UKAWA watadumu katika ‘ndoa’ yao?
MENGI yamesemwa kuhusu muungano wa vyama vya CHADEMA (CDM), CUF, NCCR-Mageuzi na NLD vinavyounda Umoja wa kutetea Katiba ya Wananchi (UKAWA). Kama mara mbili hivi huko nyuma niliandika makala za...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-JjlrjOWX1qc/Vl7Knas61FI/AAAAAAADDIg/vlG__SBzO3M/s72-c/OTH_3308.jpg)
BALOZI SEFUE AWAAGIZA WATUMISHI WA UMMA KUVAA BEJI ZENYE MAJINA YAO WAWAPO KATIKA MAENEO YAO YA KAZI
![](http://2.bp.blogspot.com/-JjlrjOWX1qc/Vl7Knas61FI/AAAAAAADDIg/vlG__SBzO3M/s640/OTH_3308.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-D0qj5GQeaI4/Vl7KmA7BGHI/AAAAAAADDIY/e9jKFKxGbiM/s640/OTH_3304.jpg)
Katibu Mkuu Kiongozi Mhe. Balozi Ombeni Sefue akiwaonyesha waandishi wa Habari (hawapo pichani) beji yenye jina lake ambayo amewaagiza watumishi wa Umma kuivaa wanapokuwa katika maeneo yao ya kazi. Balozi Sefue alifanya mkutano na waandishi wa habari Ikulu jijini Dar es Salaam jana na kutoa taarifa ya Serikali kuhusu kesi ya Serious Fraud Office (SFO) dhidi ya Standard Bank.
9 years ago
Mwananchi18 Oct
KONA YA MAKENGEZA : Videmo watadumu?
Haya jamani, nadhani huyu mtafiti si wa kupuuzwa.
Nimegundua kwamba demokrasia au tuseme kidemo ni kama kifaru. Ni mnyama mkubwa, mwenye nguvu, ni mnyama anayependeza hadi kila mtu anataka kuona kidemo angalau mara moja katika maisha yake.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/GNPHxMPWE-2Ee36RpsHvSSZD-cx8t*yT9fvbXA*HjV9N8NwCvJbBP7GM9RO-41*zIu5Sy8sT2-PIuHpg2W6O-MyKft5bij3H/article26406111E3EFF1100000578490_964x728.jpg?width=650)
MUONEKANO WA KIM, KANYE WEST SIKU YA NDOA YAO
Kim Kardashian na Kanye West wapigana busu baada ya kufunga ndoa Jumamosi iliyopita, Forte di Belvedere Florence, Italia. ...Mke na mume ambao ni Kim Kardashian na Kanye West wakiwa wameshikana mikono baada ya kufunga ndoa.…
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/m9h2OjxKkWeYec4l7x4SY2P2Vw2JI7hr4zZWPO-oEEnIyoCedT3ZjeweJ3dC6FeGHAskDLZdWjZNNwytmWm3DEunq0eIpKqH/gardner.jpg)
GARDNER ATAKA JIDE AELEZE UKWELI JUU YA NDOA YAO
Stori: Mayasa Mariwata
Habari ya mjini katika ulimwengu wa mastaa Bongo ni kitendo cha mtangazaji mwenye jina kubwa wa Kipindi cha Maskani cha Redio Times FM, Gardner G Habash ‘Kepteini’ kutaka mwanamuziki Judith Wambura Mbibo ‘Jide’ ndiye aeleze ukweli juu ya ndoa yao. Mtangazaji wa Redio Times FM, Gardner G Habash ‘Kepteini’ Akizungumza kwenye Kipindi cha Mkasi kinachorushwa hewani...
9 years ago
Mwananchi17 Nov
Ukawa wafafanue maana ya kauli yao
Kwa mara ya kwanza tangu ulipomalizika Uchaguzi Mkuu Oktoba 25, aliyekuwa mgombea urais kupitia Chadema, Edward Lowassa ametoa kauli inayoashiria amekiri kushindwa aliposema: “Nimeshindwa pambano lakini si vita.â€
11 years ago
MichuziUKAWA waendelea na Kampeni yao Pemba
10 years ago
Vijimambo10 May
DJ GULU RAMADHANI NANJI ATIMIZA MIAKA 19 YA NDOA YAKE, VIJIMAMBO BLOG INAKUTAKIA MIAKA AMANI NAFURAHA ZAIDI KATIKA NDOA YAKO.
· ![](https://scontent-iad.xx.fbcdn.net/hphotos-xpa1/v/t1.0-9/p240x240/11200587_909761035753767_7843757387391072959_n.jpg?oh=4ca697f286dccbefbfa5b80acd7b4563&oe=55C83211)
Oooh Allah Naona Kama Naota Vile Kama Siamini Vile...Asante Sana Mungu Kwa Pumzi Unayotupa Hadi Leo Tarehe 10 May Twafikisha Miaka 19 Ya Ndoa Yetu Mimi Na Mke Wangu Kipenzi Bi Khadija Gulu...Asante Sana Bi Wife Kwa Kustahmili Mengi Kutwa Nipo Katika Mihangaiko,Safarini Kikazi Lakini Mungu Amekujaalia Upendo,Subra,imani Na Moyo Wa Kipekee Wa Kijasiri Sijapata Kuona Wa Kuweza Kukaa Na Familia Kama Mume Nipo Nyumbani Wakati Wote,Wewe Kweli Ni Mke Bora...Wakati Twafunga Ndoa Wengi Walidiriki...
![](https://scontent-iad.xx.fbcdn.net/hphotos-xpa1/v/t1.0-9/p240x240/11200587_909761035753767_7843757387391072959_n.jpg?oh=4ca697f286dccbefbfa5b80acd7b4563&oe=55C83211)
Oooh Allah Naona Kama Naota Vile Kama Siamini Vile...Asante Sana Mungu Kwa Pumzi Unayotupa Hadi Leo Tarehe 10 May Twafikisha Miaka 19 Ya Ndoa Yetu Mimi Na Mke Wangu Kipenzi Bi Khadija Gulu...Asante Sana Bi Wife Kwa Kustahmili Mengi Kutwa Nipo Katika Mihangaiko,Safarini Kikazi Lakini Mungu Amekujaalia Upendo,Subra,imani Na Moyo Wa Kipekee Wa Kijasiri Sijapata Kuona Wa Kuweza Kukaa Na Familia Kama Mume Nipo Nyumbani Wakati Wote,Wewe Kweli Ni Mke Bora...Wakati Twafunga Ndoa Wengi Walidiriki...
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Wanafunzi wanaojihusisha katika biashara ya ngono kugharamia maisha yao katika vyuo vikuu
Idadi inayoongezeka ya wanafunzi huuza picha za utupu na mengineyo katika mitandao ili kugharamia maisha yao katika vyuo vikuu, utafiti umebaini.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania