Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Arusha wazika ndoa ya Ukawa

Viongozi wakuu wa Ukawa. Kutoka kulia ni, Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), Maalimu Seif Sharifu Hamad , Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, Mwenyekiti wa CUF, Ibrahim Lipumba na Mwenyekiti wa Chama cha NCCR-Mageuzi, James Mbatia.VYAMA vinne vya upinzani vilivyoungana na kuunda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) vimeshindwa kuachiana nafasi za uongozi mkoani Arusha, katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaotarajiwa kufanyika Desemba 14.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

UKAWA watadumu katika ‘ndoa’ yao?

MENGI yamesemwa kuhusu muungano wa vyama vya CHADEMA (CDM), CUF, NCCR-Mageuzi na NLD vinavyounda Umoja wa kutetea Katiba ya Wananchi (UKAWA). Kama mara mbili hivi huko nyuma niliandika makala za...

 

10 years ago

Habarileo

CCM yatabiri ndoa ya Ukawa itavunjika

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimesema kuwa ndoa ya vyama vya upinzani vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) si tishio, kwani hizo ni porojo tu na haitaweza kudumu.

 

10 years ago

Habarileo

Wabunge EAC wazika mgogoro

Spika Daniel Kidega BUNGE la Afrika Mashariki (EALA) limetangaza rasmi kumalizika kwa mgogoro uliodumu kwa mwaka mzima na kuahidi kuwatumikia wananchi wa Jumuiya hiyo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wakristu wazika waumini waliouawa Pakistan

Pakistan wamekusanyika kwa maziko ya waathiriwa wa mauaji ya siku ya jumapili yanayoaminiwa kufanywa na wanamgambo wa Taliban

 

10 years ago

Habarileo

Jiji, wafanyabiashara Mwanza wazika tofauti

Hassan HidaUONGOZI wa Halmashauri ya Jiji la Mwanza umesema kuwa umeumaliza mgomo wa takribani siku tatu ambao umekuwa ukifanywa na wafanyabiashara wa kati jijini hapa.

 

10 years ago

GPL

BODABODA AFA KWA KUCHINJWA, NDUGU WAZIKA MGOMBA

Na Haruni Sanchawa
TUKIO la aina yake! Dereva wa bodaboda aliyejulikana kwa jina la Alex Wilson amekutwa ameuawa kwa kuchinjwa na kuporwa pikipiki lakini cha ajabu, siku ya mazishi yake kaburini kukazikwa mgomba baada ya mwili kuzuiwa usizikwe, Uwazi limechimba kisa kamili. Marehemu Alex Wilson enzi za uhai wake. Ilikuwa Aprili 8, mwaka huu katika maeneo ya Mbezi Beach karibu na Kiwanda cha Rafia, Alex ambaye ni mwenyeji wa...

 

9 years ago

Mtanzania

Dk. Magufuli arusha kombora Ukawa

g6NA BAKARI KIMWANGA, GEITA

MGOMBEA urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli, amesema mabadiliko ya kweli hayawezi kuletwa kwa kuzungusha mikono, bali yatakuja kwa kufanya kazi.

Kutokana na hali hiyo, amesema yeye ndiye anayeweza kuleta mabadiliko ya kweli yanayokwenda na vitendo katika kujenga uchumi wa nchi na watu wake.

Dk. Magufuli alitoa kauli hiyo jana kwa nyakati tofauti, alipokuwa akizungumza wakati wa  mikutano ya kampeni iliyofanyika katika majimbo ya Buchosa, Geita na...

 

9 years ago

Mtanzania

Ukawa waitikisa CCM Arusha Mjini

Godbless-Lema-Arusha*Matokeo ya awali, Lema aelekea kushinda ubunge

*CCM, CUF waumana Handeni Mjini, Wachachewajitokeza

NA WAANDISHI WETU, ARUSHA/TANGA

MGOMBEA ubunge wa Jimbo la Arusha Mjini kupitia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Godbless Lema, anaelekea kurejea tena bungeni  huku akimwacha kwa mbali mpinzani wake, Philemon Mollel wa Chama Cha Mapinduzi (CCM).

Katika matokeo ya awali ambayo yalibandikwa vituoni katika baadhi ya kata za Arusha, yanaonesha  Lema anaongoza takribani katika vituo...

 

10 years ago

Habarileo

Wanafunzi ‘wapigwa’ mkutano Ukawa Arusha

Mwanasheria wa Chadema, Tundu LissuKATIKA hali isiyokuwa ya kawaida, wanafunzi wa shule za msingi za Mwangaza na Ngarenaro, juzi walidaiwa kupata kipigo kutoka kwa vijana waliojiita ‘Makamanda’ wa umoja wa vyama vya siasa vya upinzani ujulikanao kama Ukawa, baada ya baadhi yao kufika katika mkutano huo uliofanyika viwanja vya karibu na shule yao.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani