, inaangalia mwelekeo wa kumpa dhamana mwanafunzi wa Chuo cha Teknolojia cha Dar es Salaam (DIT), Benedict Ngonyani, anayetuhumiwa kusambaza taarifa za uzushi kuwa Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama, Jenerali Davis Mwamunyange, amelishwa sumu.
Hayo yalidaiwa jana mahakamani hapo, wakati kesi hiyo ilipokuwa ikitajwa na upande wa Jamhuri na kudai kuwa upelelezi haujakamilika.
Hakimu Mkazi Respicius Mwijage, aliahirisha kesi hiyo...
10 years ago
VijimamboMAMLAKA ZA MISHENI ZA ULINZI WA AMANI ZIWE WAZI-JENERALI MWAMUNYANGE
9 years ago
Mwananchi01 Jan
Brigedia Jenerali Njau awafunda wahitimu JKT
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-D9nkOYmUZWc/U-Gv2ZjaItI/AAAAAAAF9do/tzioY02699Q/s72-c/20140805_115440.jpg)
mkuu wa majeshi jenerali Davis Mwamunyange na ujumbe wake wakiwa Dubai
![](http://2.bp.blogspot.com/-D9nkOYmUZWc/U-Gv2ZjaItI/AAAAAAAF9do/tzioY02699Q/s1600/20140805_115440.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-dh5eteQFvek/U-Gv2R3OlJI/AAAAAAAF9dk/6UjmIng_TJM/s1600/20140805_115447.jpg)
9 years ago
Mtanzania15 Oct
Kaka wa Jenerali Mwamunyange naye akanusha mdogo wake kulishwa sumu
Na Victoria Patrick, Dar es Salaam
KAMISHINA Msadizi na Mwandamizi mstaafu wa Jeshi la Polisi, Aden Mwamunyange ambaye ni kaka wa Mkuu wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), Jenerali Davis Mwamunyange, naye amekanusha taarifa zilizoenezwa hivi karibuni katika mitandao ya jamii kuwa amelishwa simu.
Akizungumza na waandishi wa habari nyumbani kwake Jeti Lumo, Dar es Salaam jana, alisema hizo taarifa hizo si za kweli na ni uzushi.
“Mimi kama mwana familia nakanusha taarifa hizo...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-VxWu5MJs4MI/VRY05nLKl8I/AAAAAAAHNvU/eFQb7AJQr2c/s72-c/unnamed%2B(48).jpg)
MAMLAKA ZINAZOHUSU OPERESHENI ZA ULINZI WA AMANI ZIWE WAZI- JENERALI MWAMUNYANGE
10 years ago
MichuziMKUU WA MAJESHI TANZANIA JENERALI DAVIS MWAMUNYANGE AFUNGUA KIWANJA KIPYA CHA MICHEZO