Brigedia Jenerali Njau awafunda wahitimu JKT
Mkuu wa Mafunzo na Operesheni wa Makao Makuu ya Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), Kamandi ya Nchi Kavu, Brigedia Jenerali Francis Njau amesema lengo la Serikali kutoa mafunzo ya kujitolea kwa vijana nchini ni kutaka kuwawezesha kujiajiri.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi14 Sep
Jenerali Mwamunyange awafunda wakufunzi
10 years ago
Habarileo07 Oct
Brigedia Jenerali Mtezo kuzikwa leo
BRIGEDIA Jenerali mstaafu, Hashimu Said Mtezo (69) wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) ambaye alifariki mwishoni mwa wiki, anatarajiwa kuzikwa leo Mbezi Louis jijini Dar es Salaam.
10 years ago
GPLHATIMAYE BRIGEDIA JENERALI MBITA AZIKWA
10 years ago
Mtanzania27 Apr
Brigedia Jenerali Mbita afariki dunia
Jonas Mushi na Patricia Kimelemeta, Dar es Salaam
MMOJA wa Watanzania waliofanikisha ukombozi wa nchi za Kusini mwa Afrika,Brigedia Jenerali Hashim Mbita (82), alifariki dunia jana katika Hospitali Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) Lugalo ambako alikuwa amelazwa kwa muda mrefu.
Akizungumza na MTANZANIA nyumbani kwa marehemu Chang’ombe Madukani Dar es Salaam jana, mtoto wa marehemu Iddi Mbita alisema baba yake alifariki dunia saa 3:30 asubuhi baada ya kusumbuliwa kwa muda mrefu...
10 years ago
Mtanzania29 Apr
Brigedia Jenerali Mbita kuzikwa leo
Adam Mkwepu na Easther Mnyika, Dar es Salaam
ALIYEKUWA Katibu Mtendaji wa Kamati ya Ukombozi ya uliokuwa Umoja wa Nchi Huru za Afrika (OAU), Brigedia Jenerali mstaafu Hashim Mbita (82), anatarajiwa kuzikwa leo jijini Dar es Salaam.
Mbita aliyefariki dunia Mei 26, mwaka huu katika Hospitali ya Jeshi Lugalo, anatarajiwa kuzikwa leo alasiri katika makaburi ya Kisutu.
Kifo cha mpigania uhuru huyo wa nchi za Afrika kimewagusa viongozi mbalimbali wa vyama na Serikali ambapo Katibu Mkuu wa Chama...
10 years ago
Mtanzania30 Apr
Nchi 16 wamzika Brigedia Jenerali Mbita
Na Patricia Kimelemeta, Dar es Salaam
VIONGOZI wa nchi mbalimbali za Afrika jana walijitokeza kuaga mwili wa aliyekua katibu mtendaji wa kamati ya ukombozi kusini Afrika, Brigedia Jenerali Hashim Mbita katika Hosipitali ya jeshi ya Lugalo, Dar es salaam.
Mbali na nchi hizo, Rais Jakaya Kikwete aliongoza kuaga mwili wa marehemu Mbita akifuatana na Rais mstaafu, Benjamin Mkapa na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda pamoja na viongozi waandamizi wa jeshi na vyama vya siasa.
Mwili wa Mbita uliagwa jana...
10 years ago
Tanzania Daima13 Oct
Wasira awafunda wahitimu St. Anne Marie
WANAFUNZI waliohitimu kidato cha nne nchini, wameaswa kutobweteka na kujiona kuwa wamemaliza shule badala yake waelewa kuwa safari ya elimu haina mwisho. Hayo yalisemwa jana na Waziri wa nchi, ofisi...
10 years ago
Mwananchi30 Apr
JK aongoza mamia kumzika Brigedia Jenerali Mbita
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-fJc-5eycxEc/VDKO1pXLrDI/AAAAAAAGoSw/32HI-5tuI9M/s72-c/unnamed%2B(13).jpg)
BRIGEDIA JENERALI MSAAFU HASHIMU SAID MTEZO AFARIKI DUNIA
![](http://3.bp.blogspot.com/-fJc-5eycxEc/VDKO1pXLrDI/AAAAAAAGoSw/32HI-5tuI9M/s1600/unnamed%2B(13).jpg)