BRIGEDIA JENERALI MSAAFU HASHIMU SAID MTEZO AFARIKI DUNIA
![](http://3.bp.blogspot.com/-fJc-5eycxEc/VDKO1pXLrDI/AAAAAAAGoSw/32HI-5tuI9M/s72-c/unnamed%2B(13).jpg)
Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (TWTZ) linasikitika kutangaza kifo cha Brigedia Jenerali (mstaafu) Hashimu Said Mtezo kilichotokea tarehe 04 Oct 14 kwa ugonjwa katika Hospitali Kuu ya Jeshi Lugalo Dar es Salaam alipokuwa akipata matibabu.
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo07 Oct
Brigedia Jenerali Mtezo kuzikwa leo
BRIGEDIA Jenerali mstaafu, Hashimu Said Mtezo (69) wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) ambaye alifariki mwishoni mwa wiki, anatarajiwa kuzikwa leo Mbezi Louis jijini Dar es Salaam.
10 years ago
Mtanzania27 Apr
Brigedia Jenerali Mbita afariki dunia
Jonas Mushi na Patricia Kimelemeta, Dar es Salaam
MMOJA wa Watanzania waliofanikisha ukombozi wa nchi za Kusini mwa Afrika,Brigedia Jenerali Hashim Mbita (82), alifariki dunia jana katika Hospitali Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) Lugalo ambako alikuwa amelazwa kwa muda mrefu.
Akizungumza na MTANZANIA nyumbani kwa marehemu Chang’ombe Madukani Dar es Salaam jana, mtoto wa marehemu Iddi Mbita alisema baba yake alifariki dunia saa 3:30 asubuhi baada ya kusumbuliwa kwa muda mrefu...
5 years ago
Bongo514 Feb
Tanzia: Brigedia Jenerali (mstaafu) Albert Costantino Frisch afariki dunia
Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) linasikitika kutangaza kifo cha Brigedia Jenerali Albert Costantino Frisch (mstaafu) kilichotokea tarehe 13 Aprili 2017.
Marehemu Brigedia Jenerali Albert Costantino Frisch (mstaafu) alizaliwa tarehe 13 Novemba 1944, mtaa wa Uhuru, Tarafa ya Kariakoo, Wilaya ya Ilala, Mkoa wa Dar es Salaam. Alisoma na kuhitimu Shule ya Msingi mkoani Dar es Salaam na baadaye kuendelea na masomo ya Sekondari katika Shule ya Sekondari St. Joseph Convert School,...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-WHzRVzpI8pk/VTyW2ArZOWI/AAAAAAAHTWQ/RZPryQB9J0E/s72-c/I0000mvLrZtLR6TE.jpg)
JUST IN: gwiji la ukombozi wa afrika kusini brigedia jenerali hashim mbita afariki dunia leo dar es salam
![](http://2.bp.blogspot.com/-WHzRVzpI8pk/VTyW2ArZOWI/AAAAAAAHTWQ/RZPryQB9J0E/s1600/I0000mvLrZtLR6TE.jpg)
Habari zilizotujia hivi punde zinasema Brigedia Jeneral Mstaafu Hashim Mbita aliyekuwa Katibu Mtendaji wa Kamati ya Ukombozi ya uliokuwa Umoja wa Nchi Huru za Afrika (OAU), amefariki dunia asubuhi hii katika hospitali kuu ya jeshi ya Lugalo jijini Dar es salaam.
Mzee Mbita atakumbukwa Tanzania, bara zima la Afrika na dunia kwa jumla kama kamanda mahiri aliyeshiriki kikamilifu katika uondoshaji wa utawala wa ukoloni barani Afrika, hususan utawala kidhalimu wa makaburu Zimbabwe na Afrika...
10 years ago
Dewji Blog26 Apr
Tanzania yampoteza mtu muhimu, ni Brigedia Jenerali Mstaafu Hashim Mbita aliyefariki dunia mapema leo
Marehemu Brigedia Jenerali Mstaafu Hashim Mbita
Taifa likiwa katika maadhimisho ya miaka 51 ya Muungano wa Tanzania Bar na Zanzibar, mapema leo limepata pigo baada ya kuondokewa na mtu muhimu na aliyewahi kuwa Katibu Mtendaji wa Kamati ya Ukombozi ya uliokuwa Umoja wa Nchi Huru za Afrika (OAU), Brigedia Jenerali Mstaafu Hashim Mbita aliyefariki katika dunia majira ya asubuhi katika hospitali kuu ya Jeshi, Lugalo, jijini Dar es salaam.
Kwa mujibu wa duru za habari kutoka familia ya...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-p-FRcrKLR3Q/VFIqxKNpclI/AAAAAAAGuK4/jG806XJJg7s/s72-c/unnamed%2B(25).jpg)
news alert: Meja Jenerali Aidan Isidore Mfuse afariki dunia
![](http://1.bp.blogspot.com/-p-FRcrKLR3Q/VFIqxKNpclI/AAAAAAAGuK4/jG806XJJg7s/s1600/unnamed%2B(25).jpg)
10 years ago
Mtanzania30 Apr
Nchi 16 wamzika Brigedia Jenerali Mbita
Na Patricia Kimelemeta, Dar es Salaam
VIONGOZI wa nchi mbalimbali za Afrika jana walijitokeza kuaga mwili wa aliyekua katibu mtendaji wa kamati ya ukombozi kusini Afrika, Brigedia Jenerali Hashim Mbita katika Hosipitali ya jeshi ya Lugalo, Dar es salaam.
Mbali na nchi hizo, Rais Jakaya Kikwete aliongoza kuaga mwili wa marehemu Mbita akifuatana na Rais mstaafu, Benjamin Mkapa na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda pamoja na viongozi waandamizi wa jeshi na vyama vya siasa.
Mwili wa Mbita uliagwa jana...
10 years ago
Mtanzania29 Apr
Brigedia Jenerali Mbita kuzikwa leo
Adam Mkwepu na Easther Mnyika, Dar es Salaam
ALIYEKUWA Katibu Mtendaji wa Kamati ya Ukombozi ya uliokuwa Umoja wa Nchi Huru za Afrika (OAU), Brigedia Jenerali mstaafu Hashim Mbita (82), anatarajiwa kuzikwa leo jijini Dar es Salaam.
Mbita aliyefariki dunia Mei 26, mwaka huu katika Hospitali ya Jeshi Lugalo, anatarajiwa kuzikwa leo alasiri katika makaburi ya Kisutu.
Kifo cha mpigania uhuru huyo wa nchi za Afrika kimewagusa viongozi mbalimbali wa vyama na Serikali ambapo Katibu Mkuu wa Chama...
10 years ago
GPLHATIMAYE BRIGEDIA JENERALI MBITA AZIKWA