Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wasira awafunda wahitimu St. Anne Marie

WANAFUNZI waliohitimu kidato cha nne nchini, wameaswa kutobweteka na kujiona kuwa wamemaliza shule badala yake waelewa kuwa safari ya elimu haina mwisho. Hayo yalisemwa jana na Waziri wa nchi, ofisi...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mtanzania

Anne-Marie Lewis — Si kazi ngumu mwanamke kuwa rubani

Anne-Marie LewisNa Mwandishi Wetu, Dar es Salaam

LICHA ya kwamba uwepo wa wanawake katika sekta ya usafiri wa anga kuwa mdogo, uwezo wa kuwa viongozi katika usafiri wa anga hauna mwiko. Akizungumza na gazeti hili, rubani mwanamke wa kwanza kuongoza ndege aina ya Airbus A380 inayomilikiwa na kampuni ya Fastjet Tanzania, rubani Anne-Marie Lewis anasema wanawake barani Afrika hawapaswi kuogopa kuwa sehemu ya sekta hii inayokua barani kote.

Anasema si kazi ngumu mwanamke kuwa rubani na kwamba yeye anajiamini na...

 

11 years ago

Michuzi

Wazazi Shule ya Sekondari St. Anne Marie waomba watoto wao waruhiswe kufanya mtihani wa Mock kidato cha Sita

Kiongozi wa wazazi na walezi wa wanafunzi wa kidato cha sita waliosimamishwa masomo katika shule ya St. Anne Marie Adel Alex (katikati) akielezea kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) juu ya mgogoro huo unaoendelea, kushoto ni Patricia Richard ambaye ni mlezi na kulia ni Dunstan Masingisa ambaye ni mzazi. Baadhi ya wanafunzi wa kidato cha sita waliosimamishwa masomo katika shule ya St. Anne Marie kufuatia vurugu zilizosababishwa na mwanafunzi mwenzao kupigwa shoka na mlinzi wa...

 

9 years ago

Mwananchi

Brigedia Jenerali Njau awafunda wahitimu JKT

Mkuu wa Mafunzo na Operesheni wa Makao Makuu ya Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), Kamandi ya Nchi Kavu, Brigedia Jenerali Francis Njau amesema lengo la Serikali kutoa mafunzo ya kujitolea kwa vijana nchini ni kutaka kuwawezesha kujiajiri.

 

10 years ago

Vijimambo

MARIE STOPES YAJIVUNIA UHUSIWANO WAKE NA SERIKALI

Balozi wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa, Tuvako Manongi akiwa na Mwakilishi Mkazi wa MARIE STOPES TANZANIA Bi. Ulla E. Muller aliyefika Uwakilishi wa Kudumu na kisha kuwa na mazungumzo na Balozi. Bi. Muller pamoja na kuelezea shughuli za Shirika lake amesema anajivunia na kuridhishwa na ushirikiano uliopo baina ya Serikali na Shirika lake, ushirikiano ambao anasema amekuwa akiuelezea kila alipokutana na wafadhili wanaosaidia miradi mbalimbali nchini Tanzania. Na  ...

 

11 years ago

Daily News

Marie Stopes commits to promote beauty pageant


Marie Stopes commits to promote beauty pageant
Daily News
MARIE Stopes Tanzania has expressed its commitment in partnering with the Miss Chang'ombe competition because they believe in young women ability to achieve great things, both for themselves and for Tanzania. Speaking on behalf of Marie Stopes ...

 

10 years ago

Michuzi

MARIE STOPES TANZANIA YAJIVUNIA USHIRIKIANO WAKE NA SERIKALI

 Na Mwandishi Maalum, New York  Ushirikiano na uhusiano mzuri baina ya Serikali na Shirika lisilo la Kiserikali la Marie Stopes umeliwezesha shirika hilo kuwafikishia wananchi wengi zaidi huduma mbalimbali za afya zikiwamo za uzazi wa mpango Hayo yameelezwa  na Mwakilishi Mkazi wa Marie Stopes nchini Tanzania, Bi. Ulla E. Muller wakati alipomtembelea na kufanya mazungumzo na Balozi Tuvako Manongi, Mwakilishi wa Kudumu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Umoja wa...

 

10 years ago

TheCitizen

LAKE ZONE: Marie Stopes opens new health facility

>Marie Stopes Tanzania (MST), the country’s largest specialist provider of reproductive health services, has launched a new health facility at Nyegezi in Nyamagana District, Mwanza Region, which will expand health services including family planning, youth friendly services as well as cervical cancer screening and treatment.

 

10 years ago

Michuzi

Lady Jaydee aungana na Marie Stopes Tanzania kwenye kampeni ya uzazi wa mpango

Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Marie Stopes Tanzania (MST), Uller Muller (kulia) akikabidhi kisanduku chenye vifaa vinavyohusika na masuala ya uzazi wa mpango kwa Balozi mpya wa Marie Stopes ambaye pia ni msanii mkongwe wa muziki wa kizazi kipya, Judith Wambura 'Lady jaydee' katika hafla ya utiaji sahihi makubaliano hayo katika ofisi za MST, jijiji Dar es Salaam jana.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani