MAMLAKA ZA MISHENI ZA ULINZI WA AMANI ZIWE WAZI-JENERALI MWAMUNYANGE
Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Jenerali Davis Mwamunyange akiwa katika ukumbi wa Baraza la Uchumi la Umoja wa Mataifa maarufu kama ECOSOC ambapo ndipo ulipofanyika mkutano wa kihistoria wa Wakuu wa Majeshi ya Ulinzi na Maafisa wa ngazi za juu kutoka nchi zinazochangia katika Operesheni za Ulinzi wa Amani chini ya Umoja wa Mataifa. Akichangia majadiliano ya mkutano huo. Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi amelishauri Baraza Kuu la Usalama na UN kuweka bayana na kwa uwazi mamlaka ya misheni ...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-VxWu5MJs4MI/VRY05nLKl8I/AAAAAAAHNvU/eFQb7AJQr2c/s72-c/unnamed%2B(48).jpg)
MAMLAKA ZINAZOHUSU OPERESHENI ZA ULINZI WA AMANI ZIWE WAZI- JENERALI MWAMUNYANGE
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-xlzOX9ktduc/VS9nE2-E7-I/AAAAAAAHReM/PHVYkfnLJBY/s72-c/unnamed%2B(49).jpg)
MISHENI MAALUM ZA KISIASA ZIWE WAZI NA JUMUISHI-BALOZI MANONGI
![](http://1.bp.blogspot.com/-xlzOX9ktduc/VS9nE2-E7-I/AAAAAAAHReM/PHVYkfnLJBY/s1600/unnamed%2B(49).jpg)
Jana ( Jumatano ) Baadhi ya wajumbe wa Tume hiyo akiwamo Bw. Pascoe walikutana katika...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-DEvsXZ_pIOY/U7Jkx7zeooI/AAAAAAAFt4I/Tal98B4vqew/s72-c/unnamed+(22).jpg)
Mkuu wa Majeshi ya ulinzi Jenerali Davis Mwamunyange katika sherehe za miaka 10 ya chuo cha JKT mapinga
![](http://1.bp.blogspot.com/-DEvsXZ_pIOY/U7Jkx7zeooI/AAAAAAAFt4I/Tal98B4vqew/s1600/unnamed+(22).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-OZEsYqejBEk/U7JkyCW-VQI/AAAAAAAFt4U/G2e18OYbw3I/s1600/unnamed+(23).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-IpZmrjUsHEY/VC2PXu4S-hI/AAAAAAAGnWk/aijyoZgP5TQ/s72-c/image.jpeg)
KAMISHNA JENERALI WA MAGEREZA NCHINI AFUNGA RASMI MAFUNZO YA ULINZI WA AMANI KWA MAAFISA MAGEREZA TOKA NCHI ZA SADC, MKOANI KILIMANJARO
![](http://4.bp.blogspot.com/-IpZmrjUsHEY/VC2PXu4S-hI/AAAAAAAGnWk/aijyoZgP5TQ/s1600/image.jpeg)
10 years ago
Mwananchi14 Sep
Jenerali Mwamunyange awafunda wakufunzi
11 years ago
Tanzania Daima09 Mar
Ukivaa blauzi ya wazi, kwapa zako ziwe safi
KATIKA maisha yetu ya kila siku hapa duniani kuna vitu vingi vinavyotuzunguka, ingawaje si vitu vyote ni vya muhimu kwa kila mtu, lakini kuna vitu kama vile chakula, malazi na...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-Irym2LSo0jY/VC15aJkNk3I/AAAAAAADGkk/QTnF4EXo3RY/s72-c/image.jpeg)
KAMISHNA JENERALI WA MAGEREZA NCHINI TANZANIA AFUNGA RASMI MAFUNZO YA ULINZI WA AMANI KWA MAAFISA MAGEREZA TOKA NCHI ZA SADC, MKOANI KILIMANJARO
![](http://4.bp.blogspot.com/-Irym2LSo0jY/VC15aJkNk3I/AAAAAAADGkk/QTnF4EXo3RY/s1600/image.jpeg)
9 years ago
Vijimambo21 Oct
Jenerali Mwamunyange sasa aibukia Ngerengere.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Mamu-21Oct2015.png)
Akizungumza wakati wa hafla hiyo, Rais Kikwete alisema kuwa katika miaka 10 ya uongozi wake, amefanya mambo mengi kwa Watanzania pamoja na kuliacha Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) likiwa katika hali nzuri ya kiutendaji.
Alisema hakuna nchi inayoweza kupata maendeleo...
9 years ago
Habarileo27 Sep
‘Waliomzushia Jenerali Davis Mwamunyange waombe radhi’
WIZARA ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, imewataka watu waliosambaza uvumi katika mitandao ya kijamii kuwa Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi nchini, Jenerali Davis Mwamunyange, kuwa amelazwa nje ya nchi kwa ugonjwa, kuomba radhi mapema la sivyo watachukuliwa hatua.